Wanajamvi naomba kuuliza haya yanayojitokeza siku hizi kwa wingi katika kuandika na hata kutamka maneno ya kiswahili na kingereza kwa kubadili l na r. Hii inasababisha kubadili maana hasa ya maneno yaliyokusudiwa. Utakuta mtu anatamka neno harufu anatamka halufu. Anataka kuandika Lema anandika Rema. Maana ya maneno huwa inabadilika na wakati mwingine inakuwa ni matusi. Kwa mfano ukienda Marangu utakuta kunaukoo unaitwa Mboro. Ukimwita mwanaukoo Mbolo, utakuwa umemtukana kwani ***** ni korodani kwa kichaga cha vunjo.
Ninajiuliza, Je hili ni tatizo la kuwa na walimu wa vodafasta au ni mabadiliko ya hali ya hewa?
Ninajiuliza, Je hili ni tatizo la kuwa na walimu wa vodafasta au ni mabadiliko ya hali ya hewa?