Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,743
- 29,283
Mkapa na wa awamu ya nne... wale wote waliohusika ketengeneza huo mkataba.
Kinacho fanya hii ishu kuwa ngumu ni mkataba.. kumfukuza wazir haisaidii coz kama mkataba ni ule ule nchi itaendelea kutekeleza according to mkataba.. means hata wazir ajae atakapo pewa kiti, kama mkataba ni ule ule naye hatafanya kitu
Kinacho fanya hii ishu kuwa ngumu ni mkataba.. kumfukuza wazir haisaidii coz kama mkataba ni ule ule nchi itaendelea kutekeleza according to mkataba.. means hata wazir ajae atakapo pewa kiti, kama mkataba ni ule ule naye hatafanya kitu