OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Mkuu Ole, kiukweli niliangalia rangi tuu, hayo mengine sikuyajua na sikuyajali, nina watoto 6, watatu wa kiume na watatu wakike, the 1st two wako vyuo, the 2nd 2 wako sekondari, the last two wako primari, ukimuondoa 1st born ni wa kike na ndiye pekee aliye fuata akili za "cheupe" wangu, the rest hawajawahi kuvuka top 5!. Kabinti kangu no.3 kako seki, tangu kakiwa primary, siku kalifeli sana, kalishika nafasi ya pili!, tangu kamekanyaga sekondari, ni number overall nafasi ya kwanza hakuwahi kushuka!.
Mimi ni wa kawaida sana, sikuwahi kupata !, wala kushika nafasi ya kwanza, ila pia academic concentaration yangu ni ndogo!, mambo mengi!, usome, ujirushwe na huku usipitwe!, basi ni taabu tupu!.
Pasco.
Kaka Pasco sawa!!!!
Hakuna mtundu mjinga wanasema!!!
Last edited by a moderator: