DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
Mkapa yeye kwakweli ameshikwa na butwa, kwani siku zote alijua Watanzania ni mabubu hawajui kusema sasa anashangaa, na bado
..tamaa ya ufisadi haitofautiani na ile ya ngono!
..unapokuwa uko tendoni hufikirii nini kitatokea baadae!
..si ndo maana ukimwi unatumaliza!