Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,957
- 4,635
Katika hali ya utatanishi, kwenye sherehe kubwa ya muungano ambayo ilihudhuliwa na viongozi mbalimbali na wale wastaafu lakini Rais wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa hakuonekana uwanja wa Taifa ambapo sherehe hizi zilifanyika. Je Mkapa kaogopa Kuzomewa na wananchi? au alijua waandishi wa habari wangemuhoji kama alivyohojiwa mzee Mwinyi?