Natumai hao ndugu na majamaa ndo wapo humu ndani kumpigia chapuo ni kama wanalipa fadhila kwa neema waliyoipata kutoka kwake!!..nahisi kabisaa naniii ....atakuwa mmoja wapoHalafu anajifanya yuko busy wakati ameweza kuhudhuria vikao vingi vinavyomuhusu vya chama chao, lakini hajawahi hata siku moja kuhudhuria sherehe za 9 December, Mapinduzi au Muungano tangu atoke madarakani. Naona huupanga ubusy wake uangukie sherehe hizo.
Wewe endelea kuwa busy tu lakini ujuwe hata kama Watanzania hatutakuzomea ukweli tunaujua kwamba wewe ni mwizi na kuna ushahidi wa kutosha kuhusu hili na ulitumia muda mwingi wa madaraka yako kujitajirisha wewe, familia yako na ndugu na jamaa. Watanzania ni wastaarabu hivyo usijipige kifua kwa vile hujazomewa ukadhani tunafurahia utendaji wako ulipokuwa madarakani.