getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,812
Kumekuwa na sintofahamu na maelezo mengi yanayokinzana kuhusu matumizi ya habat sawda kwamba kipi chafaa kutumika mafuta, unga ama mbegu zake.!
Hapa mimi nitatoa mtazamo wangu japo ni uwanja huru kila mtu aweza toa mtazamo wake kwa kadri aonavyo ni sahihi lengo letu sote ni kuwasaidia ndugu zetu wwnye maradhi yanayohitaji msaada wa tiba hizi za asili..
Kwa mtazamo wangu matumizi ya mafuta ni sahihi zaidi kuliko unga ama mbegu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa mimi nitatoa mtazamo wangu japo ni uwanja huru kila mtu aweza toa mtazamo wake kwa kadri aonavyo ni sahihi lengo letu sote ni kuwasaidia ndugu zetu wwnye maradhi yanayohitaji msaada wa tiba hizi za asili..
Kwa mtazamo wangu matumizi ya mafuta ni sahihi zaidi kuliko unga ama mbegu
Sent using Jamii Forums mobile app