Nikiwa raisi, ntawekeza zaidi kwenye magereza kuliko shule.
Nimegundua, siwezi rudi shule ila naweza enda gerezani.
Napendekeza katiba mpya waondoe kinga ya rais kutoshtakiwa
JK yeye atapanda atakapokuwa anamtetea EL.Bado JK maana na yeye ni Shahidi muhimu sana kwenye hii kesi.
TUMBIRI wa JF,
P.O BOX - PM JF.