Mkapa above the law?: Allegations

Kuna wakati nilitembelea kiwanda cha sukari Mtibwa. Katika ofisi ya mkurugenzi. Mkuu wa kampuni hiyo Bw. Yahya kuna picha kubwa ukutani Mkapa na Mkewe wakiwa na viongozi wakuu wa kampuni hiyo. Mkapa na Mama Anna wamevalia viatua aina ya raba wanaonekana walienda kuvinjari shamba lao la miwa. Kiwanda cha sukari cha Mtibwa ni moja ya viwanda vya umma ambavyo vilibinafsishwa kwa utata mkubwa. Mkapa na familia yake wamepewa shamba la bure ambalo linahudumiwa na kampuni ya Mtibwa yenyewe. Wamiliki wa Mtibwa na Kagera sugar ni kampuni moja ya Super doll.
 
Kuna wakati nilitembelea kiwanda cha sukari Mtibwa. Katika ofisi ya mkurugenzi. Mkuu wa kampuni hiyo Bw. Yahya kuna picha kubwa ukutani Mkapa na Mkewe wakiwa na viongozi wakuu wa kampuni hiyo. Mkapa na Mama Anna wamevalia viatua aina ya raba wanaonekana walienda kuvinjari shamba lao la miwa. Kiwanda cha sukari cha Mtibwa ni moja ya viwanda vya umma ambavyo vilibinafsishwa kwa utata mkubwa. Mkapa na familia yake wamepewa shamba la bure ambalo linahudumiwa na kampuni ya Mtibwa yenyewe. Wamiliki wa Mtibwa na Kagera sugar ni kampuni moja ya Super doll.

Alitumia madaraka yake kukwapua mali za Watanzania tena bila hata woga.
 
Imeripotiwa hivi karibuni kuwa Mwenyekiti wa CCM wa Taifa Bw. Ben Mkapa kwamba yeye hakubaliani na uamuzi wa Mahakama ulioruhusu uwepo wa wagombea huru.

Binafsi sijafurahishwa kuwa hakuna mwandishi aliyeamua kumhoji Mkapa kwa kina inakuwaje yeye na chama chake wamejiweka kuwa ni walinzi wa sheria zetu na katiba yetu badala ya mahakama? Haya mambo ya kudharau mahakama kwa wazi namna hii yatatufikisha pabaya!

Na tuangalie ni yepi mabaya yaliyotendeka chini ya utawala wa Mkapa sasa!
Huyu mzee anadharau sana sheria na naona wanamwogopa. nimemsikia akisema igunga kuwa nanukuu "hao wanaojiita Takukuru wasije wakasema ugawaji wa mahindi kwa wanaigunga wakati huu wa kampeni, sio rushwa, ni utekelezaji tu wa kazi za serikali kusambaza chakula kwa wananchi wake" sasa inamaana Mkapa hawajui Takukuru hadi asema hawa wanaojiita Takukuru???hii sio dharau kwa vyombo vya usalama??Mara nying ameonekana akiagiza vyombo vya kiusalama kufanya ndivyo sivyo. Kimsing anadharau na anajiona yupo juu ya sheria kwa sababu ya utawala mbovu
 
Nchi hii wapo wateule wengi sana wapo ''above the law'' chochote wanachofanya hairuhusiwi chombo chochote cha dola kutia pua. Sheria zipo kwa ajili ya akina ''Pangu pakavu tia mchuzi''.
 
Imeripotiwa hivi karibuni kuwa Mwenyekiti wa CCM wa Taifa Bw. Ben Mkapa kwamba yeye hakubaliani na uamuzi wa Mahakama ulioruhusu uwepo wa wagombea huru.

Binafsi sijafurahishwa kuwa hakuna mwandishi aliyeamua kumhoji Mkapa kwa kina inakuwaje yeye na chama chake wamejiweka kuwa ni walinzi wa sheria zetu na katiba yetu badala ya mahakama? Haya mambo ya kudharau mahakama kwa wazi namna hii yatatufikisha pabaya!

Na tuangalie ni yepi mabaya yaliyotendeka chini ya utawala wa Mkapa sasa!

Mkapa alias "Mr Mchafu" is above the law, therefore untouchable.
 
Ilikuwa hivyo kwa sababu walikuwa wanamuogopa sana ndio maana walishindwa kumuuliza lolote uncle Ben...... lkn ngelikuwa ndio mswahili wa bagaheart ingelikuwa front page mwaka mzima. Ndio maana jamaa akaamua kula nchi atakavyo coz palikuwa hakuna wakumuoji wala kuguna chakushangaza zaid ukiwatazama wanalilia tumboni. Sijui huyu uncle aliwapa limbwata ya kusini wanachini wote wakawa NDIO MZEE
 
Ilikuwa hivyo kwa sababu walikuwa wanamuogopa sana ndio maana walishindwa kumuuliza lolote uncle Ben...... lkn ngelikuwa ndio mswahili wa bagaheart ingelikuwa front page mwaka mzima. Ndio maana jamaa akaamua kula nchi atakavyo coz palikuwa hakuna wakumuoji wala kuguna chakushangaza zaid ukiwatazama wanalilia tumboni. Sijui huyu uncle aliwapa limbwata ya kusini wanachini wote wakawa NDIO MZEE

The guy was a dictator in kind. Hii sera ya polisi ya shoot to kill imeanzia kwake, mauaji ya Mwembechai, mauaji ya Ungua na Pemba January 21 na 22 2001, ukiachilia mbali watu waliokuwa wanauwawa na majambazi kisha majambazi hawajulikani, unakumbuka stori ya Dr. Ouko?(upande wa kenya), Unakumbuka watu kama akina Horace Kolimba?. Jamaa alikuwa anatumia iron fist kunyamazisha wanaompinga. Na huyu jamaa ndiyo rais mstaafu anayeishi kwenye wasiwasi mkubwa wa kuburuzwa kwenye mahakama kama nchi itaongozwa na mtu asiyeweza kumlinda.

Alikuwa anajua fika kuwa ili awe salama ni lazima CCM iwe na control ya bunge, unapokuwa na wabunge wasio na vyama wengi (Kama mfumo wa wagombea huru ungepita) basi ni rahisi kuondolewa kinga na kufikishwa kizimbani na kama rais aliyepo madarakani atakulinda, na yeye anaweza kuwa victim kwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani.
 
Jk siyo mpuuzi kiasi hicho kwa sababu anajitambua na yeye kuwa siku aki-step down yanaweza kumkuta makubwa.
zhangwei3.jpg

zhangwei4.jpg

zhangwei5.jpg

zhangwei2.jpg
 
Hakuna sehemu hata moja duniani ambayo ni 'classless' kwahiyo jua kwamba unapokuwa kwenye madaraka inaamisha kwamba wewe una priority kulinganisha na mtu baki;

kwahiyo tusichukie pale tunapoona Raisi anapita na escort ya polisi; ujue kwamba mwenzako yuko kwenye class tofauti na wewe ukiwa Raisi basi unasafiri na escort na yeye atakuangalia pembeni ya barabara;

Msipende kuwalaumu viongozi kwa priorities wanazopata, hiyo ndio 'perks' zinazokuja na kuwa kiongozi; na vile vile ni heshimu, wewe kwanini uanze kulaumiana na mtu mwenye uongozi, sababu zinazomfanya yeye kiongozi ni kukuongoza wewe, sasa hata siku moja hamuwezi kuwa na treatment sawa;

Huo ndio ukweli.
 
Imeripotiwa hivi karibuni kuwa Mwenyekiti wa CCM wa Taifa Bw. Ben Mkapa kwamba yeye hakubaliani na uamuzi wa Mahakama ulioruhusu uwepo wa wagombea huru.

Binafsi sijafurahishwa kuwa hakuna mwandishi aliyeamua kumhoji Mkapa kwa kina inakuwaje yeye na chama chake wamejiweka kuwa ni walinzi wa sheria zetu na katiba yetu badala ya mahakama? Haya mambo ya kudharau mahakama kwa wazi namna hii yatatufikisha pabaya!

Na tuangalie ni yepi mabaya yaliyotendeka chini ya utawala wa Mkapa sasa!
enzi zako.. kumbe ulikuwa unajua kuwa ni vibaya kwa mkuu wa nchi kuwa mlinzi wa sheria na katiba?
 
Nyerere, alimjua Mkapa kwa sababu alijua kuwa Mkapa ameshagombea mara karibu kumi uongozi wa ndani ya CCM na kunyimwa, na kila alipouliza why? Aliambiwa sababu, lakini kwa vile alikuwa mwanafunzi wake Pugu, akaamua kutojali na kumpa urais anyways,

Sasa Nyerere, hakuwa fisadi no way, lakini aliwajua mafisadi na wengine kina Kahama, Bomani, Kimario, Msuya,aliwakumbatia sana, hata kabla hajafa Nyerere alijua kuwa Mkapa na wenziwe wameiba NBC kwa kuiuza bei poa, yaani Idd Simba, Sumaye, na Kigoda, wakishirikiana na Mpungwe, na Kazaura,

Wazee msituchokoze uchungu, tumeliwa inatosha, mwacheni mzee wa watu Nyerere alale salama peponi, ingawa tutalipia for the rest of our life ujinga wetu wa kumuamini kuwa yeye tu ndiye aliyekuwa na akili, sasa tukubali tu yaishe, maana tuliyataka wenyewe na bado tunaendelea kuyataka kwa kuwachagua anyways, maana ni Mkapa huyo mhuyo aliyetulazimisha kumchagua Muungwana, meaning kuwa bado hatujaamuka!
KIGODA NA MKAPA NI DAMU DAMU KITAAMBO .KUMBE HADI NBC WALIKULA HELA? HII NCHI IMELIWA *****
 
Nyerere, alimjua Mkapa tena nje ndani, tena kwa karibu sana,

kwa sababu alikuwa akimjua Lowassa kwa karibu sana, ingawa hakuwa mtoto wake wala ndugu yake, wala kiongozi aliyefanya naye kazi kwa karibu, mpaka akamkatalia urais, sasa iweje kuwa hakumjua Mkapa aliyekuwa waziri wake wa nje?

Watanzania inabidi tukubali ukweli, kwamba tumekuwa wajinga for too long, ndio maana tunakazania kuitangaza JF kwa nguvu zote tulizonazo, ni kwa sababu tunajaribu kuamshana kutoka kwenye usingizi mzito sana tulionao, Mkapa alikuwa Elimu na Sayansi, nani aliyekuwa hajui kilichokuwa kikiendelea huko betweeen Mkapa na Mahalu? Eti mnasema Mwalimu, alikuwa hamjui Mkapa? Wakuu tunaambiwa kuwa kipindi cha Mwinyi, hata Usalama walikuwa wamechoka na kuamua kumpa Mwalimu, info zote za serikali na ndio maana wakampa hata za Lowassa, na za Ikulu kuwa pango la kufanyia biashara haramu, sasa mnataka kutuambia kuwa kwenye hizo info hazikuwepo za Mkapa?

Mwalimu, alimpigia makelele Mwinyi, kuwa ni mwizi, lakini hakutuomba msamaha wananchi kwa kutuchagulia kiongozi mbovu, the next thing akarudia tena mchezo wake na kutuchagulia Mkapa again mambo yakawa yale yale, lakini akanyamaza kimyaa, sasa leo maa-pologists mnasema hakumjua Mkapa? Eti Mwalimu hakujua kuwa CCM ilishindwa kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 kule visiwani?, sasa kama alijua hilo how could you put past him kuwa hakumjua Mkapa? Mbona hakusema kitu kwenye ishu ya Zanzibar kama kweli alikuwa ni malaika kama wengi hapa mnavyotaka tuamini? hivi wakuu kweli tunaelewa maana ya siasa na mwanasiasa au tunabahatisha tu?

Wewe kweli ni rais wa nchi, watoto wako wote wanasoma bongo, waziri wako wa nje watoto wake wanasoma US toka wakiwa watoto wadogo, tena in the middle ya siasa ya ujamaa, wakati wananchi wanakula njano na foleni ya kipande cha sabuni mbuni, halafu unasema kuwa humjui waziri wako wa nje? Vijana hebu muache haya masiala, wewe kweli unaamini kuwa Mkapa aliandika mali zake zote? wananchi wa bongo tulikuwa tumelala sana usingizi, matokeo yake tukaruhusu aliyeamka Mwalimu na alioamka nao kina Mkapa, kutuchezea na bado tunaendelea kuchezewa, ndio kwanza tunajaribu kuamka, lakini bado kazi ni nzito saana ya kuamshana, ndio maana ni lazima tuitangaze JF kwa nguvu zote, maana huwezi ingia hapa ukaendelea kulala!

Mwalimu, alale pema peponi, lakini alikuwa akimjua tena vizuri sana Mkapa, kuliko hata sisi wananchi, lakini tunasahau kuwa Mwalimu, alikuwa ni mwanasiasa, alikuwa pia akiangalia legacy yake ambayo ilishamiri sana under Mkapa, Nyerere Foundation imewika under urais wa Mkapa, na sio Mwinyi, hebu nyie Nyerere apologists tuambieni zile shillingi millioni 300 ambazo Mkapa alikuwwa akitoa kwa hiyo foundation alikuwa akizitoa wapi? au under what budget? Mwinyi, na kundi lake walikataa kata kata kumpa Mwalimu hizo hela, na kuna wakati Mwalimu, alikuwa bado ana demand kusafiri kwenye ndege ya rais na Mwinyi alikuwa akikataa, lakini yote haya aliyafanya under Mkapa, kwa hiyo si kweli kabisaa kuwa kwa kumchagua Mkapa, Mwalimu alikuwa hajui anachofanya no way wakuu!

Tunasema kuwa Mwalimu, hakuwa mfisadi, lakini hakuwa na tatizo na mafisadi waliokuwa wakimsujudia, Mkapa included, kusema Mwalimu, hakumjua Mkapa ni very naive thinking kama sio kujua what makes siasa na wanasiasa, to be politicians, siasa sio dini wakuu au charity, siasa ni utawala na power ndani yake, na pia tukumbuke kuwa power siku zote huwa ina-corrupt hata wachungaji kina Mtikila!
AISEE
 
Fisadi Mkapa will remain 'Mr Clean' to people like you who don't have the ability to use their brain, but to many Tanzanians he will always be a FISADI who did not deserve to be the leader of our beautiful country.
macho ya mbali....mm simo
 
Upo ushahidi wa kutosha Mkuu wa kuthibitisha ufisadi na wizi wa huyu. Hawa siyo miungu lazima waambiwe ukweli kwamba wanaivuruga na kuiangamiza nchi yetu kwa maamuzi yao ambayo yanaweka mbele maslahi ya matumbo yao na chama chao badala ya Tanzania na Watanzania.

macho ya mbali....mm simo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom