Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 9,363
- 34,558
Binti hana msimamo anadhani ngono itampa maisha bora zawadi atakayopewa ni ukimwi na huyo Mwanaume aliyetenda hayo yaani natetemeka kwa hasiraPole sana mwanangu Ethan Cruz dah
Wanaume mkoje lakini!? Yaani mke anakuheshimu na kukuamini halafu wewe unatake advantage ya uaminifu wake kwako kuwatafuna wadogo zake....... kweli!?
Wanawake hebu tukutane hapa kwa dhararu tuone jinsi ya kuboresha ule mpango wetu wa vidumu
Makiseo Shunie Nakadori Nuzulati mimi sina wivu wa mapenzi kwa mwanaume asiyejielewa lakini kwa hili la kubaka watoto wa kike ndani ya nyumba yangu naweza kuingia kwenye record ya kidumu cha petrol
Mwanaume kama huyu hatoishia kutafuna mashemeji zake tuu, hata watoto wake wa kuzaa atawatafuma
Cc mrangi Come27 Lee Bujibuji Asprin Emmanuel Kasomi