Hahahaaaa....huyu jamaa ni miongoni mwa wale wanaoamini pesa ni kila kitu, yeye akawa anamwaga tu pesa, alikutana na mjanjaacha tu mkuu hii dunia tuko tofaut sana aisee
Hahahaaaa....huyu jamaa ni miongoni mwa wale wanaoamini pesa ni kila kitu, yeye akawa anamwaga tu pesa, alikutana na mjanjaacha tu mkuu hii dunia tuko tofaut sana aisee
Ni kweli walijipanga na mchizi demu hakumzimikia wala niniMi nayatafakari maneno waliyokuwa wanayaongea hao mademu wakati wanakuja na wakati walipoondoka,na inawezekana hata wakati umekaa nao walikuwa wanakonyezana, unajua walikuwa wanakuongeleaje ..........???
Hahahaa muwe mnawakomeshaSi ajabu aliondoka nyumbani kwa kiburi sana, akiulizwa unakwenda wapi maana ameoga na lynx deodorant juu, anajibu unaniliza kwa nini? Amerudi mdogo kuliko piriton.
Na aliwezwa kwel kwa maana watu wamekula then wamesepa..... kabakizwa na viagra yake mwilinHahahaaaa....huyu jamaa ni miongoni mwa wale wanaoamini pesa ni kila kitu, yeye akawa anamwaga tu pesa, alikutana na mjanja
Na gharama juuMECHI ZENYEWE HAWEZI HADI VIAGRA
Kwa mtoko ws kawaida ukiwa na wife 50 k ni kubwa na mnafurahi sana tuHahahhh angekula na mkewe wala zisingeisha
Kutokujiamini kazi kweliNa aliwezwa kwel kwa maana watu wamekula then wamesepa..... kabakizwa na viagra yake mwilin
siku nyengine amfate nyumban kwake kabisa asimsubir hotelin...Kutokujiamini kazi kweli
Daaah, hao madsmu wa uswazi mnawatoa wapi?? Au ndio vile ndege wanaofanana huruka pamoja??Ulipoona wamezid idad ungewatoroka,ungesubiri wameagiza ukazuga unaenda toa pesa kwenye tgo au mpesa,ukakimbia.ilinikuta mwaka flan mabibo hostel,ilkuwa birthday yangu nikawalika wawili tu demu wangu na rafk yake lkn huyu rafk alikuwa mkubwa kwa demu wangu.tulipanga waje hostel tukutane pale abc kisha twende kawe beach,siku hiyo bana yule rafk akaja na madem wengine wawili na jamaa mmoja,wakaagiza vinywaji vya hatari yaan round moja 30 ikaisha,wale masistaduu wanaanza kujisemesha ooh nina hamu ya kuku maraa njaa,kumbuka yle demu wangu hakuja eti kwao kazuiliwa,kalikuwa form four enzi hizo,nilichofanya nikawambia naenda nunua vocha,nilinyookka had chumban na sikutoka tena.mifa kama saa sita usiku nikapita kwa mbali abc naona wanapigwa na upepooo,na mahsiano yaliishia hapo
Hahahaaaa kama akili sasa amepataTatizo mnajifanyaga mnazo ndo maana mnapigwa pesa zenu ww mwanamke wa kumtangazia una pesa kwann asitumie kila njia ili apukutishe hizo hela zako, hapo unakuta mkeo alikuomba hela ukasema huna ndo laana zenyeww hizo
Hahahaaa....jama usikute hata kabla ya kuonana kashatuma pesa nyingi tu, mpesa tigopesasiku nyengine amfate nyumban kwake kabisa asimsubir hotelin...
Kweli kabisaDah....ndiyo ukome...siku nyingine ukimwita dem mwambie kabisa unataka kumgonga ili ajue na ajiandae![]()
Waliooa wanahangaika....yaani mimi huyo ningemuita geto kiulaiiini kama kukata siagi na kisu cha moto!
Lilivyo boya zaidi na hela ya tax kurudi limelipaHuyu jamaa kweli boya na pesa hizi za magumashi unaanzaje kutoa tu bila kukubaliana?? Lazima uhakikishe yuko tayari kabla hujatumia gharama yoyote na huyo demu alimgundua mapema akaamua ngoja amkomeshe, kwanza hakukuwa na birthday wala nini na alipokuja na madem wenzake wala hakulitalifu lenyewe likajifanya linahela sana sasa ona linalia.
mkuu tuhuma za uchochezi sitak kwa kweli. labda lakin...........Hahahaaa....jama usikute hata kabla ya kuonana kashatuma pesa nyingi tu, mpesa tigopesa