sithubutu kabisa kukupaHio ya pili ndugu yangu una link yake aisee, ya Fatima nimeisoma.
Sio kwa ubaya lakini ndugu!sithubutu kabisa kukupa
Nipe mkuu hiyo ya Fatima.. niipitieHio ya pili ndugu yangu una link yake aisee, ya Fatima nimeisoma.
Wana dini zao masonic ni deval washipers haoHii chai Freemasons sio DINI ila ni kikundi Cha watu wenye malengo yao. Acha kusema uongo
Nipe mkuu hiyo ya Fatima.. niipitie
Mungu wa Biblia ndo fact.Shida nadharia za HAO jamaa zinachanganya.
Kuna mungu mwanaume
Kuna mungu MWANAMKE.
Kuna mungu mtoto
Kuna MUNGU jua
Kuna mungu mwezi
Yaani miungu si chini ya 1000+
ILA nadharia ya uislam dhidi ya Mungu naona.ndo sahihi
MUNGU MMOJA.HAKUZAA WALA HAKUZALIWA
Mzee una facts nyingi na muhimu.Wana hodhi the real power. Wana amini wao ndio Wana maarifa sahihi " True knowledge" and according to them the true knowledge will help u to acquire 3 things and 3 things only:
1. To acquire power
2. To maintain power
3. To protect power.
Haya maarifa waliyo rahusu watu WENGINE wayapate ni kivuli tu " mere shadow" Cha maarifa yenyewe...
Wao ndio Wana hodhi maarifa sahihi ambayo ndio hayo memba akiyafahamu halafu akatoa Siri anauwawa
So hawataki laymen wajue kuhusu Siri cause they want to protect their power
Acha roho mbaya mkuu!! Kwani ukileta link tukasoma kama wewe ulivyosoma utapungukiwa nini? Acha uchoyo wa maarifa barnasithubutu kabisa kukupa
maarifa ya upotoshaji isakeAcha roho mbaya mkuu!! Kwani ukileta link tukasoma kama wewe ulivyosoma utapungukiwa nini? Acha uchoyo wa maarifa barna
Naisaka vipi ilhali hata title siijui? Leta link mkuumaarifa ya upotoshaji isake
Mbona huleti muendelezo mkuu? Kulikoni?Ni matamashi tu
Analeta tulia mdogo wanguMbona huleti muendelezo mkuu? Kulikoni?
Mbona umesusia uzi ndugu yangu.??Ni matamashi tu
am sure me ni kaka yako,Ila fresh hamna noma blazaAnaleta tulia mdogo wangu