Ulipoona wamezid idad ungewatoroka,ungesubiri wameagiza ukazuga unaenda toa pesa kwenye tgo au mpesa,ukakimbia.ilinikuta mwaka flan mabibo hostel,ilkuwa birthday yangu nikawalika wawili tu demu wangu na rafk yake lkn huyu rafk alikuwa mkubwa kwa demu wangu.tulipanga waje hostel tukutane pale abc kisha twende kawe beach,siku hiyo bana yule rafk akaja na madem wengine wawili na jamaa mmoja,wakaagiza vinywaji vya hatari yaan round moja 30 ikaisha,wale masistaduu wanaanza kujisemesha ooh nina hamu ya kuku maraa njaa,kumbuka yle demu wangu hakuja eti kwao kazuiliwa,kalikuwa form four enzi hizo,nilichofanya nikawambia naenda nunua vocha,nilinyookka had chumban na sikutoka tena.mifa kama saa sita usiku nikapita kwa mbali abc naona wanapigwa na upepooo,na mahsiano yaliishia hapo