Mkasa ulionikuta wikiendi hii

Mkasa ulionikuta wikiendi hii

Hata leo yapo mazee yanahadithia wajukuu zao,Kariakoo yote hii ilikuaga pori,Magomen mchana simba walikua wanakatiza,nafikir walikua kama wewe,kuwaza nyapu tu kila wakat mnasahau mambo ya mcngi
 
Some of these people are are brought in by the devil to "mess up-things".
But why did you get involved at first place? Pole sana.
Kukaa mbali na haya mambo kunaepusha mambo mengi sana.
 
Bora tu maana wife at least alipata weekend ya uhakika! Mungu huwasaidia viumbe wake kwa namna tofauti tofauti... wife weekend yake ilienda safiii kabisa kwa kutimiziwa hitaji muhimu la ndoa kwa wakati wake. Pengine alikuwa anaomba Mungu kila kukicha juu ya show zako za kijogoo jogoo na Mungu akamjibu kwa njia ya ajabu.

Prays the Lord......
 
Pole mkuu. Zamani nilikuwa napenda kuangalia Isindingo. Kuna siku Georgie Zamdela alipata binti, akawa amepiga viagra. Wakati George anajiandaa kisaikolojia yule mtoto akapigiwa simu ya msiba, nadhani baba yake au mama yake alifariki. Yule mtoto akaanza kulia na akasema anaondoka. Ahh George alizunguka chumba kizima haamini wakati huku chini mambo tayari.

Ila mkuu wanaume hapo ndipo huwa tunakosea. Kwanza pombe na viagra haviendani. Kaka mwisho wake ni mauti.

Pili hiyo hela ingeenda hata kwa account ya mtoto. au katika maendeleo.

Ukifikisha miaka 40 hutaona jipya kwa wanawake, nakuambia ukweli. Akili hubadilika tu, unakuwa unawaza cementi na matofali.

Usije ukawa unahadithia wanao, ''hii sehemu zamani ilikuwa pori tu sasa hivi pamejengeka'' wakati hapo hata kiwanja huna.
aiseee umeongea point tupuu
 
Bora tu maana wife at least alipata weekend ya uhakika! Mungu huwasaidia viumbe wake kwa namna tofauti tofauti... wife weekend yake ilienda safiii kabisa kwa kutimiziwa hitaji muhimu la ndoa kwa wakati wake. Pengine alikuwa anaomba Mungu kila kukicha juu ya show zako za kijogoo jogoo na Mungu akamjibu kwa njia ya ajabu.

Prays the Lord......
Si ajabu aliondoka nyumbani kwa kiburi sana, akiulizwa unakwenda wapi maana ameoga na lynx deodorant juu, anajibu unaniliza kwa nini? Amerudi mdogo kuliko piriton.
 
Pale pale walivyoshuka ungewambia umepigiwa simu ya dharura unaitajika sehemu muhimu sana badala ya taxi ukawaitia bajaji chakushangaza nyumbani imeacha 10,000 hahahah wanasema uliluka mkojo ukakanyaga mavi ungebaki kwa mke wako ungekura bule kabisa
 
Wadau wa MMU habari zenu

Yaliyonikuta wikiendi hii ilikuwa zaidi ya majanga.
Niliwaza iwe siri yangu lakini nimeona acha nishee na nyie
Muwe washuhuda!shuka nayo hiyo

Kama desturi ndani ya jumamosi
Kidume nimeweka miadi na mtoto
Wa chuo flani hivi sista duu wa nguvu.baada kumgharamia kabla sijala mzigo nikaona sasa huu ndo wakati muafaka wa kula kinono ili kurudisha hata chenji zangu!

Mtoto akasomeka vizuri ila kwa masharti hatakaa sana.sikuona tabu nikamwambia achukue taxi afike hapa.me nishalipia chumba 40,000 nimekaa sehemu ya bar nashusha bapa langu la konyagi
Nikaona haitoshi nikameza na kiagra kimoja ili nije kurudisha gharama hata nusu!

Akanipigia simu kafika nikalipa tax 5000 ajabu kuchungulia nyuma ya taxi kuna sista duu zingine mbili
Mara zikashuka jumla wakawa watatu!nikahisi kijasho chembamba kinashuka maskio yakawa yamoto kwa hasira.
Ila nikajikausha tukakaa wakaletewa menyu yaani walimaliza elf90 pale ikabidi nikatoe mpesa ila nikawa na imani
Kwamba wataondoka waniachie huyo mwenzao nikamshughulishe
Maana hapo hali ilishakuwa tete!

Ukistaajabu ya musa utaona ya firauni.eti wote mwishoe wananiaga huku wananibusu kwamba wanaenda kwenye birthday ya rafiki yao!
Nikawaitia taxi tena nikalipia
Yaani laki na nusu iliishia pale mzigo sijapewa nikarudi homu kumbeleleza tu wife anipooze ilikuwa hakuna namna!

We sista duu popote ulipo kama unasoma hii siku ukiingia anga zangu ukanipa takula viagra3 na
Nitakula hadi KABANG!
Pole sana blaza, haka kamchezo hakahitaji hasira
 
Mi nayatafakari maneno waliyokuwa wanayaongea hao mademu wakati wanakuja na wakati walipoondoka,na inawezekana hata wakati umekaa nao walikuwa wanakonyezana, unajua walikuwa wanakuongeleaje ..........???
 
Back
Top Bottom