Siwalazimishi IMANI YANGU....
Naam WALIBERALI mmechagua njia zenu za kuuishi ULIMWENGU na mko huru....
Kumsema MAREHEMU SI Jambo jema HATA kwa moyo wako.....
Kumuaibisha MAREHEMU si Jambo la afya hata kwa HISIA ZAKO NA ZA WENGINE.....
Kupenda kuwatia JAZBA watu wa vipato vya CHINI kwa kuwaaaminisha ADUI yao ni WALE WALIONEEMESHWA si BUSARA......
Kupenda sana KUYATAMANI MAISHA YA WATU WAKWASI huku mwenzangu na miye Ukiwa na maisha ya chini ni KuJITIA CHUKI MOYONI,KUJIKATAA,MSONGO WA MAWAZO na hata mwanzo wa kuwa na SHINIKIZO LA DAMU....
MUNGU hajamuacha kiumbe yeyote......
TUKIIANGALIA NCHI KWA POSITIVE MIND tutaifaidi PUMZI ya MUNGU kwa VILE TULIVYO....kwa vile ALIVYOTUUMBA .....
Uko HAI....
Una MACHO...
Una MASIKIO....
Una NGUVU........
Huna MTINDIO WA UBONGO.....
Huna ulemavu wa viungo.......
Lakini BADO unamuona ALIYELALA KWENYE BARAFU USIKU HUU WA MUNGU kuwa ni MTU MBAYA....
So sad.