Kamtori
Member
- Jan 2, 2009
- 81
- 10
THESE THINGS HAPPEN ONLY IN TANZANIA. NJII HIII DUH!!!:israel:
Hivi ni nani alimshitaki Mahalu? Na kwa kosa lipi?
Nauliza maswali haya kwa sababu wanasema kahujumu Uchumi kvipi? maana Ushahidi wake unatuchanganya.. nakumbuka wakati ananunua hizo nyumba JK alikuwa Waziri wake.. Mkapa alikuwa Rais wake...
Wakati ule JK aliwahi kutetea Uamuzi ule akiwa Waziri.. Na Leo hii mkapa anamtetea kama Shahidi kuwa yote yaliyofanyika yalikuwa na Baraka za Serekali sana najiuliza ni nani alimshita Prof Mahalu kwani.
Kama ni uhujumu uchumi basi aliyekuwa Rais wakati huo na Waziri ndiyo wenye hii Kesi unless wanampinga kwa manunuzi aliyofanaya.
Swali langu la pili ni kwamba ni Nani atamlipa Prof Mahalu akifungua Kesi ya Madai baada yaKushinda au ni yale yale ya Zombe?????
CCM bwana..