Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,401
Namfuatilia sana yule jamaa. Yule mara nyingi anakamata vinyoka vidogo kwenye majumba ya watu.... Akikutana na yule mwenyewe aliyekomaa mziki wake si wa kitoto...Katika Nat Geo Wild, inayopatina kwenye Dstv (Snakes in the City) jamaa anaitwa Simon, pamoja na mchumba wake wanawakamata sana hawa nyoka koboko na yeye mwenyewe anasema huwa hawaogopi Koboko kama anavyowaogopa Mozambiqan spitting cobra.