RASHIDI OMARY
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 524
- 496
Hivi hukujiuliza mkeo anakupaga nini nakipi kpya unachokifuata kwa huyo malaya
hahahaha halafu umeoa?Wadau wa MMU habari zenu
Yaliyonikuta wikiendi hii ilikuwa zaidi ya majanga.
Niliwaza iwe siri yangu lakini nimeona acha nishee na nyie
Muwe washuhuda!shuka nayo hiyo
Kama desturi ndani ya jumamosi
Kidume nimeweka miadi na mtoto
Wa chuo flani hivi sista duu wa nguvu.baada kumgharamia kabla sijala mzigo nikaona sasa huu ndo wakati muafaka wa kula kinono ili kurudisha hata chenji zangu!
Mtoto akasomeka vizuri ila kwa masharti hatakaa sana.sikuona tabu nikamwambia achukue taxi afike hapa.me nishalipia chumba 40,000 nimekaa sehemu ya bar nashusha bapa langu la konyagi
Nikaona haitoshi nikameza na kiagra kimoja ili nije kurudisha gharama hata nusu!
Akanipigia simu kafika nikalipa tax 5000 ajabu kuchungulia nyuma ya taxi kuna sista duu zingine mbili
Mara zikashuka jumla wakawa watatu!nikahisi kijasho chembamba kinashuka maskio yakawa yamoto kwa hasira.
Ila nikajikausha tukakaa wakaletewa menyu yaani walimaliza elf90 pale ikabidi nikatoe mpesa ila nikawa na imani
Kwamba wataondoka waniachie huyo mwenzao nikamshughulishe
Maana hapo hali ilishakuwa tete!
Ukistaajabu ya musa utaona ya firauni.eti wote mwishoe wananiaga huku wananibusu kwamba wanaenda kwenye birthday ya rafiki yao!
Nikawaitia taxi tena nikalipia
Yaani laki na nusu iliishia pale mzigo sijapewa nikarudi homu kumbeleleza tu wife anipooze ilikuwa hakuna namna!
We sista duu popote ulipo kama unasoma hii siku ukiingia anga zangu ukanipa takula viagra3 na
Nitakula hadi KABANG!
hahhaahahKutana na jibaba hatarishi hapa, kwanza tupiamo namba yako pm
Hamtoshelezy jamanHivi hukujiuliza mkeo anakupaga nini nakipi kpya unachokifuata kwa huyo malaya
Hapana nyama ya kuku, ya nguruwe, ya mbuzi, ya ngombe n.k zote zinatofautiana[Mnahangaikaga nini na hao wapita njia, ukitulia na mkeo hizo sehemu zako za siri zitawaka moto?Angalia sasa yalokukuta hela umeliwa na ulichotaka hujapata.Hili liwe somo kwako ridhika na uyo ulie nae ndani(mabucha yote nyama na ile ile jifunze tu kuiandaa kwa ustadi).
ha ha ha tena siku hizi nimejua weekend ukitoka ukarudi unanilazimisha mzigo nakubaniaDaah baby naona umekomaa,nani kakupa hayo maelimu?,ona sasa eti sabuni zingekoma,haya basi acha nichapiwe tu
Agynasa bhana na jisi unavyokodoa macho,ati ukome.
kwani ulikutaga hapo bikra wewe?Mama temba unaniumiza roho aisee,ina maana na hiyo ya konyagi na kusimamia kucha unaonaga kwa jirani?
kama mkate kwenye chaiLakini mbele ya chapaaa unakuwa mpole
Hahahaaaa!! Daaah!Ningewaambia Kavukavu Wala Nisingevunga. "Jamani Naomba Nikamtom*e Mwenzenu Kama Tulivyokubaliana, Kama Hamtaki Kumuacha Nanyie Nikawafyatue Wote". Povu Liwatoke Ila Kama Mbwai Mbwai.
Si bora hata wangekuwa wanajifunza sasa!! Subiri thread nyingine either ya mchepuko mwingine au wa huyo huyo atakapofanikiwa.Mnahangaikaga nini na hao wapita njia, ukitulia na mkeo hizo sehemu zako za siri zitawaka moto?Angalia sasa yalokukuta hela umeliwa na ulichotaka hujapata.Hili liwe somo kwako ridhika na uyo ulie nae ndani(mabucha yote nyama na ile ile jifunze tu kuiandaa kwa ustadi).
hahahhaSi bora hata wangekuwa wanajifunza sasa!! Subiri thread nyingine either ya mchepuko mwingine au wa huyo huyo atakapofanikiwa.
Tena akome kweli kweli.Hapo ndo inabidi utambue umuhimu wa mke wako na umuheshimu.sikupi pole ila nakuambia ukome
HahahhhaNingewaambia Kavukavu Wala Nisingevunga. "Jamani Naomba Nikamtom*e Mwenzenu Kama Tulivyokubaliana, Kama Hamtaki Kumuacha Nanyie Nikawafyatue Wote". Povu Liwatoke Ila Kama Mbwai Mbwai.
Wajinga ndio wanaoliwa.Wadau wa MMU habari zenu
Yaliyonikuta wikiendi hii ilikuwa zaidi ya majanga.
Niliwaza iwe siri yangu lakini nimeona acha nishee na nyie
Muwe washuhuda!shuka nayo hiyo
Kama desturi ndani ya jumamosi
Kidume nimeweka miadi na mtoto
Wa chuo flani hivi sista duu wa nguvu.baada kumgharamia kabla sijala mzigo nikaona sasa huu ndo wakati muafaka wa kula kinono ili kurudisha hata chenji zangu!
Mtoto akasomeka vizuri ila kwa masharti hatakaa sana.sikuona tabu nikamwambia achukue taxi afike hapa.me nishalipia chumba 40,000 nimekaa sehemu ya bar nashusha bapa langu la konyagi
Nikaona haitoshi nikameza na kiagra kimoja ili nije kurudisha gharama hata nusu!
Akanipigia simu kafika nikalipa tax 5000 ajabu kuchungulia nyuma ya taxi kuna sista duu zingine mbili
Mara zikashuka jumla wakawa watatu!nikahisi kijasho chembamba kinashuka maskio yakawa yamoto kwa hasira.
Ila nikajikausha tukakaa wakaletewa menyu yaani walimaliza elf90 pale ikabidi nikatoe mpesa ila nikawa na imani
Kwamba wataondoka waniachie huyo mwenzao nikamshughulishe
Maana hapo hali ilishakuwa tete!
Ukistaajabu ya musa utaona ya firauni.eti wote mwishoe wananiaga huku wananibusu kwamba wanaenda kwenye birthday ya rafiki yao!
Nikawaitia taxi tena nikalipia
Yaani laki na nusu iliishia pale mzigo sijapewa nikarudi homu kumbeleleza tu wife anipooze ilikuwa hakuna namna!
We sista duu popote ulipo kama unasoma hii siku ukiingia anga zangu ukanipa takula viagra3 na
Nitakula hadi KABANG!
Yani inabidi hawa waume zetu tuwe tunawaka tu kwenye maombi.Manake bila kumshirikisha Mungu unaeza pata kichaa cha ndoa.Si bora hata wangekuwa wanajifunza sasa!! Subiri thread nyingine either ya mchepuko mwingine au wa huyo huyo atakapofanikiwa.