WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Asante Betlehem kwa mchango wako. Noted. Bila shaka nawe unajisikia vyema kuona kuwa mengi kama si yote uliyoyasema hapa yanatekelezwa kila siku. Mengine si lazima tuyaanike hapa. Tunashukuru sana kwamba wewe ni miongoni mwa Watanzania mamilioni, wanaamini, wana matumaini makubwa na wanaipenda CHADEMA.
Kila mtu aone kuwa ni jukumu lake na wajibu wake kuwa rasilimali (kwa njia mbalimbali) kwa ajili ya CHADEMA na mabadiliko.
Mkuu safi sana nimefurahi kwa kujitokeza leo na hasa kwenye hoja ya maana na yenye kujenga kama hii na ku-comment!
Unajua wewe ni miongoni mwa viongozi wakubwa tu ndani ya chadema na ambao mnapaswa kuaminika,lakini sometimes cheo chako kinachezewa tu na watoto watoto flani hivi ambao wamejifunza siasa za maji taka eti nao wanakuja hapa na kujifanya ni wasemaji wa chadema!!
Safi kaka!