Mkapa na Mali alizomiliki

Mkapa na Mali alizomiliki

Status
Not open for further replies.
Kwahyo mkuu ulitaka president mstaafu awe anaishi kwa kuungaunga Kama wew
 
Hivi inawezakanaje umalize miaka yako kumi kama rais wa nchi halafu urudi tena mtaani na maisha yako yaleyale uliyokuwa nayo kabla ya urais?
Wewe huwezi na wengi wetu hawawezi kufanya hivyo.
Labda tuongelee kuhusika kwake na mauaji ye Pemba.
Unajua mkuu 'moudgulf', tayari hii (mada) ni sehemu ya "mauaji ya Pemba."

Hawa watu wanatafuta njia za pembeni badala ya kuliongelea hilo la mauaji watu tukajua ilikuwakuwaje hadi kukawa na mauaji.

Kwa nini hawana ujasiri wa kufanya hivyo? Yaani waonyeshe jinsi mauaji yalivyo sababishwa na mtu wanayemlaumu. Hili ndilo lingekuwa zuri.

Kutafuta hizi njia za pembeni kunafanya waonekane kuwa na tatizo la kuliongelea hilo la mauaji moja kwa moja. Sasa sijui tatizo lao ni nini.
 
Alie kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Mkapa) hii ndio moja ya hotel aliomiliki, pia kuna jengo moja pale ilala limefanywa Apartments hotel na mmiliki inasemekana ni mkewe.

Rais mstaafu huyu Mungu Amrehemu, katika utawala waje kumefanyika majanga makubwa moja ni kupora mali za umma, kujibimbikilia mali na mashamba, pamoja na mauwaji makubwa January 27 2001 kisiwani Pemba

Sio vizuri kusemwa marehemu kwa mabaya yake , ila tunaweza tukayafanya yakawa mazuri, na moja kwanza kurudisha mali za umma, pia mkapa alikuwa masikini tu na haiwezi kani amiliki mali kama hizi yeye na mkewe. View attachment 1517736
View attachment 1517737
View attachment 1517738



Umeonyesha vitu vya kawaida hata mimi ninavyo

Acha umaskini wewe


Unamuaibisha mama yako
 
Yaani niwe kiongozi alafu niishi kifal haiwezekani
Lazima ujiachie, lazima uvune.... nyie mnafikiri kenyata alipataje utajiri

Ova
 
Unajua mkuu 'moudgulf', tayari hii (mada) ni sehemu ya "mauaji ya Pemba."

Hawa watu wanatafuta njia za pembeni badala ya kuliongelea hilo la mauaji watu tukajua ilikuwakuwaje hadi kukawa na mauaji.

Kwa nini hawana ujasiri wa kufanya hivyo? Yaani waonyeshe jinsi mauaji yalivyo sababishwa na mtu wanayemlaumu. Hili ndilo lingekuwa zuri.

Kutafuta hizi njia za pembeni kunafanya waonekane kuwa na tatizo la kuliongelea hilo la mauaji moja kwa moja. Sasa sijui tatizo lao ni nini.
Hilo jeshi la polisi lilitekeleza unyama huo kwa matakwa yao tu? Pumbavu sana wewe.
 

Attachments

  • Pemba.mp4
    2.3 MB
Kwanini Mkapa asemwe ni fisadi papa miaka yote hiyo!!

Kwa nini asisemwe Mzee Al Hassan Mwinyi!!

Sheria ipi inayosema fisadi akifa tuhuma zake za ufisadi zinakwisha?

Fisadi ni fisadi tu hata akifa atazikwa kaburini na sifa yake ya ufisadi.

Utende maovu halafu usifiwe kwa mema kisa umekufa!!

Kila mtu atavuna alichopanda.

Eeh Mwenyezi Mungu mpumzishe marehemu sehemu anayostahili.
 
Kuna ushahidi gani kwamba yeye alikuwa mmiliki wa hayo mahoteli?

Na sasa mnataka kutaifisha au kutujuza tu?!
 
Binadamu tumeumbwa na kutolizika!, Rais aliyemaliza muda wake na familia yake wanatunzwa na nchi mpaka kufa kwao, matibabu, nusu ya mshahara wa Rais aliyeko madarakani, n.k. Kwangu mimi mtu akisha hakikishiwa hayo yote ingefaa akajikita zaida kulitumikia Taifa, na hayo ya kujihangaikia yangefaa kuachwa!.
Ila la nusu ya mshahara wa rais aliyepo madarakani si kweli.

Hawanaga cha nusu mshahara hao, wanavuta kitu kizima cha aliyeko madarakani mpaka kufa kwa 100%, upo mzee wangu?

Orodha ya viongozi wanaovuta kitu kizima ni:
Rais, Makamu, Waziri mkuu, Spika na Mkuu wa majeshi.

Wanachopungukiwa wakistaafu ni adabu zilizopitiliza za kila saa zisizotiliwa shaka, lakini mengine hayapunguzwi wala kukatwa hata kidogo, hubakizwa vile vile, ie: ulinzi, usafiri, matibabu nk nk maisha yao yote.
 
Alie kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Mkapa) hii ndio moja ya hotel aliomiliki, pia kuna jengo moja pale ilala limefanywa Apartments hotel na mmiliki inasemekana ni mkewe.

Rais mstaafu huyu Mungu Amrehemu, katika utawala waje kumefanyika majanga makubwa moja ni kupora mali za umma, kujibimbikilia mali na mashamba, pamoja na mauwaji makubwa January 27 2001 kisiwani Pemba

Sio vizuri kusemwa marehemu kwa mabaya yake , ila tunaweza tukayafanya yakawa mazuri, na moja kwanza kurudisha mali za umma, pia mkapa alikuwa masikini tu na haiwezi kani amiliki mali kama hizi yeye na mkewe. View attachment 1517736
View attachment 1517737
View attachment 1517738


Hilo ni jina tu la hotel, inge andikwa The Benjamin William Mkapa - hapo ingekuwa yake! Hapa unamzushia kusudi achukiwe ili wewe ufurahi.
 
Mkapa wananchi hatujaguswa na msiba wake sababu ya ufisadi wa awamu yake... nyumba za serikali, mashirika ya uma na viwanda vya uma aliviuza bila kujali ajira za wananchi zinapotea
Naona watangazaji wanalazimisha uwingi wa watu wakati watu ni wachache sana
 
Nyerere ndo kazingua aisee.... Yani hadi watoto wake wamekatwa kura za maoni...
Kikwete nae mke ndo anagombea ubunge!!!??

Magufuli ashtuke. Rais hela zote zake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom