Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

wana ukawa kwenye uzi huu naomba msitupie chochote acha tushuhudie sarakasi za team lowas vs membe tuone nani mwenye wapambe wengi humu ndani
 
Naomba na Cv ya mzee wangu Pasco wa jf..
Mkuu, Kilaza,
Pasco wa jf, amesoma primary enzi wa UPE, darasa la saba alipasi, ila hakuchaguliwa kuendelea sekondari kutokana na kukosekana kwa nafasi, hivyo akalazimika kuishia daasa aa saba!.

Naomba kuuliza haya mambo ya kuuliza siivii ya nini wakati Pasco wa jf, hana hata mpango wa kugombea hata ujumbe wa shina!.

Pasco
 
achene kujiarishia kwenye mitanddao lowasa ndiye rais wetu huyo membe wenu na wauza unga wake kwanza ubunge wenyewe alipewa gari na rostam ya kampeni yeye anaakisi nini....shame on u guys and joka la mdmu group ela za gadafi zimewalaani rambirambi lazma iwatokee puani ila mjue mtairudsha tuu.....riz ambaye anamuunga mkono membe ni msafi au

Rais wako we na nani?
 
Hizi stupid threads are propagated by weakest and USELESS team Membe...Nowhere close and u will never ever on Earth and Heaven be able to compare LOWASSA vs Membe...never...!!!

Lowassa is the next PRESIDENT...with full of personal abilities, capabilities, leadership and political know-how, heartly truth leader, listener, result oriented leader,
prudence, na sio MUONGO NA MSWAHILI....

Tatizo team membe hawana strategies kabisa....THEIR ONLY STRATEGY is ATTACKS to Lowassa....!!!! Tht is really bullshit....sbb ni moja kubwa....SBB MEMBE hakubaliki hata kidogo...so hauziki...kilichobaki anafanya kurusha mawe kwa EL. akifikiri anamwangusha....tht is poorest tactic...!!! EL is just around the Ikulu entrance...!!!
 
Ubaya wa Lowassa ni kwamba kazungukwa na TIMU WAPIGAJI, Kinachonifanya nisimuamini Lowassa ni lile baraza la mawaziri la kwanza la Kikwete. Ukiangalia kwa umakini sana kuhusu lile baraza ndo utagundua kuna hatari gani inakuja mbele kama Lowassa atapewa nchi. Kama kuna mtu ana orodha ya baraza la kwanza la serikali ya Kikwete anaweza akaweka hapa jamvini, halafu muone ni namna gani Lowassa alikuwa anatengeneza mtandao ambao ungekuwa hauambiliki na jinsi ambavyo nchi ingetafunwa kwa kiburi na ubabe. Kama ile hali ingeendelea na Lowassa aendelee kuwa waziri mkuu, basi Tanzania ingekuwa kama Israel, yaani Waziri mkuu anakuwa na nguvu kuliko Rais, amini msiamini.

Yangu ni hayo tu waungwana
 
Inawezekana hujui unachokiongea wewe ... Kundi la Lowassa ni kubwa na linanguvu nyingi sana ....Soon utashangaa watakavyojitokeza ...
CV ZA WANAOJIITA TEAM LOWASA AMBAO SASA WANASEMA CCM ITAPASUKA KAMA MGOMBEA WAO HATAPITISHWA-
MGEJA-Ni mwenyekiti wa ccm mkoa wa shinyanga,Chini ya uenyekiti wake-CCM Shinyanga imepoteza majimbo Matatu, Ni huruma tu ya vikao,ccm haikustahili kumteua kutetea tena kiti chake maana alizungukwa na tuhuma lukuki za kuusahau mkoa wake na kujikita katika siasa za magazeti Dar es salaam.

MAHANGA-Ni mbunge wa Segereq ambaye siri ya ushindi wake ndani ya ccm na nje ya ccm anaijua mwenyewe kama mtu mzima,ni maajabu ya Musa kama kweli Mahanga anao uthubutu wa kusema leo anatetea jimbo lake la ubunge.

SERUKAMBA-ni dhahiri ushindi wake wa ubunge mwaka 2010 ni siri ya mtungi anayeijua ni yeye mwenyewe,haishangazi kwa kuujua ukweli kusikia leo anataraji kuhama jimbo lake la awali na kuhamia jimbo la Kigoma Kaskazini

Wengine katika Team Lowasa ni MATHAYO-huyu ni mshindwa wa ubunge Musoma Mjini
MASHA,ni mshindwa ubunge Nyamagana
MBUZI ni mshindwa ubunge Meatu
CHEGENI-mshindwa ubunge Busega
MGANA MSINDAI -Mshindwa ubunge Singida hukoo.
Chenge na Karamagi uhai wa siasa zao na biashara zao ni sababu ya
"hekima" za mfumo huu,sii sura ambazo CCM inatakiwa kujivunia kuwa nazo hadharani.
KIUFUPI MZEE LOWASA AMEAMUA AUNGWE MKONO NA -COALITION OF FAILURES IN POLITICS,AMBAO SASA WANA-GANG UP KUSEMA WANATISHIA VIKAO KUWA MGOMBEA WAO ASIPOPITISHWA CCM INAPASUKA,NIULIZE SWALI,KATIKA HIYO LIST NI NANI MWENYE UWEZO WA KUIPASUA CCM KAMA AKIAMUA KUONDOKA??
PILI;LIPO KUNDI LA MATAPELI,WACHONGA MADILI NA MAJIZI YA KIBIASHARA AMBAYO YAMEUKWAA UNEC WA CCM,HUO UNEC NA BENDERA YA CCM NDIZO NGAO ZA BIASHARA ZAO NA UBABAISHAJI WAO,LEO NAO WANAJIAPIZA KUWA ETI CCM ITAMEGUKA KWA KUWA MAJIZI NA MATAPELI HAYA YATAJIONDOA CCM,NAAMINI HUU NI MWAKA WA CCM KUZALIWA UPYA,NI MWAKA AMBAO MAJIZI,NA MATAPELI AMBAYO YALIAMINI CCM NI KICHAKA CHAO YAKAKIMBILIA MADARAKA NA UONGOZI WA CCM ILI IWE KINGA MWAKA HUU YATAUMBUKA,MILANGO IPO WAZI KUONDOKA ILI PLACENTA YA UCHAFU HUU ISAFISHIKE KABISA

Leo wezi wa serikali,Drug Dealers,Matapeli,vibaka,wote mtu wao awe EL???!!!CCM laweza kuwa kweli dodoki,lakini hata dodoki hufika mahala likasafishwa uchafu wake ili liaminike kutumiwa tena na muogaji,huu ni mwaka wa kusafisha dodoki ili waogaji waiamini tena CCM,uchafu utawekwa jalalani.

NIMALIZIE KWA KUOMBA JAMBO MOJA-NITAFUTIENI MSAFI MMOJA TU ANAYEMUUNGA MKONO EL MAANA NAWAONA WOTE WANAOMUUNGA MKONO WANA NAKISI YA KUTILIWA SHAKA,AMA KWENYE JAMII AU HATA HUKO CCM KWENYEWE,FUMBA MACHO UNIAMBIYE MTU MMOJA TU AMBAYE ANAMUUNGA MKONO EL AMBAYE NI KIELELEZO CHA WEMA KATIKA JAMII.

"Kuelekea Magogoni 2015 ni kishindo kikuu"

 
Hizi stupid threads are propagated by weakest and USELESS team Membe...Nowhere close and u will never ever on Earth and Heaven be able to compare LOWASSA vs Membe...never...!!!

Lowassa is the next PRESIDENT...with full of personal abilities, capabilities, leadership and political know-how, heartly truth leader, listener, result oriented leader,
prudence, na sio MUONGO NA MSWAHILI....

Tatizo team membe hawana strategies kabisa....THEIR ONLY STRATEGY is ATTACKS to Lowassa....!!!! Tht is really bullshit....sbb ni moja kubwa....SBB MEMBE hakubaliki hata kidogo...so hauziki...kilichobaki anafanya kurusha mawe kwa EL. akifikiri anamwangusha....tht is poorest tactic...!!! EL is just around the Ikulu entrance...!!!
Ndo maana Ngajapo Kasema wana UKAWA msichangie chochote, acheni muone wanavyonyukana wao kwa wao.
Lakini mbali na hilo huyu jamaa naonekana amepanic sana, amejuaje kama uzi umetoka kwa TIMU MEMBE?
Maana mtoa uzi hajajitambulisha kuwa yeye ni TIMU MEMBE!
THEY PLAY WE FOLLOW
 
CIMG4447%2B%28800x600%29.jpg
 
Kwani hawa marafiki wa EL ndio kitu gani? Ni taasisi mfuko au nini hasa?
Ulianzishwa lini na kwa malengo gani?
 
Mkuu, Kilaza,
Pasco wa jf, amesoma primary enzi wa UPE, darasa la saba alipasi, ila hakuchaguliwa kuendelea sekondari kutokana na kukosekana kwa nafasi, hivyo akalazimika kuishia daasa aa saba!.

Naomba kuuliza haya mambo ya kuuliza siivii ya nini wakati Pasco wa jf, hana hata mpango wa kugombea hata ujumbe wa shina!.

Pasco

Mkuu wewe si "Kiongozi" kwenye ile timu ya Mamvi mbona wenzako wameekwa cv yao hapa wewe wamekusahau..!!
 
ni chama au umoja wa vijana wapiga madeal ambao hawana kazi na wanajua wakati huu wa uchaguzi ndio wakati wa kuvuna.
 
Ngoja mbishane wakati Rais anatoka Kanda ya ziwa.
 
Bye byeee Mh. Rais J.K....welcome Mh. Lowassa

Lowassa tayari picha za kuwekwa ukutani IKULU zishaandaliwa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom