KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Shauri yako, kama ni wewe basi ujifiche maana kasema akikupata kabang itahusika.Akuuu sio mie
Shauri yako, kama ni wewe basi ujifiche maana kasema akikupata kabang itahusika.Akuuu sio mie
Si utakuja kunitetea?Shauri yako, kama ni wewe basi ujifiche maana kasema akikupata kabang itahusika.
Wowwwwwww,Haleluyaaaa,now you are talking mamii,umeingia line sasa baada ya kusoma bank statement yangu,hahahaaa nilikwambia mimi asali,unaona sasa umeigia anga zangu,na mimi nitaanza kuitwa baby muda si mrefu hahahahhhh,bila kusahau huyo bazazi kabla hajakufikia atakuwa kaliwa kabang yeye kwanza.Si utakuja kunitetea?
Ha ha haaa hebu fanya kufoad hizo hela basi kwanzaWowwwwwww,Haleluyaaaa,now you are talking mamii,umeingia line sasa baada ya kusoma bank statement yangu,hahahaaa nilikwambia mimi asali,unaona sasa umeigia anga zangu,na mimi nitaanza kuitwa baby muda si mrefu hahahahhhh,bila kusahau huyo bazazi kabla hajakufikia atakuwa kaliwa kabang yeye kwanza.
Usiwe na moto nyoso yanzambe mokili amazembe,hizo ni zako baby nitazi forward tukiwa honey moon tunakula frog legs na champagne.Ha ha haaa hebu fanya kufoad hizo hela basi kwanza
Sasa mbona gharama za nyama zinamliza?Rafiki mwache mwenzio abadilishe mboga buana!.......Jamani unataka ale mchicha kila siku???
Kanunue box zimaShunie,nime download picha yako(avatar),yaani ni raha ilio wazi,sasa sabuni zinaisha nyumbani kwangu.
Hahahaa eti ufalasticUkisikia ufalastic ndio huu
huyu jamaa simuelewi, hata picha hakuiona mapema duuu !!Kutokujiamini kazi kweli
Nyie viumbe mna roho ngumuu daah,badala ya kunisaidia mwenzio naumia ndio kwanza unanisisitiza nizidi kujiumiza,unapata zambi wewe?,kizuri kula na mwenzio.Kanunue box zima
Kutana na jibaba hatarishi hapa, kwanza tupiamo namba yako pmMIMI NI JIMAMA LA HATARE