Mkasa mfupi, mzito wa mapenzi

Nina wasiwasi na familia yenu mbona mdogo wako kakubali kiwepesi hivyo 😡😡 nyie ni watu wa wapi 😣😣😣
 
Acha wivu kwa mdogo wako, kaa kwa kutulia…. kama kuna mdogo wenu mwingine amesalia kijijini mleteni pia asome mjini.
 
aaa mjuba tatizo nn unatakiwa ubadilishe ladha skumoja moja sio kila siku wataka ule nyama tu au sio lzm uchanganye misosi ukizoea menyu moja daily sio powa
Mhusika ni nani yako maana hujasema.. tusije kupoteza mda wetu kushauri upuuzi unaookoteza kwenye hadithi za kijinga jinga kijiweni kwenu
 
Vumilia ukamilishe masomo yako uondoke hapo umuachie nafasi mdogo wako na dada yako wendeleze ligi, sawa?
 
It's just a matter of time, dada yako ATAJUA TU, hata wewe usipomwambia, siku moja mazingira yatamfanya dada yako ajue tu, ni suala la muda tu. Usisubiri dada yako aje ajue mwenyewe, inabidi umwambie dada yako haraka sana, yaani leo leo. Lazima atakasirika sana, anaweza kupata mshituko na taharuki fulani, lakini ni bora yote hayo yatokee sasa hivi na yaishe sasa hivi, kuliko shemeji yako aka 'bwana wako', aendelee kuwatafuna nyote atakavyo, kwa miezi na miaka kadhaa huko mbele.

Usirudie kufanya makosa. Kosa la kwanza umelala na shemeji yako, kosa la pili unafanya siri inayompa mwanya shemeji yako kuendelea kumla mdogo wako, yaani wewe ndiye unayetengeza mazingira ya mdogo wako kuliwa, kosa la tatu unavyoendelea kuuficha uchafu wako na wa shemeji yako, maana yake ni kwamba wewe na shemeji yako/yenu lenu ni moja, na mnamficha dada yako/yenu, unafikiri dada yako atakufirikiaje?!

Kuanzia sasa UKOME kumpa tunda shemeji yako na mwambie mdogo wako pia aache mara moja kumpa mchezo shemeji yenu aka 'bwana wenu' Hivi umewaza siku moja nyote , wewe, dada yako na mdogo wako mna mimba mlizopewa na mtu mmoja? Itakuwaje?

Ni ngumu lakini kwa kuwa wewe ndiye uliyelikoroga inabidi ulinywe
 
View attachment 1869019
Mimi ni msichana mwenye miaka 17 nipo form three (kidato cha tatu) katika shule moja hapa mjini.nimekuja huku leo ili kuomba ushauri mimi ninasoma shule ya day na ninaishi kwa dada yangu ambae ameolewa,Tatizo ni kwamba dada yangu huwa anaingia kazini usiku hivyo kuniacha mimi na mumewe nyumbani pamoja na watoto wake toka naanza form one,

ilikuwa ivyo ila nilipoingia kidato cha tatu siku moja shemeji alainifauata chumbani wangu na kuanza kunibembeleza tuwe na kimapenzi nilikataa mwanzoni cz nilikuwa sijawahi kufanya mapenzi.siku iliyofuata alikuja tenah na akaniambia nikikataa atamwambia dada yangu kuwa huwa naleta wanaume kwenye nyumba yake na dada anamuamini sana shemeji kuliko mimi hivyo atanifukuza nirudi kijijini na nanitakosa masomo hivyo nikamakubalia akaanza kuwa na mimi kimapenzi huku akainaahidi kuficha siri na kunipatia zawadi na pesa.

ila juzi kunamdogo wangu wa form one anamiaka 14 alikuja kusalimia likizo hivyo tukawa nae hapo nyumbani juzi mimi nilipomsindikiza dada usiku ile aende kazini usiku kama kawaida yake shemeji nae akanipigia sim niende kwa rafiki yake nikamletee docment zake za kazini mungu mkubwa ile anakata sim nikamuona rafiki yake huyo akaniambia hana document yeyote ya shemeji bhasi mimi nikawahi nyumbani kufikia namkuta shemeji yuko na mdogo wangu chumbani wanafanya mapenzi iliniuuma sana lakin shem alisema tuyamalize dada asijue kwani itakuwa aibu kubwa na sie wote tutafukuzwa ..
akatuahidi kutupa shilingi milioni moja ili tusiseme

hakuishia hapo akamwambia dada huyu mdogo wangu anatakiwa aje akasome mjini ili afaulu masomo vizuri kwani kijijini hakuna walimu sasa jana ndio kaenda kushuhulikia uhamisho ili mdogo wangu aje kusoma hapa hivyo atakuwa kimapenzi na dada yangu mimi mwenyewe na mdogo wangu dada hajui lolote .....nishaurini nimwmbie dada yangu hali halisi,nikae kimya nimalize masomo yangu niondoke ,,,au nitoreke hapa kabisa wapendwa nipo kwenye kiza kinene hata shuleni sielewi kitu tanguu huu mkasa


HOODBOY

Pole sana mwanangu Ethan Cruz dah


mama D njoo uone tabia za wadogo zako eti wanazani haupo JF

Wanaume mkoje lakini!? Yaani mke anakuheshimu na kukuamini halafu wewe unatake advantage ya uaminifu wake kwako kuwatafuna wadogo zake....... kweli!?

Wanawake hebu tukutane hapa kwa dhararu tuone jinsi ya kuboresha ule mpango wetu wa vidumu
Makiseo Shunie Nakadori Nuzulati mimi sina wivu wa mapenzi kwa mwanaume asiyejielewa lakini kwa hili la kubaka watoto wa kike ndani ya nyumba yangu naweza kuingia kwenye record ya kidumu cha petrol

Mwanaume kama huyu hatoishia kutafuna mashemeji zake tuu, hata watoto wake wa kuzaa atawatafuma
Cc mrangi Come27 Lee Bujibuji Asprin Emmanuel Kasomi
 
Mhusika ni nani yako maana hujasema.. tusije kupoteza mda wetu kushauri upuuzi unaookoteza kwenye hadithi za kijinga jinga kijiweni kwenu
shemej angu yan kaka angu mke wake ndo wadogo zake wamepigwa mchibuyu
 
It's just a matter of time, dada yako ATAJUA TU, hata wewe usipomwambia, siku moja mazingira yatamfanya dada yako ajue tu, ni suala la muda tu. Usisubiri dada yako aje ajue mwenyewe, inabidi umwambie dada yako haraka sana, yaani leo leo. Lazima atakasirika sana, anaweza kupata mshituko na taharuki fulani, lakini ni bora yote hayo yatokee sasa hivi na yaishe sasa hivi, kuliko shemeji yako aka 'bwana wako', aendelee kuwatafuna nyote atakavyo, kwa miezi na miaka kadhaa huko mbele.

Usirudie kufanya makosa. Kosa la kwanza umelala na shemeji yako, kosa la pili unafanya siri inayompa mwanya shemeji yako kuendelea kumla mdogo wako, yaani wewe ndiye unayetengeza mazingira ya mdogo wako kuliwa, kosa la tatu unavyoendelea kuuficha uchafu wako na wa shemeji yako, maana yake ni kwamba wewe na shemeji yako/yenu lenu ni moja, na mnamficha dada yako/yenu, unafikiri dada yako atakufirikiaje?!

Kuanzia sasa UKOME kumpa tunda shemeji yako na mwambie mdogo wako pia aache mara moja kumpa mchezo shemeji yenu aka 'bwana wenu' Hivi umewaza siku moja nyote , wewe, dada yako na mdogo wako mna mimba mlizopewa na mtu mmoja? Itakuwaje?

Ni ngumu lakini kwa kuwa wewe ndiye uliyelikoroga inabidi ulinywe
ss skuli inakuaje na dogo anapenda skuli na maisha bora koz shemeji ndio sponsa hapo wa mambo ya ada nn ina mana dogo akikataaa kumpa shem wake utamu ukute skul ndo basi
 
Pole sana mwanangu Ethan Cruz dah




Wanaume mkoje lakini!? Yaani mke anakuheshimu na kukuamini halafu wewe unatake advantage ya uaminifu wake kwako kuwatafuna wadogo zake....... kweli!?

Wanawake hebu tukutane hapa kwa dhararu tuone jinsi ya kuboresha ule mpango wetu wa vidumu
Makiseo Shunie Nakadori Nuzulati mimi sina wivu wa mapenzi kwa mwanaume asiyejielewa lakini kwa hili la kubaka watoto wa kike ndani ya nyumba yangu naweza kuingia kwenye record ya kidumu cha petrol

Mwanaume kama huyu hatoishia kutafuna mashemeji zake tuu, hata watoto wake wa kuzaa atawatafuma
Cc mrangi Come27 Lee Bujibuji Asprin Emmanuel Kasomi
Huyo ni mshenzi sana

Ova
 
ss skuli inakuaje na dogo anapenda skuli na maisha bora koz shemeji ndio sponsa hapo wa mambo ya ada nn ina mana dogo akikataaa kumpa shem wake utamu ukute skul ndo basi
Kumbe majibu unayo tayari, sasa umekuja hapa kuomba ushauri wa nini? Kuna gharama kwa kila ujinga unaoufanya hapa duniani, ukikosea maana yake unastahili adhabu, na kosa la kulala na shemeji yenu adhabu yake ndiyo hiyo, labda mfukuzwe nyumbani, au kama mnapendelea vitu vya bure basi muendelee tu kuliwa,
 
Kumbe majibu unayo tayari, sasa umekuja hapa kuomba ushauri wa nini? Kuna gharama kwa kila ujinga unaoufanya hapa duniani, ukikosea maana yake unastahili adhabu, na kosa la kulala na shemeji yenu adhabu yake ndiyo hiyo, labda mfukuzwe nyumbani, au kama mnapendelea vitu vya bure basi muendelee tu kuliwa,
duh htr na nusu hahhahaha mwendo mchibuyu
 
Back
Top Bottom