1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Mkapa ni rafiki wa karibu sana na Mahalu, hilo linafahamika fika. Manunuzi hayo ya nyumba ya ubalozini kwetu Italy yalikuwa ya kifisadi yakifanywa na Mahalu akishirikiana na huyo dada (Grace) ambaye alikuwa hawara yake kiasi cha kuharibu na ndoa yake wakishirikiana na mamaafia wa Kiitaliano.
Inasemekana pia kuwa CCM walikuwa na mgawo katika pesa hizo nafikiri ndo maana Mkapa amejitokeza hadharani kumtetea swahiba wake asiangukie mikononi mwa pilato ili hali pesa hakula yeye peke yake.
Na kwa mtiririko huu wanaelekea kushinda kesi wadai fidia kwa kuzalilishwa na mishahara yao maana wamekuwa wakilipwa mishahara nusu tangu wasimamishwe kazi.
Mkuu nitatofautiana kidogo na wewe!maana J.k alijua kila kitu juu ya ununuzi,gharama na mkataba wa jengo ilo,na hata issue ya mikataba miwili aliifahamu,na serikali ilibariki ilo na J.K akiwa kama waziri wa mambo ya nje alibariki ununuzi huo na hata kukutana na mama muuzaji wa jengo ilo,na hata baadhi ya vielelezo vimewakilishwa mahakamani vikiwa na sahihi ya ******!hii kesi ni wazi imefunguliwa kwa kukomoana,kwa kua tu ni kweli ulicho ongea kua Grace ni hawara wa Mahalu na mpaka ikafikia ndoa yake kuvunjika,na mume wa zamani wa Grace ni best mkubwa wa ******,na tatizo lingine Mahalu alikua akimdharau sana ******,ndio maana baada ya ****** kuchukua madaraka tu alichokimbilia ni kutengeneza kesi hiyo ili kuwakomoa,ndio maana awali kesi ilikua na watuhumiwa zaidi ya hao wawili lakini wengine wote walitemwa na wakabaki walengwa!hii kesi haina merrit kabisa,na hv visasi vya ****** vitakuja kumback fire tu!