Mkasa ulionikuta wikiendi hii

Mkasa ulionikuta wikiendi hii

Mi nayatafakari maneno waliyokuwa wanayaongea hao mademu wakati wanakuja na wakati walipoondoka,na inawezekana hata wakati umekaa nao walikuwa wanakonyezana, unajua walikuwa wanakuongeleaje ..........???
Ni kweli walijipanga na mchizi demu hakumzimikia wala nini
 
Yawezekana hata bado unapangisha/ mpangaji huku unalipia uzinzi 40,000 karibu cement tatu kama upo dar. Chakula na nauli 110,000, labda mwanao anasoma st kayumba.
Duuh Magufuli anakazi kwelikweli
 
Hahahaaaa....huyu jamaa ni miongoni mwa wale wanaoamini pesa ni kila kitu, yeye akawa anamwaga tu pesa, alikutana na mjanja
Na aliwezwa kwel kwa maana watu wamekula then wamesepa..... kabakizwa na viagra yake mwilin
 
Hiyo ya kukasirika mpaka masikio yanakuwa ya moto nimecheka sana lol! Kidume ukaamua kufa na tai shingoni 150K imeenda na maji lol! Hahahahaha. Siku nyingine sepa Mkuu badala ya kuendelea kutoboa mfuko wako.
 
Ulipoona wamezid idad ungewatoroka,ungesubiri wameagiza ukazuga unaenda toa pesa kwenye tgo au mpesa,ukakimbia.ilinikuta mwaka flan mabibo hostel,ilkuwa birthday yangu nikawalika wawili tu demu wangu na rafk yake lkn huyu rafk alikuwa mkubwa kwa demu wangu.tulipanga waje hostel tukutane pale abc kisha twende kawe beach,siku hiyo bana yule rafk akaja na madem wengine wawili na jamaa mmoja,wakaagiza vinywaji vya hatari yaan round moja 30 ikaisha,wale masistaduu wanaanza kujisemesha ooh nina hamu ya kuku maraa njaa,kumbuka yle demu wangu hakuja eti kwao kazuiliwa,kalikuwa form four enzi hizo,nilichofanya nikawambia naenda nunua vocha,nilinyookka had chumban na sikutoka tena.mifa kama saa sita usiku nikapita kwa mbali abc naona wanapigwa na upepooo,na mahsiano yaliishia hapo
Daaah, hao madsmu wa uswazi mnawatoa wapi?? Au ndio vile ndege wanaofanana huruka pamoja??
 
Tatizo mnajifanyaga mnazo ndo maana mnapigwa pesa zenu ww mwanamke wa kumtangazia una pesa kwann asitumie kila njia ili apukutishe hizo hela zako, hapo unakuta mkeo alikuomba hela ukasema huna ndo laana zenyeww hizo
Hahahaaaa kama akili sasa amepata
 
Dah....ndiyo ukome...siku nyingine ukimwita dem mwambie kabisa unataka kumgonga ili ajue na ajiandae
 
Waliooa wanahangaika....yaani mimi huyo ningemuita geto kiulaiiini kama kukata siagi na kisu cha moto!

Huyu jamaa kweli boya na pesa hizi za magumashi unaanzaje kutoa tu bila kukubaliana?? Lazima uhakikishe yuko tayari kabla hujatumia gharama yoyote na huyo demu alimgundua mapema akaamua ngoja amkomeshe, kwanza hakukuwa na birthday wala nini na alipokuja na madem wenzake wala hakulitalifu lenyewe likajifanya linahela sana sasa ona linalia.
Lilivyo boya zaidi na hela ya tax kurudi limelipa
 
My Jesus HV hadi miaka hii bado kuna wanaume wa hivi??????laaana
 
Kuna mmoja Siku yenyewe tumekubaliana nimchukue twende kwenye kiti moto, ile nakaribia kwenda kumchukua ananiambia kama hutajali ukija kunichukua nipo na rafiki yangu, nikamwambia OK tutacheki.

Baada ya nusu SAA nikamwambja Gari imezingua taa zote haziwaki ngoja nitafte fundi atekebishe.

Amini amini nakuambia, hadi kesho hajawahi kuona call yangu ingawa ye hunipigia Mara kwa Mara.
 
Back
Top Bottom