uzio usio onekana
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 776
- 2,404
Unajua sisi kinacho tuogopesha kutumia vifaa vya umeme nikulinganisha vifaa vya umeme vya zamani na saizi.
Tunasahau kwamba vifaa vya umeme vya zamani na saizi ni tofauti sana na vifaa vya umeme vya saizi vimeboreshwa sana kuanza vinafanya kazi kubwa halafu vinatumia umeme kidogo. Kwa mfano hapa nyumbani mimi kwa siku nikinunua umeme wa sh. 1000 unatosha kabisa kupikia lakini siku umeme ukiwa haupo natumia mkaa wa sh. 3000
Na Tatizo la gesi zinachangamoto nyingi kwa mfano unaweza ukauziwa gesi yenye gesi kidogo bado zile koki za gezi ni feki ni balaa muda mwingi unakuta vinavujisha gesi kila nikinunua gesi na lazima ninunue na koki.
Tunasahau kwamba vifaa vya umeme vya zamani na saizi ni tofauti sana na vifaa vya umeme vya saizi vimeboreshwa sana kuanza vinafanya kazi kubwa halafu vinatumia umeme kidogo. Kwa mfano hapa nyumbani mimi kwa siku nikinunua umeme wa sh. 1000 unatosha kabisa kupikia lakini siku umeme ukiwa haupo natumia mkaa wa sh. 3000
Na Tatizo la gesi zinachangamoto nyingi kwa mfano unaweza ukauziwa gesi yenye gesi kidogo bado zile koki za gezi ni feki ni balaa muda mwingi unakuta vinavujisha gesi kila nikinunua gesi na lazima ninunue na koki.