Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Inteligensia ya Gazeti la Raia Mwema imeweka wazi kwamba, hapo nyuma Limewai kumnasa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa akimfananisha Rais Kikwete na Robot kwa sababu ya tabia zake za kusukumia wengine malalamiko ya matatizo mbalimbali na tabia ya kutopenda kuufikirisha ubongo wake.
Miifano ya Tabia hizi za kikwete ni
1. Kuikana Ilani ya Chama chake na kudai alipewa akiwa Jangwani katika harakati zake za kukwepa sakata la Mahakama ya Kadhi.
2. Kukurupuka kuanzisha Mchakato wa Katiba Mpya wakati haikuwa Ilani ya Chama chake wakati wa Kampeni wa Uchaguzi Mkuu wala haikuwa kwenye list ya ahadi za papo kwa papo za Bajaji, Hospitali za Rufaa, Viwanja vya ndege, n.k
3. Kusign kuwa sheria miswada yenye Mapungufu, kama ule wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi.
4. Kupelekwa kwa Waganga na Waaguzi Feki
5. Kubembea pamoja na mama yetu na watu ambao hawajui na ndio kakutana nao papo kwa papo huko Jamaica.
6. Kupayuka kwamba na yeye hamjui Mmiliki wa Dowans kwenye Mkutano wa Hadhara.
7. nk
My Take
Chadema wakiingia kwenye Mazungumzo na huyu Jamaa wanaweza kutumia hulka hii ya Jakaya kumshauri kuachia ngazi na yeye Kama Robot anaweza kuachia.
Miifano ya Tabia hizi za kikwete ni
1. Kuikana Ilani ya Chama chake na kudai alipewa akiwa Jangwani katika harakati zake za kukwepa sakata la Mahakama ya Kadhi.
2. Kukurupuka kuanzisha Mchakato wa Katiba Mpya wakati haikuwa Ilani ya Chama chake wakati wa Kampeni wa Uchaguzi Mkuu wala haikuwa kwenye list ya ahadi za papo kwa papo za Bajaji, Hospitali za Rufaa, Viwanja vya ndege, n.k
3. Kusign kuwa sheria miswada yenye Mapungufu, kama ule wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi.
4. Kupelekwa kwa Waganga na Waaguzi Feki
5. Kubembea pamoja na mama yetu na watu ambao hawajui na ndio kakutana nao papo kwa papo huko Jamaica.
6. Kupayuka kwamba na yeye hamjui Mmiliki wa Dowans kwenye Mkutano wa Hadhara.
7. nk
My Take
Chadema wakiingia kwenye Mazungumzo na huyu Jamaa wanaweza kutumia hulka hii ya Jakaya kumshauri kuachia ngazi na yeye Kama Robot anaweza kuachia.