Mkapa: Kuna mtu kanizomea?

Wandugu, nimefurahi sasa kuosoma post zenu zilizonikonga moyo, ukiacha ya Devil Novo, oops! De Novo....wote mmenena sawa!

Jamaa anaona noma huyo. Mr Clean IN, Mr. Dirtiest OUT..ole wake mchonga ange survive kama Mandela, angemkoma. Alimlaghai Nyerere akabebwa, wengine wakipigwa marungu ati wanataka kwenda ikulu kufanya nini....nakumbuka mzee wa Kiraracha alionekana kwamba anataka kwenda kufanya biashara humo. Duh! kumbe Nyerere alidanganyika!
 
but he is better kuliko wa sasa
BEING BETTER DOES NOT TAKE AWAY YOUR PROBLEMS.............. yale ya kiwira anatakiwa ajizomee mwenyewe............. uzuri ni kuwa nafsi za binadamu huwa zina kawaida ya kujishitaki pindi mtu anapofanya visivyo..............
 
Jamani nimesoma maoni yote ya watu humu, kwa kusema kweli na pia tuache unafiki, Mkapa alifanya kazi kubwa sana ambayo huwezi kulinganisha. Mimi namkubali sana jamaa, ukianzia kuinua mapato ya serekali, hazina ya fedha za kigeni BOT, ubinafsishaji ambao umeongeza ajira, barabara, Uwanja mkuu wa Taifa, Daraja kubwa la Rufiji, utendaji kazi masaa mengi ofisini na safari chache za nje, alipambana na mfumuko wa bei (mkate haba Dar ulikua TShs 150,sasa zaidi ya 700, Unga wa sembe ulikua Tshs 250, sasa 900, Daladala ilikua 150 kwa 50 kwa muda mrefu. Amepunguza madeni ya nje
Tumwache apumzike jamaa alifanya kazi kubwa Sana, ila hamna mtu ambaye ni Mungu au Malaika asiye na makosa. Kama swala ni kufanya biashara je ni wangapi wanafanya kwa kupitia migongo ya ndugu zao? Si afadhali huyu alifanya mwenyewe? Mimi nakwambia Tanzania ni kubwa sana, kwa hiyo alifanya mambo mazuri sana jamaa.

Unajua performance ya mtu inabidi uipime kwa kulinganisha na tulikotoka, Mkapa alipokea nchi ikiwa katika hali mbaya sana, vijana walikua hawataki shule, serekali ilikua haina hela, shule ilikua haithaminiki, hospitali dawa kulikua hamna, yeye alipambana kufa na kupona. Vyote tunavyojivunia sasa vimetoka kwenye uongozi wake.
Swala hapa ni kuchambua kwa upeo wa mpana wa kiuchumi na sio kuleta siasa, unayesema mkapa hakufanya kitu je ni nani aliyefanya? Hamna aliyemsafi 100%

Wanaoamini biblia, Yesu aliletewa mwanamke moja mzinzi na watu wengi. Ila kwa sheria ya kiyahudi ilimpasa kupigwa mawe hadi kufa. Yesu akawaambia makutano, kwa yeyote anayejiona hana dhambi yeyote awe wa kwanza kumpiga jiwe, Yesu akainama chini akawa anachora kwa kidole chini, hapo alikua anandika amri za Mungu. Aliponyanyua kichwa hakumkuta mtu hata mmoja, na akamwamuru yule mama aende zake na asirudie tena dhambi. Kwa mfano huu, anayejiona hana dhami yeyote awe wa kwanza kumyooshea mkapa kidole.
Amefanya makubwa sana, tumwache apumzike


Hicho sio kibali cha kutuibia wala sio kigezo cha kutukana wananchi wake ati wawivu wa kufikiri, wana wivu wa kike. Alipewa kazi hiyo afanikishe sio afanikishe na kisha kuiba. Hujui baya moja hufuta mema yote?
 
Kweli Miafrika ndivyo tulivyo, Kumbe anajua alichofanya ndo maana baada ya kukutana na wananchi na kuona hawajamzomea akajua kuwa leo siku imekuwa nzuri na kujisifia. Wenzetu UK juzi kati hapa wamemuweka Tony Blair kiti moto kuhusu vita vya Iraq, sisi tunawachekea tu hawa mabaradhuli, lkn ipo siku wataumbuka tuu hawa
 
Jamani nimesoma maoni yote ya watu humu, kwa kusema kweli na pia tuache unafiki, Mkapa alifanya kazi kubwa sana ambayo huwezi kulinganisha. Mimi namkubali sana jamaa, ukianzia kuinua mapato ya serekali
, hazina ya fedha za kigeni BOT, ubinafsishaji ambao umeongeza ajira, barabara, Uwanja mkuu wa Taifa, Daraja kubwa la Rufiji, utendaji kazi masaa mengi ofisini na safari chache za nje, alipambana na mfumuko wa bei (mkate haba Dar ulikua TShs 150,sasa zaidi ya 700, Unga wa sembe ulikua Tshs 250, sasa 900, Daladala ilikua 150 kwa 50 kwa muda mrefu. Amepunguza madeni ya nje
Tumwache apumzike jamaa alifanya kazi kubwa Sana, ila hamna mtu ambaye ni Mungu au Malaika asiye na makosa. Kama swala ni kufanya biashara je ni wangapi wanafanya kwa kupitia migongo ya ndugu zao? Si afadhali huyu alifanya mwenyewe? Mimi nakwambia Tanzania ni kubwa sana, kwa hiyo alifanya mambo mazuri sana jamaa.

Unajua performance ya mtu inabidi uipime kwa kulinganisha na tulikotoka, Mkapa alipokea nchi ikiwa katika hali mbaya sana, vijana walikua hawataki shule, serekali ilikua haina hela, shule ilikua haithaminiki, hospitali dawa kulikua hamna, yeye alipambana kufa na kupona. Vyote tunavyojivunia sasa vimetoka kwenye uongozi wake.
Swala hapa ni kuchambua kwa upeo wa mpana wa kiuchumi na sio kuleta siasa, unayesema mkapa hakufanya kitu je ni nani aliyefanya? Hamna aliyemsafi 100%

Wanaoamini biblia, Yesu aliletewa mwanamke moja mzinzi na watu wengi. Ila kwa sheria ya kiyahudi ilimpasa kupigwa mawe hadi kufa. Yesu akawaambia makutano, kwa yeyote anayejiona hana dhambi yeyote awe wa kwanza kumpiga jiwe, Yesu akainama chini akawa anachora kwa kidole chini, hapo alikua anandika amri za Mungu. Aliponyanyua kichwa hakumkuta mtu hata mmoja, na akamwamuru yule mama aende zake na asirudie tena dhambi. Kwa mfano huu, anayejiona hana dhami yeyote awe wa kwanza kumyooshea mkapa kidole.
Amefanya makubwa sana, tumwache apumzike
alifanya kazi inayoonekana, hakika, na alifanya wizi wa kufuru kuliko yoyote katika HISTORIA YA IKULU ya magogoni.
kuna ufujaji alioufanya moja kwa moja kama Rais, kuna uliofanywa na wasaidizi wake, kuna ule alioruhusu ufanyike.
kifupi alitafuna asilimia kubwa ya alichokijenga, aina ya udokozi alioufanya ndio huo uliomfanya akae chimbo kwa miaka karibu mitatu sasa anaanza kuja na vikejeri, wamvue kinga akajisafishe mahakamani...
 
alifanya kazi inayoonekana, hakika, na alifanya wizi wa kufuru kuliko yoyote katika HISTORIA YA IKULU ya magogoni.
kuna ufujaji alioufanya moja kwa moja kama Rais, kuna uliofanywa na wasaidizi wake, kuna ule alioruhusu ufanyike.
kifupi alitafuna asilimia kubwa ya alichokijenga, aina ya udokozi alioufanya ndio huo uliomfanya akae chimbo kwa miaka karibu mitatu sasa anaanza kuja na vikejeri, wamvue kinga akajisafishe mahakamani...
DHAHABU ZILIZOKAMATWA NA MREMA PALE NJIA PANDA YA ULAYA............. lamada hoteli walijiuzia shilintg ngapi........??? mgodi wa kiwira walijiuzia kiasi gani.............?????????? INAWEZEKANA ALIZIKUSANYA LAKINI AKAJIKABIDHIZA ZOTEEEEE
 
Mwisho wa Yote itabaki kuwa ni ubatili tuu na kijilisha upepo chini ya jua.

No matter how much mkapa amejilimbikizia mali but baraka haziendani na wingi wa mali mtu alizonazo! kwa mfano nasikia watoto wake ni fyatu + bangi tupu. Je akifa Mkapa hizo mali atamwachia nani?

Mkewe ndo hivyo tena tunajua ni fisadi # 2.
 
Pumzika baba, uliyowatendea waTanzania ni mengi na makubwa kwa wale wenye kuangalia mambo kwa mapana!

Sisi tunaopiga mdomo wengine hatujaifanyia chochote Tanzania zaidi ya kulalala kila kukicha!
 
- Unaona si nilisema huko nyuma kwamba kuwazomea ni silaha nzito sana tuliyonayo wananchi, hawapendi kuzomewa wanapenda kutukuzwa tu, sasa dawa ni kuyazomea tu, si huyu anasema mwenyewe fears zake kwamba anaogopa kuzomewa, sasa zomea tuu mpaka lirudishe Kiwira,

- Halafu lituambie siri ya kufungua benki yake baada ya kuwa Rais wa 10 years only tena Tanzania wakati Mwalimu miaka 25 hakufngua hata kiosk cha soda!

Respect.


FMEs!
 
Pumzika baba, uliyowatendea waTanzania ni mengi na makubwa kwa wale wenye kuangalia mambo kwa mapana!

Sisi tunaopiga mdomo wengine hatujaifanyia chochote Tanzania zaidi ya kulalala kila kukicha!
UNAJUWA MTU ANAWEZA AKAKUIBIA 10M NA UNAPOOMBA MSAADA AKAKUCHANGIA 3M TENA ZAIDI YA WENGINE......... kwa asiyefikiri ataona kasaidiwa sana na huyo mtu kumbe kimsingi anasahau kuwa effectively kaibiwa 7M............ mwaeeeeeeee we acha tuwatukuze wezi.........
 
Pumzika baba, uliyowatendea waTanzania ni mengi na makubwa kwa wale wenye kuangalia mambo kwa mapana!

Sisi tunaopiga mdomo wengine hatujaifanyia chochote Tanzania zaidi ya kulalala kila kukicha!

Hakika yalikuwa mengi na mapana:
1-

Kahusika na kufanya biasha Ikulu hadi leo hajatwambia Watanzania biashara hiyo alifanya na nani na ilikuwa ni biashara ya nini. Alilazimisha kununua Rada ambayo sasa imejulikana kwamba ununuzi ule ulijaa ufisadi wa hali ya juu.

2-

Alilazimisha kuwaingiza makaburu wa Net Group Problems pale TANESCO pamoja na Watanzania kuwapinga na hakuna chochote walichokifanya pamoja na kulipwa mabilioni.


3-

Miezi michache kabla ya kumaliza muda wake mabilioni chungu nzima yalichotwa kupitia EPA, Meremeta na Mwananchi Gold. Alilazimisha kuuza nyumba za Serikali kwa bei ya kutupa uamuzi ambao umeliingizia Taifa hasara ya shilingi bilioni 200.

4-

Alilazimisha kununua ndege ya Rais kupitia yule yule wakala wa Rada akiwa amebakisha miezi mitatu tu kumaliza awamu yake na ndege yenyewe sasa hivi iko juu ya mawe.

5-

Alisaini mikataba ya kuchimba dhahabu ambayo haina maslahi na nchi yetu ambayo tunaambulia 3% tu ya mapato yote. Aliiba Kiwira yenye thamani ya shilingi bilioni 7 na kujiuzia kwa shilingi milioni 700 na kulipa shilingi 70 milioni tu.
Sisi wapigadomo kamwe hatutaweza kufanya kama hayo juu, kamwe!!!
Mkuu Kasheshe, kama kuna mapana zaidi unaweza kuongezea kwenye orodha hiyo...
 
Unajua nashangaa sana, unaposema mtu kafanya vibaya je unalinganisha na nini? Wengine mnaseama alizalisha na kuchukua vile vile, je wanaochukua bila kuzalisha hao tuwaitaje?
Ukitaka ujua uzuri na utendaji wa serekali zote za awamu nne, usimzungumzie tu Mkapa. Wewe toa data za awamu moja baada ya nyingine hapo ndipo tutaona kumbe Mkapa hakufanya kitu. Hili swala lakuongea tu bila ulinganishi ni aibu kwa wasomi. Ili kujua kama mtu amefanya vizuri unatakiwa uangalie vitu vifuatavyo
Umlinganieshe yeye na wenzake katika idara zote, kama haiwezekani uwe na standard za kulinganisha. Huwezi kusema ubatili. Pia jiulize wewe umelifanyia nini taifa lako?
Ili tuondoe ubishi, mnaosema mkapa aliboronga tuambieni ni nani aliyefanya vizuri na ni kwenye maendeo gani yenye tija

Mwacheni ampumzike
 
Jamani nimesoma maoni yote ya watu humu, kwa kusema kweli na pia tuache unafiki, Mkapa alifanya kazi kubwa sana ambayo huwezi kulinganisha. Mimi namkubali sana jamaa, ukianzia kuinua mapato ya serekali, hazina ya fedha za kigeni BOT, ubinafsishaji ambao umeongeza ajira, barabara, Uwanja mkuu wa Taifa, Daraja kubwa la Rufiji, utendaji kazi masaa mengi ofisini na safari chache za nje, alipambana na mfumuko wa bei (mkate haba Dar ulikua TShs 150,sasa zaidi ya 700, Unga wa sembe ulikua Tshs 250, sasa 900, Daladala ilikua 150 kwa 50 kwa muda mrefu. Amepunguza madeni ya nje
Tumwache apumzike jamaa alifanya kazi kubwa Sana, ila hamna mtu ambaye ni Mungu au Malaika asiye na makosa. Kama swala ni kufanya biashara je ni wangapi wanafanya kwa kupitia migongo ya ndugu zao? Si afadhali huyu alifanya mwenyewe? Mimi nakwambia Tanzania ni kubwa sana, kwa hiyo alifanya mambo mazuri sana jamaa.

Unajua performance ya mtu inabidi uipime kwa kulinganisha na tulikotoka, Mkapa alipokea nchi ikiwa katika hali mbaya sana, vijana walikua hawataki shule, serekali ilikua haina hela, shule ilikua haithaminiki, hospitali dawa kulikua hamna, yeye alipambana kufa na kupona. Vyote tunavyojivunia sasa vimetoka kwenye uongozi wake.
Swala hapa ni kuchambua kwa upeo wa mpana wa kiuchumi na sio kuleta siasa, unayesema mkapa hakufanya kitu je ni nani aliyefanya? Hamna aliyemsafi 100%

Wanaoamini biblia, Yesu aliletewa mwanamke moja mzinzi na watu wengi. Ila kwa sheria ya kiyahudi ilimpasa kupigwa mawe hadi kufa. Yesu akawaambia makutano, kwa yeyote anayejiona hana dhambi yeyote awe wa kwanza kumpiga jiwe, Yesu akainama chini akawa anachora kwa kidole chini, hapo alikua anandika amri za Mungu. Aliponyanyua kichwa hakumkuta mtu hata mmoja, na akamwamuru yule mama aende zake na asirudie tena dhambi. Kwa mfano huu, anayejiona hana dhami yeyote awe wa kwanza kumyooshea mkapa kidole.
Amefanya makubwa sana, tumwache apumzike

Mazuri aliyoyafanya yapo na ameyafanya kwa wajibu wake aliotuapia umma wa watanzania!

Kinachoongelewa hapa ni madudu alilyoyafanya! na ukifanya mazuri na wewe huyo huyo ukafanya madudu ; madudu yatafunika mazuri yote! Watu watakumbuka madudu!

Usimtetee
 
- Unaona si nilisema huko nyuma kwamba kuwazomea ni silaha nzito sana tuliyonayo wananchi, hawapendi kuzomewa wanapenda kutukuzwa tu, sasa dawa ni kuyazomea tu, si huyu anasema mwenyewe fears zake kwamba anaogopa kuzomewa, sasa zomea tuu mpaka lirudishe Kiwira,

- Halafu lituambie siri ya kufungua benki yake baada ya kuwa Rais wa 10 years only tena Tanzania wakati Mwalimu miaka 25 hakufngua hata kiosk cha soda!

Respect.

FMEs!
Nakubaliana nawe Kamanda. Kuzomea saaana ndio dawa yao. Nashangazwa na wanaosema amefanya mengi makubwa katika kipindi chake hivyo aachwe apumzike. Huo ni unafiki mkubwa. Alipoomba kazi hiyo kwa kuzunguka nchi nzima si ndiyo aliyoahidi kufanya nasi tukampa ajira (kura)? hivi angesema kuwa nyongeza ya kazi hiyo ntakayofanya nitawaibia na kuuza rasilimali zenu kwa bei ya kutupa nani angempa ajira hiyo (Uraisi)?
Tusipotoshane, BM ametusaliti big time.
 
Unajua nashangaa sana, unaposema mtu kafanya vibaya je unalinganisha na nini? Wengine mnaseama alizalisha na kuchukua vile vile, je wanaochukua bila kuzalisha hao tuwaitaje?
Ukitaka ujua uzuri na utendaji wa serekali zote za awamu nne, usimzungumzie tu Mkapa. Wewe toa data za awamu moja baada ya nyingine hapo ndipo tutaona kumbe Mkapa hakufanya kitu. Hili swala lakuongea tu bila ulinganishi ni aibu kwa wasomi. Ili kujua kama mtu amefanya vizuri unatakiwa uangalie vitu vifuatavyo
Umlinganieshe yeye na wenzake katika idara zote, kama haiwezekani uwe na standard za kulinganisha. Huwezi kusema ubatili. Pia jiulize wewe umelifanyia nini taifa lako?
Ili tuondoe ubishi, mnaosema mkapa aliboronga tuambieni ni nani aliyefanya vizuri na ni kwenye maendeo gani yenye tija

Mwacheni ampumzike
C'mon, why we beating around the bush? Simply name 5 in contrast to above Bubu's list so we can all figure their order of magnitude to this nation's pride or rather plight!!
 
Umesahau kwamba yeye huyu bwana ni mR Clean? Amechagua kwenda Kilolo kijijini kwa makusudi, unajuaje, labda wanyalukolo kule wanadhani bado nkapa anatawala?

BWM huwa anapenda kuzungumza akiwa vijijini; mnakumbuka hata mara ya kwanza kujaribu kujibu tuhuma alizumgumza akiwa kijijini kwao Lupaso!! Watu wa vijijini wana busara ya woga na kama haamini ajaribu kuhutubia Kawe wilaya ya Kinondoni tuone kama atapokelewa kwa kishindo!!
 
Kasubiri mijadala imefungwa bungeni ndo kajitokeza na watz tumesahau uchafu wake
Inchi hii bila kuchi....na HAITABADILIKA!!!!!!!
 
RAIS mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, amesema, hakuna Mtanzania anayeweza kudiriki kumzomea kwa kuwa rekodi ya utendaji wake kitaifa na kimataifa inaendelea kumlinda.


Ameyasema hayo jana alipozungumza na wadau wanaonufaika na taasisi yake ya Benjamin William Mkapa HIV/AIDS Foundation wilayani hapa.



CHANZO: Habari Leo

Huyu mzee ajinyamazie maana anazidi kutonesha vidonda alivyowasababishia watanzania wakati wa uongozi wake.
Mi naona ni bora aendelee na matangazo yake ya HIV anayotangaza kwenye TV.
 
Back
Top Bottom