Mkanganyiko kuhusu matumizi ya Blackseeds oil (habat sawda)

Ahsante mkuu.!
Mimi ninaitazama zaidi katika namna ya kisayansi badala ya kiimani.
Sabbu ukiingia katika uwanda wa Imani inawezekana ikawa ngumu sana kupata majibu ya kila swali. Kwa hii ya (blackseeds oil ) kwenye jukwaa hili ningetamani tujadili maswali haya mawili..
1: Je ni dawa?
Kama jibu litakuwa ni ndio basi tujadili kisayansi kwa msaada wa watu mahili walio katika tiba humu ndani..

2: Ni vipi hutibu.? Kisayansi
Nadhani tukiwa na mjadala wa aina hiyo utatusaidia zaidi kututoa tongotongo za macho..

Mwisho wale mashuhuda waliyo tumia na ikawatibu watatupa uzoefu wao sabbu naamini wengi wapo humu na wanasoma huu uzi. Baadhi yao wamenunua kwangu na kunipa mrejesho chanya.
Na bila shaka wengine wamenunua kwingine tukikusanya majibu hayo tutakuwa tumepiga hatua mbele zaidi.
Ila mafuta hayo yasiwe yamesomewa dua zinazoita makabila 99 ya majini kuwa sehemu ya tiba. Utafiti umeonesha kwamba wanaotumia mafuta ya aina hiyo, badala ya kuondoa tatizo, hulizidisha kwa sababu wale majini waliohusishwa kwenye mafuta hayo huwa na demand zao za kijini kwa Yule mgonjwa.

Ni vyema mafuta hayo yatumike kama Rhema (instant revelation) na siyo Logos (regular).

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei kila mtu huwa na bei yake kutegemea na ubora na upatikanaji wake hivyo sidhani kama itakuwa vema mimi kuweka bei yake hapa. Ila anayehitaji aweza wasiliana nami Pm.
Kuhusu kuweka magonjwa kwa kiswahili ingekuwa vema zaidi lakini nimenakili aina hizo za magonjwa kutoka kwenye vyanzo vingine vya taarifa. Mitandaoni ili kuweza kutupa upana wa kuelewa. Na hii inatusaidia kujua kuwa sio sisi peke yetu ambao twaona mafuta haya au dawa hii ni msaada bali ni jambo ambalo lipo kwa mapana zaidi na duniani kote wanaitambua.
Mwisho nadhani hali yako ya uchumi, ndiyo inayoweza amua aina ipi na kiwango (quality) ipi uitumie kwa matatizo yako.View attachment 990728

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ndio hivo basi unacho kifanya au huduma inayotoa huijui. Haiwezekani hayo magonjwa ukawa huyajui na bado unauza Dawa. Anyway mambo ya PM mm sipendi. Yani kusema mafuta nauza elfu 20 kwa Robo lita nayo inahitaji nije PM. Ok Kazi njema Kaka
 
Kama ndio hivo basi unacho kifanya au huduma inayotoa huijui. Haiwezekani hayo magonjwa ukawa huyajui na bado unauza Dawa. Anyway mambo ya PM mm sipendi. Yani kusema mafuta nauza elfu 20 kwa Robo lita nayo inahitaji nije PM. Ok Kazi njema Kaka
Sikuzuii kuwa na mtazamo wako katika majibu yangu. Ndio maana ya uhuru wa mawazo. Nami pia nikutakie kazi njema mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei kila mtu huwa na bei yake kutegemea na ubora na upatikanaji wake hivyo sidhani kama itakuwa vema mimi kuweka bei yake hapa. Ila anayehitaji aweza wasiliana nami Pm.
Kuhusu kuweka magonjwa kwa kiswahili ingekuwa vema zaidi lakini nimenakili aina hizo za magonjwa kutoka kwenye vyanzo vingine vya taarifa. Mitandaoni ili kuweza kutupa upana wa kuelewa. Na hii inatusaidia kujua kuwa sio sisi peke yetu ambao twaona mafuta haya au dawa hii ni msaada bali ni jambo ambalo lipo kwa mapana zaidi na duniani kote wanaitambua.
Mwisho nadhani hali yako ya uchumi, ndiyo inayoweza amua aina ipi na kiwango (quality) ipi uitumie kwa matatizo yako.View attachment 990728

Sent using Jamii Forums mobile app
MWONGOZO: Zingatia haya unapoweka tangazo lako! - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachotakiwa we nunua Habat sauda yako japo ya alfu 3. Halafu asubuhi tafuna mbegu tano tu na jioni mbegu 5 tu.Maradhi hutopatwa kamwe na ukipata atakuwa kaamuwa muumba wako tu.Sema usisahau kula pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeagizwa kuchanganya Barley + ngano + Habat sowda (100grams each) kuzichemsha kwa dakika kumi na kuchuja hayo maji kwa matumizi ya kutibu sukari inayoanza. Problem niliyonayo hiyo Habat Sowda ba Barley sijui vinakopatikana. Niko Arusha
Maduka yanayouza dawa asilia au ya kisuni yana hivyo vitu. Sijui Arusha lakini kwa Dar es salaam ni sokoni Kkoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeagizwa kuchanganya Barley + ngano + Habat sowda (100grams each) kuzichemsha kwa dakika kumi na kuchuja hayo maji kwa matumizi ya kutibu sukari inayoanza. Problem niliyonayo hiyo Habat Sowda ba Barley sijui vinakopatikana. Niko Arusha
inapatikana kwenye maduka yauzayo dawa za tiba mbadala. kwa arusha sijui ila dar maduka yapo kariakoo yanapo paki mabasi ya tegeta
 
Mimi nimeagizwa kuchanganya Barley + ngano + Habat sowda (100grams each) kuzichemsha kwa dakika kumi na kuchuja hayo maji kwa matumizi ya kutibu sukari inayoanza. Problem niliyonayo hiyo Habat Sowda ba Barley sijui vinakopatikana. Niko Arusha


Arusha nenda Gohil's pale opposite Rushda supermarket au duka lingine liko Aim Mall karibu name TANAPA
 
Ila mafuta hayo yasiwe yamesomewa dua zinazoita makabila 99 ya majini kuwa sehemu ya tiba. Utafiti umeonesha kwamba wanaotumia mafuta ya aina hiyo, badala ya kuondoa tatizo, hulizidisha kwa sababu wale majini waliohusishwa kwenye mafuta hayo huwa na demand zao za kijini kwa Yule mgonjwa.

Ni vyema mafuta hayo yatumike kama Rhema (instant revelation) na siyo Logos (regular).

Sent using Jamii Forums mobile app
nakuelewa ki spirituary
 
Back
Top Bottom