Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,948
- 13,378
Basi sawa
Nalog off
Nalog off
Taarifa ndugu, Taarifa!! Usiseme ati wananchi hatujaguswa na kifo cha Mh. Mkapa. Sema wewe hujaguswa kwa sababu ya roho mbaya uliyo nayo weye. Hakuna asiyeguswa na kifo cha binadam yeyote sembuse kiongozi wake?? Alikutenda nini weye hata ukafurahia kifo chake? Je, umekipata alichokuibia kwa kifo chake?? Jamani; vaeni pia mioyo ya nyamaMkapa wananchi hatujaguswa na msiba wake sababu ya ufisadi wa awamu yake... nyumba za serikali, mashirika ya uma na viwanda vya uma aliviuza bila kujali ajira za wananchi zinapotea
Binadamu tumeumbwa na kutolizika!, Rais aliyemaliza muda wake na familia yake wanatunzwa na nchi mpaka kufa kwao, matibabu, nusu ya mshahara wa Rais aliyeko madarakani, n.k. Kwangu mimi mtu akisha hakikishiwa hayo yote ingefaa akajikita zaida kulitumikia Taifa, na hayo ya kujihangaikia yangefaa kuachwa!.Hivi inawezakanaje umalize miaka yako kumi kama rais wa nchi halafu urudi tena mtaani na maisha yako yaleyale uliyokuwa nayo kabla ya urais?
Wewe huwezi na wengi wetu hawawezi kufanya hivyo.
Labda tuongelee kuhusika kwake na mauaji ye Pemba.
Taarifa ndugu, Taarifa!! Usiseme ati wananchi hatujaguswa na kifo cha Mh. Mkapa. Sema wewe hujaguswa kwa sababu ya roho mbaya uliyo nayo weye. Hakuna asiyeguswa na kifo cha binadam yeyote sembuse kiongozi wake?? Alikutenda nini weye hata ukafurahia kifo chake? Je, umekipata alichokuibia kwa kifo chake?? Jamani; vaeni pia mioyo ya nyama
Ni baba wa Taifa tu aliweza . Lile apartment ilala ni.matata binafsi nimehudhuria arusi mle mara kadhaa.yale yalikuwa utekaji nyara mali za umma Mungu amrehemu huko nasi twafuata ila binafsi sijawahi kushobokea sera zake marehemu.Hivi inawezakanaje umalize miaka yako kumi kama rais wa nchi halafu urudi tena mtaani na maisha yako yaleyale uliyokuwa nayo kabla ya urais?
Wewe huwezi na wengi wetu hawawezi kufanya hivyo.
Labda tuongelee kuhusika kwake na mauaji ye Pemba.
Kwa unafiki nadhani nyiye ndio mnaongoza. Huyo Nyerere mngelikuwa mnampenda mbona hamjamwinua hata mwanaye mmoja tu kuwa kiongozi?? Ati nchi nzima walilia, yaani kasoro Butiama? Mnashindwa hata kumchagua mtoto wake mmoja tu awe diwani?? Shame on yuSisi wengine sio wanafiki niseme nimefurahi alivyotutendea.. mbona nyerere tulilia nchi nzima.. ukiwa mwizi hata ukichomwa moto watu hawauzuniki..
Je wezi wanavyochoma moto mtaani kwako watu huwaga wanalia ? Maana kifo ni kifo
Nyerere alikosea sana kusema eti kuwa kiongozi ni lazima uwe masikini. Ni masikini gani utampa urais wa nchi, uwaziri au ukurugenzi wa shirika halafu asiibe huku akijua kuwa akiondoka masikini jamii hiyo hiyo itaenda kumcheka kuwa ni mjinga? Mleta mada tukimpa urais au uwaziri na ni masikini kweli ataondoka kama alivyoingia aje huku mtaani hana kitu?Hivi inawezakanaje umalize miaka yako kumi kama rais wa nchi halafu urudi tena mtaani na maisha yako yaleyale uliyokuwa nayo kabla ya urais?
Wewe huwezi na wengi wetu hawawezi kufanya hivyo.
Labda tuongelee kuhusika kwake na mauaji ye Pemba.
Nyerere aliacha mali kiasi gani baada ya kutawala kwa miaka 20 na zaidi?Hivi inawezakanaje umalize miaka yako kumi kama rais wa nchi halafu urudi tena mtaani na maisha yako yaleyale uliyokuwa nayo kabla ya urais?
Wewe huwezi na wengi wetu hawawezi kufanya hivyo.
Labda tuongelee kuhusika kwake na mauaji ye Pemba.
Kina muda alitaka kupora Kiwira...watu aaaaaaaahhh.. Mzee akashtuka akachomoa akauachia fasta
Kuhudumiwa na pesa zetu za kodi hadi kifo chake tu, ingetosha sana.Ulitaka amiliki nini mkuu ili usianzishe uzi?
Kwa Tanganyika tulimpata Nyerere tu na Mwinyi labda, waliobaki ni mafisadi matupu.Unaongelea Iran, nchi ambayo watu wake wametosheka kiimani.
Barani Afrika wanasiasa wa aina hiyo utawatafuta kwa tochi.
Ipo inaendelea kutia hasaraMm naiulizia ile ndege alionunua iko wapi wakuu?