MUHINDI ALIYEKUWA AKISIMAMIA HUO MRADI WA KUKARABATI MABEHEWA NA KUISHAURI MANAGEMENT KUPITIA HUO MKOPO WA BANK YA DUNIA KATI YA MWAKA 2002 HADI 2006 KUTOKA KAMPUNI YA RITES ..ANAITWA ENGNEER MUKESH..NA NDIE ALIYEHUSIKA KUANDAA SOME TECHNICALITIES...NA BAADAYE KWA KUSHIRIKIANA NA SUBASH PATEL NA CHANDE ..WAKAISHAURI RITES INUNUE TRC....
KWA SASA ENGENEER MUKESH AMERUDI TENA BAADA YA ZOEZI KUKAMILIKA AKIWA SASA NDIYE MKURUGENZI WA UFUNDI WA TRL...[CHIEF MECHANICAL ENGNEER...]WA TRL...
KWA KIASI KIKUBWA HUJUMA ZA KULIFANYA HILI SHIRIKA LA UMA KIYUMBE NA HATIMAYE KUWA MZIGO KWA SERIKALI HADI KUAMUA LIUZWE ZILIFANYWA NA HAWA WAHINDI WAKISHIRIKIANA NA SUBASH NA ANDY KAMA MWENYEKITI WA BODI NA HAWA KINA MBOMA KWA KUJUA AU KUTOJUA ..HASA PALE WALIPOKATIZA SAFARI ZA RELI ZIISHIE DODOMA ...MZIGO UKAWA MKUBWA KWA SHIRIKA KULIPIA WASAFIRI..NA MIZIGO MABASI HADI DODOMA...WASWAHILI WENZETU WAO WALIFAIDIKA KWA KUPEWA COMMISSION NA MAKAMPUNI YA USAFIRI AMBAYO YALIPATA KAZI KUPELEKA WASAFIRI NA MIZIGO DODOMA....NA HAPO SHIRIKA LIKAZIDI KUYUMBA KWA NAKISI YAO KUWA KUBWA...KUTOKANA NA KULIPA GHARAMA KUBWA HIZO NA ZILE ZA MAFUTA AMBAZO WALIKUWA WAKINUNUA KWA PESA TASLIM[BANKERS CHEQUE]..KUTOKA GAPCO AMBAYO NI KAMPINI YA MWENYEKITI WAO WA BODI ANDY CHANDE.....IKAWA HOOI KIPESA ...IKABIDI SERIKALI YA AWAMU YA NNE ILIPOINGIA IKAKUBALI MKATABA UANZE KAZI..UKISAINIWA NA CHENGE AMBAYE NDIYE PIA ALIYEDRAFT MKATABA UPANDE WA SERIKALI WAKATI AKIWA MWANASHERIA MKUU AWAMU YA TATU...
MKITAKA KUJUA RITES WALIFANYA HUJUMA MAKUSUDI WAKISHIRIKIANA NA MA ENGENEER WAZALENDO KUSHAURI NJIA YA RELI YA DODOMA TO DAR ILIKUWA MBOVU..SHANGAA KUWA NI HAO HAO TENA WIKI MBILI TU BAADA YA KUINGIA TENA BILA UKARABATI WA AINA YEYOTE ..WALIANZISHA SAFARI ZA RELI KUANZIA DAR [MABEHEWA NA ABIRIA].......
TENA MASIKINI RAIS WETU JK NA MAWAZIRI WAANDAMIZI BILA KUJUA AU WAKIJUA WAKAKARIRIWA WAKISIFIA WAHINDI WA RITES ETI ">>>wamefanikiwa kuanzisha safari za treni kutoka dar es salaam kwa abiria na mizigo ndani ya wiki mbili tu......bila hata kujiuliza ...."
BREAKING NEWS.....
GET YOURSELF A COPY OF CONSESSION AGREEMENT BWT GOVERNMENT AND TRL ON TUESDAY-
PATA NAKALA YAKO (BINAFSI)YA MKATABA ULIOSAINIWA KATI YA SERIKALI NA TRL... JUMANNE
hapa umekusudia mkataba umetiwa saini au tutapata nakala jumanne?
mie sijakupata unakatika katika(mawasiliano)
India kwenyewe reli yao imewashinda,nenda huko huone abiria wao wanapanda mpaka kwenye mapaa?
Hili wazo la kuwapa wahindi lilitoka wapi?
wahariri PICHA NZURI SANA HIZI..caption inayofaa...'" MOJA YA MAGARI MOSHI YA KAMPUNI MAMA YA RITES [INDIA]...AMABAYO NDIO MWEKEZAJI ALIYEPEWA NA SERIKALI KUENDESHA SHIRIKA LETU LA RELI....BAADA YA KUONEKANA ANAYO TEKNELOJIA NA MTAJI UNAOTOSHA KUENDESHA SHIRIKA HILO..."
HATUTAENDELEA KWA SABABU HATUJUI KINACHOENDELEA
Hiki kihabari hapo juu ni mfano wa tatizo kubwa la nchi yetu: vyombo vya habari mdosho!
Siwezi kusema lolote kuhusu huu mkataba na kudokeza ni vipi mambo yangetakiwa yaende kwa sababu sielewi mambo yanavyotakiwa yaende sasa hivi, na yalikwendaje.
Pinda alikuwa anatembelea ofisi za TRL wakamuonyesha mafaili au kila mkataba unapita kwa Pinda? Na nini kinafuata, Pinda kaagiza nini, kuna watu watatemwa, au mkataba ufutwe? Pinda, au Kamati za Bunge zina nguvu gani hapa? (Leo tumelipa dola laki moja na elfu hamsini kwa mkataba wa Richmond ambao haukufutika!)
Wafanyakazi wa TRL nao wameulalamikia huu mkataba. Lakini, wafanyakazi wa ngazi za juu wemesema nini kuhusu huu mkataba? Nataka kujua TRL imejibu nini baada ya Pinda kuukosoa huu mkataba. Kampuni nyingine zilizoleta tenda zilikuwa bora kuliko TRL?
Waziri Mkuu katoa mfano kwamba TRL waliwaeleza wana injini 90 halafu baadae wakawaeleza wana injini 50. Lakini hivyo walivyo ambiana kwa nini hawakuviandika? Mkataba unawataka wawe na injini ngapi? Mfano wa Pinda nao una mushkeli.
Hii habari hapa kwanza hatujui inatoka wapi, bahati mbaya Mpita Njia hakuonyesha ni chanzo gani. Nikiisoma naona ni kama ya Tanzania Daima na majarida ya IPP, ambayo yanaandika habari nusu nusu na kishabiki shabiki, wakati watu tunataka pande zote. Huwezi kuchukia ufisadi kishabiki shabiki tu.
Vyombo vya habari ndio kiungo dhaifu kuliko vyote katika mnyororo wa kuvuta gurudumu la maendeleo. Na hatuwezi kufanya mabadiliko kama hatujui kinachoendelea. Tudai ukweli.
Mwana JF mmoja ana saini inasema:"Huwezi kuwa na ufahamu kama hujaasi, na huwezi kuasi kama huna ufahamu."
Tumesahau kuwa tuliongeza mishahara bila kuwashirikisha waajiri? Sisi wenyewe ndio tumempa loophole Rites! Na bado.
Unataka tuandike kama waandishi wa habari hapa? Sisi wengine hatukusomea kazi hiyo, kama utatoa kozi fupi nitashukuru
Nilitegemea utuambie chanzo cha hiyo habari. Ni hilo tu. Siwezi kujadili jambo kutokana na kitaarifa ambacho hakina kichwa wala miguu.
Sikutaka wewe uandike kama mwandishi. Nililaumu gazeti, na nikasema taarifa mbovu ni moja ya sababu za kuzorota kimaendeleo kwa nchi kama Tanzania. Sio wewe, ndugu. Sisi ambao tunawahukumu watendaji wakuu lazima tuwe juu ya lawama kwa kuwa na misingi ya habari za kweli, za pande zote kabla ya kusulubisha wengine.
Ndio hapo tutakapo inua kiwango cha madajiliano hapa JF. Wengi hamtanielewa!
..HAPANA HUO MSHAHARA WALIAHIDI RITES WENYEWE BILA KUSHINIKIZWA NA SERIKALIO........SASA KUMBE NAO WALIKUWA WANAFANYA USANIII.NADHANI WAMEGUNDUA USANII SI KOSA TANZANIA...INGEKUWA NCHI NYINGINE HIYO TU [KUTOA AHADI YA UWONGO]..INGETOSHA KUWAFUKUZISHA..NA KUNYANGANYWA LESENI....
Mwafrika,
Ni wewe Mwafrika uliyesema CCM iondolewe kwenye Katiba?
vip lakn ww si kanjanja?Unataka tuandike kama waandishi wa habari hapa? Sisi wengine hatukusomea kazi hiyo, kama utatoa kozi fupi nitashukuru
Wewe ndio unashusha kiwango cha JF na habari zako nyingi zisizothibitishwa na wewe mwenyewe au vyanzo unavyojaribu kuquote. So far leave MpitaNjia alone.