TzPride
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 2,616
- 1,167
Wandugu, nimefurahi sasa kuosoma post zenu zilizonikonga moyo, ukiacha ya Devil Novo, oops! De Novo....wote mmenena sawa!
Jamaa anaona noma huyo. Mr Clean IN, Mr. Dirtiest OUT..ole wake mchonga ange survive kama Mandela, angemkoma. Alimlaghai Nyerere akabebwa, wengine wakipigwa marungu ati wanataka kwenda ikulu kufanya nini....nakumbuka mzee wa Kiraracha alionekana kwamba anataka kwenda kufanya biashara humo. Duh! kumbe Nyerere alidanganyika!
Jamaa anaona noma huyo. Mr Clean IN, Mr. Dirtiest OUT..ole wake mchonga ange survive kama Mandela, angemkoma. Alimlaghai Nyerere akabebwa, wengine wakipigwa marungu ati wanataka kwenda ikulu kufanya nini....nakumbuka mzee wa Kiraracha alionekana kwamba anataka kwenda kufanya biashara humo. Duh! kumbe Nyerere alidanganyika!