Mjue Edward Lowassa: Hii ni CV yake

Mjue Edward Lowassa: Hii ni CV yake


[TD="width: 5%, align: center"][/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 5%, align: center"][/TD]
[TD="width: 14%"][/TD]


SalutationHonourable
First Name: Edward
Middle Name:Ngoyai
Last Name:Lowassa
Constituent:Monduli
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 139, Monduli
Office Phone: +255 754 800000
Ext.:
Office Fax: +255 22 2452037
Office E-mail: elowassa@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 26 August 1953

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="align: center"] Member picture
1021.jpg
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
School Name/Location
University of Bath, UK
University of Bath, UK
University of Dar Es Salaam
Milambo Secondary School
Arusha Secondary School
Monduli Primary School

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]MSc. (Development Studies)[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]

[TD="align: center"]MSc.[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]

[TD="align: center"]BA (Edu) Hons.[/TD]
[TD="align: center"]1974[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1972[/TD]
[TD="align: center"]1973[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1968[/TD]
[TD="align: center"]1971[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1961[/TD]
[TD="align: center"]1967[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
Company Name
Tanzania GovernmentPrime Minister
Ministry of Water and Livestock DevelopmentMinister
State, Vice President's OfficeMinister for Environment & Poverty
The Parliament of TanzaniaMember - Monduli Constituency
Ministry of Lands, Human Settlement DevelopmentMinister
State, Prime Minister's Office and First Vice PresidentMinister (Judiciary &Parliamentary Affairs)
Arusha International Conference CentreManaging Director

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2/8/2008[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]

[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]

[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]

[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]

[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember
Chama Cha Mapinduzi, CCMParty Executive-District, Regional &Head Office

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE
[/TH]

[TH="class: text_menu"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]


Kutokana na CV hii kwa nini huyu kiongozi asiwe Rais wetu ajae wa taifa hili ukizingatia kwamba ana uwezo wa hali ya juu kwenye masuala ya kiutawala na uongozi. Nawasilisha

Tumchague kwa uwezo wake wa uongozi, tusimchague kwa asili ya kabila Lake; maana ENL ni Mmeru kwa asili; na Wameru jamani jamani; wasikieni kwa mbali; ni Shiiiida!!!!!
 
Ccm mtahangaika sana, ila vijana wasaka tonge mnaotumikia mafisadi mtalaaniwa nyiny na kizazi chenu! UKAWA TUMAINI LETU
 
Napata shaka kidogo na hii cv, au sijui kuisoma cv, alipata kadi ya uanachama( alianza kuwa member) wa ccm 1990, lakini alikuwa kiongozi wa ccm kuanzia mwaka 1977 hebu mleta mada weka sawa kidogo nielewe.
 
Humu ndani utatumia nguvu nyingi saana labda kwa witu wasolimika tu maana we taja matope take yoote name uyapangue kimantiki undo uteleweka
 
mwaka huu ni mwaka wa kuvuka daraja waliopembeni tutaona na kusikia mengi!
CV tu ndo tunyenyue na kumkabidhi mtu ukulu basi chenge aliyesomea Harvard university ndo anatakiwa
 
kinacho mwangusha lowassa ni kwasababu anatoka kaskazini.....Ata mtoto wa mkulu amesha wahi kusema rais ajae kamwe awezi kutoka kaskazini....
 
Tunamuuomba aweke wazi zengwe la richmond,epa, na gemeral view ya nishat na madin kisha njia nyeupe unless atupishe
 
Kama si EL basi CCM itakuwa chama cha upinzani soon.
mimi hata kama CCM hawatampitisha EL kugombea urais, na hata kama kwenye orodha ya wagombea urais kwenye karatasi ya kupigia kura hatakuwepo, kwenye kura ya urais ntaandika jina lake hata kama sio mgombe na najua ntakuwa na amani moyoni. EL kitu ingine hiyo. weka mbali na wazembe
 

[TD="align: center"][/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 5%, align: center"][/TD]
[TD="width: 14%"][/TD]


SalutationHonourable
First Name: Edward
Middle Name:Ngoyai
Last Name:Lowassa
Constituent:Monduli
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 139, Monduli
Office Phone: +255 754 800000
Ext.:
Office Fax: +255 22 2452037
Office E-mail: elowassa@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 26 August 1953

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="align: center"] Member picture
1021.jpg
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
School Name/Location Course/Degree/Award
University of Bath, UK
University of Bath, UK
University of Dar Es Salaam
Milambo Secondary School
Arusha Secondary School
Monduli Primary School

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]MSc. (Development Studies)[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]

[TD="align: center"]MSc.[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]

[TD="align: center"]BA (Edu) Hons.[/TD]
[TD="align: center"]1974[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1972[/TD]
[TD="align: center"]1973[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1968[/TD]
[TD="align: center"]1971[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1961[/TD]
[TD="align: center"]1967[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
Company Name
Tanzania GovernmentPrime Minister
Ministry of Water and Livestock DevelopmentMinister
State, Vice President's OfficeMinister for Environment & Poverty
The Parliament of TanzaniaMember - Monduli Constituency
Ministry of Lands, Human Settlement DevelopmentMinister
State, Prime Minister's Office and First Vice PresidentMinister (Judiciary &Parliamentary Affairs)
Arusha International Conference CentreManaging Director

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2/8/2008[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]

[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]

[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]

[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]

[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember
Chama Cha Mapinduzi, CCMParty Executive-District, Regional &Head Office

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]


Kutokana na CV hii kwa nini huyu kiongozi asiwe Rais wetu ajae wa taifa hili ukizingatia kwamba ana uwezo wa hali ya juu kwenye masuala ya kiutawala na uongozi. Nawasilisha


tukisema tuangalie CV za mtu ndio tumupe uraisi basi maprofesa wote nchini wangekuwa maraisi, swali pekee la kujiuliza wakati yeye ni waziri ni kipi cha kujivunia alichowafanyia watanzania? zaidi aliwapa hasara na umasikini kwa wizi wa RICHMOND, hebu jamani kwa sasa tunataka waasafi na wenye huruma kwa wananchi EE CCM, utaacha lini kuiba
 
CHA KUOKOTA SIO CHA KUIBA.
0,,16052859_303,00.jpg

Niliwahi kutoa ahadi kuwa nitaweka sababu nzito Tano ambazo mimi binafsi naziona zinafaa sana kumtathmini Edward Lowasa kama Rais ambae Tanzania inamuhitaji kwa muongo mwingine ujao.



Nikiri wazi kwamba kwa CCM ni Lowasa pekee mwenye sifa hizo labda nitamlinganisha na Dr. Slaa ambae kwa muono wangu kidogo anamkaribia Lowassa nikimaanisha kidoogo wanalandana na nitasema wapi Lowassa anampiku Slaa.


Kwa utangulizi tu ni kuwa Nchi hii ili iendelee inahitaji KIONGOZI kwa ufupi kabisa niseme hivyo inahitaki KIONGOZI SHUPAVU tena SHUPAVU KWELIKWELI sio masihara.
1551527_577265145701642_2136377614_n.jpg

Waziri mkuu Mizengo Pinda na Mbunge wa Monduli Erdward Lowassa.

Tupo kwenye umaskini mkubwa,watu wanateseka bila sababu ya msingi. Vijana tunashabikia tuu kama wehu, wengine ni wasomi lakini tunapelekwa kama upepo tukisikia hiki "hewala" tukisikia kile "sawa" tukiambiwa hivi "alhamdulilah" tukiambiwa kile "poa tu".


Hatutaki kuchambua na kuielewa siasa kwamba kwenye siasa kuna majungu,fitna,kuchongeana,uchu wa madaraka na mali na mambo meeeengi ambapo msipokua makini mnaweza KUMCHUKIA MZURI MKAMPENDA MBAYA. kwa misingi hii ninaanza uchambuzi wangu. Na uchambuzi huu nitauandikakwa facts and figures kama anavyosemaga Prof.Muhongo.

1.LOWASSA NA "BIG RESULTS NOW".
Nianze na hili.Tunajua wote kuwa serikali yetu sasa ipo kwenye mpango wa matokeo makubwa sasa BRN.Mpango huu mbali na mambo mengine unahitaji kiranja mkuu (RAIS) ambae ni SHUPAVU,JASIRI,MTHUBUTU,MWENYE KUWEKA MALENGO NA KUSIMAMIA KUONA YANATEKELEZEKA lakini pia kama jina la mpango lenyewe lilivyo "MATOKEO MAKUBWA SASA" yaan we want things to happen now.


Kwa minajili hiyo ni kiongozi gani mnaeona anaeweza kuleta matokeo makubwa sasa?embu tuwe wakweli LOWASSA tunamjua alipoingia kuwa waziri mkuu alitangaza kuwa ndani ya kipindi cha miaka mitano ambacho angekuwa WAZIRI MKUU angetaka kata zote ziwe na shule za sekondari. Sote ni mashahidi alivyosimamia sera hiyo shule zilianza kumea kama uyoga yaani kama mazingaombwe.


Hata maeneo kama ya Kinondoni ambapo ardhi huuzwa kiholela hivyo ardhi kutopatikana lakini ilipatikana kuanzia vijijini hata miji wananchi walianza kujenga shule.ni mashahidi kama sio fitna za yeye kupelekea kujiuzulu sijui leo kielimu tungekuwa wapi.

HE HAD A MASTER PLAN OF OUR EDUCATION SYSTEM AND HE LEFT WITH IT BUT STILL HE HAS IT IN HIS HEAD.
Naamini huyu mzee akipata nafasi tutafika. Si hilo tu tunajua mambo mengi aliyokuwa nayo kichwani ambayo mengi yapo kwenye huu mpango ni shupavu ambae angeweza na anaweza kuyasimamia yatekelezeke. Dr.Slaa ni mzuri wa kusimamia mabo lakini somtimes huwa analoose focus nitaliongelea kwenye point ya tatu.


2.LOWASSA ANAJUA KUWEKA VIPAUMBELE NA KUJUA TUNAVIFIKIAJE.

Jamani Nchi hii ili iendelee na ndivyo hata nchi zilizoendelea zilivyoanza ni kuwekeza katika elimu ya watu wake, Kilimo na Viwanda nikimaanisha sekta ya uzalishaji. Tunajua jinsi LOWASSA alivyo anza na hayo shule za kata nilishazizungumzia na mipango mingi ya elimu ukitaka kuijua waulize walimu alipoanzisha program ya kuwajengea nyumba,alivyoanzisha program ya kuhakikisha watoto hawakai chini kila mtoto akae kwenye dawati,alivyoshusha ada n.k Tusisahau kwenye kilimo aliyoanzissha kilimo cha umwagiliaji mpaka akataka kuleta Mvua ya kutengenezawa mimi huwa nasema hata kama isingewezekana lakini inaonyesha ile nia njema aliyonayo mzee huyu.


Ukitaka kuelewa vizuri waulize wakulima wakuhadithie jinsi alivyokua anawatimua kazi na kuwashtaki watu waliokua wanakula hela za mbolea za ruzuku. Jinsi alivyokua anatafuta masoko ya nje ya mazao ya kilimo waulize wafanyabiashara wakuhadithie.


Ni kiongozi nani mwenye hulka na kariba hii ndani ya CCM? Tunajua wote kuwa mapinduzi ya kilimo na viwanda ndiyo yaliendeleza bara la ulaya historia inatuambia hivyo na elimu ndiyo imeikomboa JAPAN na nchi nyingine LOWASSA ni jenmbe katika hili ana master plan ya mambo haya na anajua kusimamia haya sio siri wala kumpigia debe HE IS REAL.


3.LOWASSA SIO MTU WA KUPOTEZA UELEKEO (TO LOOSE FOCUS)
Lowassa siku zote akitaka kitu ni mpaka kitimie na kikishindikana basi ujue kumpata wa kukiweza ni shughuli pevu na akitaka kitu hakati tamaa idimradi kiwe ni chema hata kama hakina maslahi kwake na ikitokea yeyote akasimama mbele yake kumzuia basi ama zake ama za huyo mtu. wazungu wanasema "You are either with me or against me".


Tunakumbuka jinzi alivyokua akitimua viongozi waliokuwa wakitaka kumkwamisha kwenye utekelezaji wa shughuli za maendeleo. Hakujali urafiki wala nini anakuweka ukimzingua anakumwaga THAT IS THE TYPE OF THE PRESIDENT WE WANT kwa sifa hii hana tofauti na Dr. Slaa japo Slaa huwa wakati mwingine anapoteza uelekeo.

Mfano mzuri wa kutopoteza uelekeo ni kwamba mwaka 1995 alitaka kuwa Rais wakatoswa,2005 akakubali swahiba wake achukue lakini akabaki kuwa focused, fitna zikajengwa akajiuzulu 2007 lakini hata sasa bado hajaloose focus japo anaface a lot of challenges.


Sio mfano mzuri sana huo kutoa lakini inaonyesha ni mtu wa namna gani kuwa siku akitaka vijana tukimaliza vyuo tupate kazi maana yake atalisimamia hilo by hooks or crooks kama ni viwanda kufufuliwa vitafufuliwa idimradi tu vijana tulambe ajira THAT IS THE PRESIDENT WE WANT.


A FOCUSED MAN 4.LOWASSA NI HALF DICTATOR HALF DIPLOMATIC Hahahahaha nianze kwa kucheka maana tunajua hakuna nchi iliyoendelea kwa kiongozi kuwa full diplomatic yaani kitu kidogo "Tume iundwe" jambo dogo "NJOO MEZANI TUONGEE" kitu kidogo "TUSUBIRI UCHUNGUZI" jambo kidogo "DUNIA ITATUELEWAJE". jamani tunamjua LOwassa ni mtu wa action kwa kwenda mbele Ghorofa limeanguka nani mkandarasi piga chini. Halmashauri imekula hela za maendeleo nani mkurugenzi piga chini.


Wizara inatokota nani muhusika piga chini. Tunatatizo fulani solution ni nn tekeleza.yaani hakuna longolongo.Hii ndio type ya uongozi itakayotukomboa Tanzania.


Na ukitaka kujua faida yake waulize wachina yaani watakwambia vizuri udictator kidogo unavyoharakisha maendeleo yao. Hakuna TANZANIA hii viongozi wa type hii mbali na LOWASSA na Dr. SLAA tatizo SLAA ....(nitamuongelea wakati mwingine)

5.LOWASSA ANASIKILIZIKA,ANAFUATILIA,SI KIGEUGEU NA SI MVIVU.
Hii ni sifa kubwa kwa mtu kuwa RAIS unapoona unataka kuwa Rais au unamchagua mtu ambae kwa haiba yake tu hasikiliziki ujue unaturudisha nyuma.

Rais anatakiwa awe akisema hili lifanyike huyo anaeambiwa linamuingia moyoni. Nirudie Rais anatakiwa anapoongea hata kwa simu tu ile pitch ya sauti iashirie kuwa jambo hili ni lazima lifanyike.Yaani kama anaongea mbele yako ukimwangalia kuanzia nywele mpaka unyayo uashirie kuwa kiongozi anataka hili lifanyike.

LOWASSA yupo hivyo akisema jambo linatekelezwa na haiishi hapo anafatilia mwanzo mwisho si mvivu hata kidogo.kutwa anaizunguka Tanzania hii vijijini hadi mijini nyote ni mashahidi wa hili.
KUTOKA Burudan Mwanzo - Mwisho: SIFA TANO ZA LOWASSA KUWA NIA URAIS 2015 ZATAJWA
wagumu wakufikiria!! hatuwezi kumpa fisadi nchi hii, amekua serikalini miaka yote,kashindwaje kuyatekeleza aliyoyaamini!kama walimkatalia kuyafanya angeresign.Tuacheni unafiki
 
mbona umepanic sana kumtetea mchafu kama Lowasa unapoteza muda wako bure

Usipende kukaririshwa kuwa kila kitu ndo kilivyo kumbe sivyo!! Huna uhakika unayoyaongea bali kusikia kwa watu ndo maana nasema usipende kuzungumza usio na uhakika nayo kwa kutumia habari ya majukwaa ya siasa. Nasema hata wewe ni mwizi ila husemi unavyowaibia wananchi.
 
Waongo watupu..huyu bwana kasomea sanaa za maonyesho (ba- performing arts)..si yote hayo ni sanaa za jukwaani
 
Tunamkubali sema tatizo Afya na siasa ya leo ina mikiki mikiki mingi.
 
Back
Top Bottom