Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,389
- 1,257
Waende tu CDM tunawasubiri Jimbo la Muhambwe tuwashughulikie - CCM haitoangukaLakini mbona hata JJ Mnyika ( katibu mkuu), Tumaini Makane ( Msemaji Mkuu wa Chama) , P Msigwa ( Mjumbe wa Baraza Kuu) na wajumbe wengine mbona wameenda kuaga mwili wa JPM.!! Sasa hizo chokochoko zako ni kama vile kwa chama cha chadema yeye ndio kiongozi wa kwanza kwenda msibani vile.
Lissu awasaidie kufungua chama Ubelgiji ili mtafute urais huko si Tanzania