Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Wakuu, msomi moja alipata kusema kwenda shule ni kitu kimoja, na kuelimika ni kitu kingine. Kuishi ni kitu kimoja, na kufa ni kitu kingine. Wakuu usemi huu unanifanya nitafakari uhuni mbaya wanaoufanya wasomi wetu akina Zitto na Kitila kwa kuiwakilisha ccm kutengeneza mbinu ovu ya kuichafua chadema kuihusisha na utekaji ama mauaji kabisa. Tunashukuru katika mikutano yao wakati wanatengeneza sms za vitisho kwa viongozi, mmojawao alikuwa mzalendo akatutumia sms hii bila wao kujijua, na hivi tunavyoongea wapo mtamboni busy wakitafuta mbinu za kinyama dhidi ya chama hiki ambacho ni tumaini la watanzania. Msinichoshe nisiwachoshe, story yenyewe hii hapa chini;
" Sasa ule mpango wa kuwaangamiza MADINDA, YONA, MUKI, NDEVU, ALELUYA, MWAKALASYA na MAMA FILIPA, umekamilika, dawa ni kuwachinja watu watatu, ambao ni MADINDA, YONA na FILIPA, hata ikiwezekana BULA LONGO naye apigwe makamanda wamesema wako tayari, Lengo tuwaue tu, Bila kuwaua hatufanikiwi, tuwakutanishe wote kwa pamoja bila kujitambua, then tuwapoteze, kwani wao ndiyo wanatubania tusifanikiwe CHADEMA TEMEKE, matusi ya Madinda unayajua SAGATI, na anapata jeuri na kutusumbua kutoka kwa hao watu, Kwanini kila siku TEMEKE ni MADINDA, YONA FILIPA na BULA? Hamza, Sina, na Mwasiti ni wasili."
Hiyo msg imetengenezwa na kundi hilo. Wanataka kutisha watu ionekane kwamba CHADEMA ndiyo inapanga njama hizo! Wakati wao wenyewe ndiyo wanataka kujifanyia.
Wanataka hiyo msg isambae ili viongozi wa chama pale Temeke au kokote itakakotumwa msg hiyo wakamatwe!
Itakumbukwa ndiyo mkakati ule ule uliotaka kutumika wakati ule aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA (kabla hajafukuzwa) alipookotwa usiku akiwa amepigwa!
Walifungua jalada wait aka viongozi fulani pale Temeke wakiwemo pia viongozi wakuu wafunguliwe kesi na kuendeleza hila za kuharibu image ya chama kwa matukio ya kupangwa kama hayo!
" Sasa ule mpango wa kuwaangamiza MADINDA, YONA, MUKI, NDEVU, ALELUYA, MWAKALASYA na MAMA FILIPA, umekamilika, dawa ni kuwachinja watu watatu, ambao ni MADINDA, YONA na FILIPA, hata ikiwezekana BULA LONGO naye apigwe makamanda wamesema wako tayari, Lengo tuwaue tu, Bila kuwaua hatufanikiwi, tuwakutanishe wote kwa pamoja bila kujitambua, then tuwapoteze, kwani wao ndiyo wanatubania tusifanikiwe CHADEMA TEMEKE, matusi ya Madinda unayajua SAGATI, na anapata jeuri na kutusumbua kutoka kwa hao watu, Kwanini kila siku TEMEKE ni MADINDA, YONA FILIPA na BULA? Hamza, Sina, na Mwasiti ni wasili."
Hiyo msg imetengenezwa na kundi hilo. Wanataka kutisha watu ionekane kwamba CHADEMA ndiyo inapanga njama hizo! Wakati wao wenyewe ndiyo wanataka kujifanyia.
Wanataka hiyo msg isambae ili viongozi wa chama pale Temeke au kokote itakakotumwa msg hiyo wakamatwe!
Itakumbukwa ndiyo mkakati ule ule uliotaka kutumika wakati ule aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA (kabla hajafukuzwa) alipookotwa usiku akiwa amepigwa!
Walifungua jalada wait aka viongozi fulani pale Temeke wakiwemo pia viongozi wakuu wafunguliwe kesi na kuendeleza hila za kuharibu image ya chama kwa matukio ya kupangwa kama hayo!