Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,174
- 12,227
Mkuu ni wewe uliyeandika au kuna mtu kaku'haki'?Ndugu wali wa kupikwa na gas hauna radha hila wa mkaa ni mtamu sana asikuambia mtu mkaa unapika fresh
Mkuu ni wewe uliyeandika au kuna mtu kaku'haki'?Ndugu wali wa kupikwa na gas hauna radha hila wa mkaa ni mtamu sana asikuambia mtu mkaa unapika fresh
Gharama ni kubwaNdugu wali wa kupikwa na gas hauna radha hila wa mkaa ni mtamu sana asikuambia mtu mkaa unapika fresh
1. Ongeza usafiGesi ni nishati ya bei rahisi sana ukilinganisha na Mkaa.
Nitolee mfano wa familia yangu::
Kukiwa hakuna gesi, hutumia mkaa wa sh 2000/= kwa siku, ambao ni wastani wa sh 60000/= kwa mwezi.
Lakini ninunuapo gesi ya Oryx kilo 15 kwa takribani shilingi 48000/=, hukaa kwa muda wa miezi miwili mpaka mitatu. Ambayo kwa wastani ningetumia mkaa ingekua ni kati ya 120,000/= - 180,000/=.
Japo ugumu wa gesi ni kuchemshia vitu vigumi mfano maharag n.k ambavyo kwangu mimi hununua mkaa hata wa 2000/= na vitu husika vikaCheshwa vingi na kuhifadhi kwa friji.
Kiujumla gesi + friji ni gharama nafuu sana.
Sio mtamu ata sufuria nzito😛Sio kusema tuuu naunga mkono hoja nunua sufuria zile nzito upikike ubwabwa kwa gas
Umeongea vyema mkuu, ila apo kwenye maharage ukiweza nunua presure cooker inasaidia sana kwa vutu vigumu.Gesi ni nishati ya bei rahisi sana ukilinganisha na Mkaa.
Nitolee mfano wa familia yangu::
Kukiwa hakuna gesi, hutumia mkaa wa sh 2000/= kwa siku, ambao ni wastani wa sh 60000/= kwa mwezi.
Lakini ninunuapo gesi ya Oryx kilo 15 kwa takribani shilingi 48000/=, hukaa kwa muda wa miezi miwili mpaka mitatu. Ambayo kwa wastani ningetumia mkaa ingekua ni kati ya 120,000/= - 180,000/=.
Japo ugumu wa gesi ni kuchemshia vitu vigumi mfano maharag n.k ambavyo kwangu mimi hununua mkaa hata wa 2000/= na vitu husika vikaCheshwa vingi na kuhifadhi kwa friji.
Kiujumla gesi + friji ni gharama nafuu sana.
Umeongea vyema mkuu, ila apo kwenye maharage ukiweza nunua presure cooker inasaidia sana kwa vutu vigumu.
sawa.Nitalifanyia kazi. Nasubiri tarehe za mwajiri kuvimbisha akaunti yangu
Issue iko hivi, mkaa unapendwa kwa sababu mtu ananunua buku kapika siku imeisha. Watu hawana elfu 45 ya kununua mtungi mzima au 20 ya kale kadogo. Sio kwamba hawapendi, hawana accumulated income. Maisha ya kuunga unga unapata buku 5 kwa siku unakula unalala.Ni ufahamu tu. Lakini gesi ni rahisi sana. Ila sema haipiki maharage
Sasa mbona wewe umetuambia........Ndugu wali wa kupikwa na gas hauna radha hila wa mkaa ni mtamu sana asikuambia mtu mkaa unapika fresh
Ata mimi nashangaaSasa mbona wewe umetuambia........
Mtu mwingine akija asituambie?
Gesi ni nishati ya bei rahisi sana ukilinganisha na Mkaa.
Nitolee mfano wa familia yangu::
Kukiwa hakuna gesi, hutumia mkaa wa sh 2000/= kwa siku, ambao ni wastani wa sh 60000/= kwa mwezi.
Lakini ninunuapo gesi ya Oryx kilo 15 kwa takribani shilingi 48000/=, hukaa kwa muda wa miezi miwili mpaka mitatu. Ambayo kwa wastani ningetumia mkaa ingekua ni kati ya 120,000/= - 180,000/=.
Japo ugumu wa gesi ni kuchemshia vitu vigumi mfano maharag n.k ambavyo kwangu mimi hununua mkaa hata wa 2000/= na vitu husika vikaCheshwa vingi na kuhifadhi kwa friji.
Kiujumla gesi + friji ni gharama nafuu sana.
Hata maharage inapika vizuri tu sema labda hujui unapikaje,mchawi wa matumizi bora ya gas ni sufuria iitwayo pressure cooker,nusu saa tu maharage unakula!Ni ufahamu tu. Lakini gesi ni rahisi sana. Ila sema haipiki maharage
Labda ww mwenyewe tu haujui kutumia jiko lako la gas kupikia wali.binafsi ni mwaka wa 7 huu natumia gas pekee kwa vyakula vyangu vyote ktk level ninayoihitaji na haijawahi kuniangusha.Ndugu wali wa kupikwa na gas hauna radha hila wa mkaa ni mtamu sana asikuambia mtu mkaa unapika fresh
Kinachowafariji kwa mkaa ni kutoa buku jero kila SIKU wakati gesi ni rahisi isipokuwa ikiisha lazima kwa kima cha chini uwe na twenty elfuNi ufahamu tu. Lakini gesi ni rahisi sana. Ila sema haipiki maharage
Tumekuwa tukitumia gas cooker, nakumbuka mzee wangu alikuwa akinituma kununua gas kwa sh100 (noti nyekundu) ile mitungi/vichwa vya Agip na Afrigas.Gesi ni bora na rahisi kwa watu wenye kipato cha kati lakini gesi ni bora ila siyo rahisi kwa watu wenye kipato cha chini, kwa mfano; kuna familia unakuta kwa siku wana uwezo wa kununua mkaa wa mia tano tu ambao hupika siku nzima kwa kujibana sana, hatahivyo hakuna gesi ya 500. Utambue kuwa watanzania wengi wana kipato cha chini na hawawezi kukusanya elfu 21 au 22 ya kununulia gesi ya mitungi midogo kila inapoisha ila wanauwezo wa kubahatisha 500 ya kununulia mkaa.