Mkasa wa kweli wa yaliyonikuta. Sumbawanga siwezi sahau maisha yangu yongu yote

Mkasa wa kweli wa yaliyonikuta. Sumbawanga siwezi sahau maisha yangu yongu yote

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
4,188
Reaction score
9,165
Wadau huu ni mkasa wa kweli kabisa miaka kumi na nne imeisha lakini Bado majeraha hayakauka. KISA kinaendelea;Miaka hiyo nilipewa uhamisho kikazi Mkoani rukwa nikiwa Sina mke. wala Mwana. Nilipoambiwa naenda kwanza niliogopa kwenda lakini wenzangu walinambia nisihofu huko ni kama mikoa mingine muhimu nijiheshimu. Sikuwahi elewa maana ya neno kujiheshimu Hadi siku yaliponifika nikakumbuka na kuelewa rafiki yangu alimaanisha nini. Nilikuwa Sina nyumba ya kupewa na mwajiri wangu nilipanga maeneo ya Jirani na ofisi yangu. Namshukuru Mungu nilipewa makaribisho mazuri sana na mwenyeji wangu Mzee mwenye hekima na aliyekuwa akipewa heshima kubwa na wenyeji. Mzee huyo alikuwa na mkewe ambayealikuwa bado mdogo sana labda kwakuwa alikuwa Bi Mdogo. Wenyeji wangu hao walikuwa na mabinti wawili.mapacha ambao walifanana sana kwa sura yaani identical twins na kwa urembo pamoja na mienendo Yao.Nilianza maisha mapya kwa kupewa maelezo muhimu kuhusu mkoa huo na siku za mwanzoni nikishiriki chakula pamoja na familia wakinipa heshima ya ukaka. Ukweli nilijisikia vema sana na Ile hofu yangu ikaanza kuondoka. Mzee huyo alinikubali sana ndani ya muda huo mfupi. Mkewe naye alinipenda kama ilivcyokuwa Kwa wanae mapacha. Nilanza kazi baada ya kupokelewa na kupewa abc za wafanyakazi wenzangu ambao walipokea vizuri kabisa. Maisha yalikuwa mazuri na nilimshukuru. Mungu wangu
 
Ndiyo mvuta bangi! Kikubwa endelea kuvuta siku moja utasimulia hata ta kigoma
 
Bi mdogo akaanza kuonyesha dalili za kunitaka, nikawa napotezea ila baadae SIKUJIHESHIMU.
 
Ila wabongo tumeumbiwa mateso sana yaani

Ccm inatutesa kila siku mwanzo mwisho, kina Polepole waturushe Roho, simba na Yanga ziturushe roho, mzee wa msoga aturushe roho atakavyo, mara vita ya Gambo na kondakta itusumbue hujakaa sawa mchujo wa wagombea uturushe roho mara kesi ya Lissu ituhangaishe nafsi zetu, mara Gwqjima sijui kafanyaje sasa tukisema tupoteze magumu kusoma soma chai za JF nako mnaturusha roho dah!! Sasa kwann usiandike tu ukamaliza hadi tuhangaike weeeeeeeee kukufatisha we unakunywa tu machibuku yako huko
 
Anarudi anaongea na simu iliyopigwa kutoka Sumbawanga
 
Mliokua karibu nae mkamateni huyo alafu pigeni shingoni tu mpaka atapike mbufu aliokula jana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom