Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Zimbabwe wamesalimu amri rasmi, sasa wanarudisha mashamba ya Wazungu waliyoyanyang'anya Miaka 20 iliyopita.
So Mjulisheni Magufuli kuwa anachokijaribu hapa wenzake wamekijaribu na kimewashinda, mjulisheni maana haya mambo ya Kimataifa huwa yanampita hana habari; Kabudi naye yupo kakodoa Macho tu.
Kujaribu kupambana na dunia ni kuchuma janga tu ambalo wengine hatuwezi kukubaliana naye.
So Mjulisheni Magufuli kuwa anachokijaribu hapa wenzake wamekijaribu na kimewashinda, mjulisheni maana haya mambo ya Kimataifa huwa yanampita hana habari; Kabudi naye yupo kakodoa Macho tu.
Kujaribu kupambana na dunia ni kuchuma janga tu ambalo wengine hatuwezi kukubaliana naye.