bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,134
- 2,010
Kilichomkuta, sidhani kama marehemu alitarajia, maana kaanguka kimo kirefu kutoka kwenye matawi aliyokuwa akipunga upepo.
Wenzake walimwona kwa mbali hawakujua hata jina lake. Ama kweli maisha ni kamari.
hamna anayeshinda kwenye huu mchezo wa maisha. kwa jinsi navyotazama maisha ya huyu mjusi yalivyokatishwa yapo mengi sana mwanadamu anaweza jifunza.
Sina mengi ya kusema angalia picha ya mjus aliyepata ajali hio.
Wenzake walimwona kwa mbali hawakujua hata jina lake. Ama kweli maisha ni kamari.
hamna anayeshinda kwenye huu mchezo wa maisha. kwa jinsi navyotazama maisha ya huyu mjusi yalivyokatishwa yapo mengi sana mwanadamu anaweza jifunza.
Sina mengi ya kusema angalia picha ya mjus aliyepata ajali hio.