Mjue Edward Lowassa: Hii ni CV yake

Mjue Edward Lowassa: Hii ni CV yake

Mbona ile shahada ya Mapambo na mazingaombwe haionekani.Shahada ya Kwanza ilikua Education Kweli?Huu ni ufisadi wa kitaaluma nao

Kijana mzima unawaza fitna na majungu
Hebu ongea vitu vinavyoeleweka kama una detail usituletee ngonjera zebu na mipasho ya chadema yenu kutunga hekaya na kufitinisha watu kwa majungu yenu
 
CHA KUOKOTA SIO CHA KUIBA.
0,,16052859_303,00.jpg

Niliwahi kutoa ahadi kuwa nitaweka sababu nzito Tano ambazo mimi binafsi naziona zinafaa sana kumtathmini Edward Lowasa kama Rais ambae Tanzania inamuhitaji kwa muongo mwingine ujao.



Nikiri wazi kwamba kwa CCM ni Lowasa pekee mwenye sifa hizo labda nitamlinganisha na Dr. Slaa ambae kwa muono wangu kidogo anamkaribia Lowassa nikimaanisha kidoogo wanalandana na nitasema wapi Lowassa anampiku Slaa.


Kwa utangulizi tu ni kuwa Nchi hii ili iendelee inahitaji KIONGOZI kwa ufupi kabisa niseme hivyo inahitaki KIONGOZI SHUPAVU tena SHUPAVU KWELIKWELI sio masihara.
1551527_577265145701642_2136377614_n.jpg

Waziri mkuu Mizengo Pinda na Mbunge wa Monduli Erdward Lowassa.

Tupo kwenye umaskini mkubwa,watu wanateseka bila sababu ya msingi. Vijana tunashabikia tuu kama wehu, wengine ni wasomi lakini tunapelekwa kama upepo tukisikia hiki "hewala" tukisikia kile "sawa" tukiambiwa hivi "alhamdulilah" tukiambiwa kile "poa tu".


Hatutaki kuchambua na kuielewa siasa kwamba kwenye siasa kuna majungu,fitna,kuchongeana,uchu wa madaraka na mali na mambo meeeengi ambapo msipokua makini mnaweza KUMCHUKIA MZURI MKAMPENDA MBAYA. kwa misingi hii ninaanza uchambuzi wangu. Na uchambuzi huu nitauandikakwa facts and figures kama anavyosemaga Prof.Muhongo.

1.LOWASSA NA "BIG RESULTS NOW".
Nianze na hili.Tunajua wote kuwa serikali yetu sasa ipo kwenye mpango wa matokeo makubwa sasa BRN.Mpango huu mbali na mambo mengine unahitaji kiranja mkuu (RAIS) ambae ni SHUPAVU,JASIRI,MTHUBUTU,MWENYE KUWEKA MALENGO NA KUSIMAMIA KUONA YANATEKELEZEKA lakini pia kama jina la mpango lenyewe lilivyo "MATOKEO MAKUBWA SASA" yaan we want things to happen now.


Kwa minajili hiyo ni kiongozi gani mnaeona anaeweza kuleta matokeo makubwa sasa?embu tuwe wakweli LOWASSA tunamjua alipoingia kuwa waziri mkuu alitangaza kuwa ndani ya kipindi cha miaka mitano ambacho angekuwa WAZIRI MKUU angetaka kata zote ziwe na shule za sekondari. Sote ni mashahidi alivyosimamia sera hiyo shule zilianza kumea kama uyoga yaani kama mazingaombwe.


Hata maeneo kama ya Kinondoni ambapo ardhi huuzwa kiholela hivyo ardhi kutopatikana lakini ilipatikana kuanzia vijijini hata miji wananchi walianza kujenga shule.ni mashahidi kama sio fitna za yeye kupelekea kujiuzulu sijui leo kielimu tungekuwa wapi.

HE HAD A MASTER PLAN OF OUR EDUCATION SYSTEM AND HE LEFT WITH IT BUT STILL HE HAS IT IN HIS HEAD.
Naamini huyu mzee akipata nafasi tutafika. Si hilo tu tunajua mambo mengi aliyokuwa nayo kichwani ambayo mengi yapo kwenye huu mpango ni shupavu ambae angeweza na anaweza kuyasimamia yatekelezeke. Dr.Slaa ni mzuri wa kusimamia mabo lakini somtimes huwa analoose focus nitaliongelea kwenye point ya tatu.


2.LOWASSA ANAJUA KUWEKA VIPAUMBELE NA KUJUA TUNAVIFIKIAJE.

Jamani Nchi hii ili iendelee na ndivyo hata nchi zilizoendelea zilivyoanza ni kuwekeza katika elimu ya watu wake, Kilimo na Viwanda nikimaanisha sekta ya uzalishaji. Tunajua jinsi LOWASSA alivyo anza na hayo shule za kata nilishazizungumzia na mipango mingi ya elimu ukitaka kuijua waulize walimu alipoanzisha program ya kuwajengea nyumba,alivyoanzisha program ya kuhakikisha watoto hawakai chini kila mtoto akae kwenye dawati,alivyoshusha ada n.k Tusisahau kwenye kilimo aliyoanzissha kilimo cha umwagiliaji mpaka akataka kuleta Mvua ya kutengenezawa mimi huwa nasema hata kama isingewezekana lakini inaonyesha ile nia njema aliyonayo mzee huyu.


Ukitaka kuelewa vizuri waulize wakulima wakuhadithie jinsi alivyokua anawatimua kazi na kuwashtaki watu waliokua wanakula hela za mbolea za ruzuku. Jinsi alivyokua anatafuta masoko ya nje ya mazao ya kilimo waulize wafanyabiashara wakuhadithie.


Ni kiongozi nani mwenye hulka na kariba hii ndani ya CCM? Tunajua wote kuwa mapinduzi ya kilimo na viwanda ndiyo yaliendeleza bara la ulaya historia inatuambia hivyo na elimu ndiyo imeikomboa JAPAN na nchi nyingine LOWASSA ni jenmbe katika hili ana master plan ya mambo haya na anajua kusimamia haya sio siri wala kumpigia debe HE IS REAL.


3.LOWASSA SIO MTU WA KUPOTEZA UELEKEO (TO LOOSE FOCUS)
Lowassa siku zote akitaka kitu ni mpaka kitimie na kikishindikana basi ujue kumpata wa kukiweza ni shughuli pevu na akitaka kitu hakati tamaa idimradi kiwe ni chema hata kama hakina maslahi kwake na ikitokea yeyote akasimama mbele yake kumzuia basi ama zake ama za huyo mtu. wazungu wanasema "You are either with me or against me".


Tunakumbuka jinzi alivyokua akitimua viongozi waliokuwa wakitaka kumkwamisha kwenye utekelezaji wa shughuli za maendeleo. Hakujali urafiki wala nini anakuweka ukimzingua anakumwaga THAT IS THE TYPE OF THE PRESIDENT WE WANT kwa sifa hii hana tofauti na Dr. Slaa japo Slaa huwa wakati mwingine anapoteza uelekeo.

Mfano mzuri wa kutopoteza uelekeo ni kwamba mwaka 1995 alitaka kuwa Rais wakatoswa,2005 akakubali swahiba wake achukue lakini akabaki kuwa focused, fitna zikajengwa akajiuzulu 2007 lakini hata sasa bado hajaloose focus japo anaface a lot of challenges.


Sio mfano mzuri sana huo kutoa lakini inaonyesha ni mtu wa namna gani kuwa siku akitaka vijana tukimaliza vyuo tupate kazi maana yake atalisimamia hilo by hooks or crooks kama ni viwanda kufufuliwa vitafufuliwa idimradi tu vijana tulambe ajira THAT IS THE PRESIDENT WE WANT.


A FOCUSED MAN 4.LOWASSA NI HALF DICTATOR HALF DIPLOMATIC Hahahahaha nianze kwa kucheka maana tunajua hakuna nchi iliyoendelea kwa kiongozi kuwa full diplomatic yaani kitu kidogo "Tume iundwe" jambo dogo "NJOO MEZANI TUONGEE" kitu kidogo "TUSUBIRI UCHUNGUZI" jambo kidogo "DUNIA ITATUELEWAJE". jamani tunamjua LOwassa ni mtu wa action kwa kwenda mbele Ghorofa limeanguka nani mkandarasi piga chini. Halmashauri imekula hela za maendeleo nani mkurugenzi piga chini.


Wizara inatokota nani muhusika piga chini. Tunatatizo fulani solution ni nn tekeleza.yaani hakuna longolongo.Hii ndio type ya uongozi itakayotukomboa Tanzania.


Na ukitaka kujua faida yake waulize wachina yaani watakwambia vizuri udictator kidogo unavyoharakisha maendeleo yao. Hakuna TANZANIA hii viongozi wa type hii mbali na LOWASSA na Dr. SLAA tatizo SLAA ....(nitamuongelea wakati mwingine)

5.LOWASSA ANASIKILIZIKA,ANAFUATILIA,SI KIGEUGEU NA SI MVIVU.
Hii ni sifa kubwa kwa mtu kuwa RAIS unapoona unataka kuwa Rais au unamchagua mtu ambae kwa haiba yake tu hasikiliziki ujue unaturudisha nyuma.

Rais anatakiwa awe akisema hili lifanyike huyo anaeambiwa linamuingia moyoni. Nirudie Rais anatakiwa anapoongea hata kwa simu tu ile pitch ya sauti iashirie kuwa jambo hili ni lazima lifanyike.Yaani kama anaongea mbele yako ukimwangalia kuanzia nywele mpaka unyayo uashirie kuwa kiongozi anataka hili lifanyike.

LOWASSA yupo hivyo akisema jambo linatekelezwa na haiishi hapo anafatilia mwanzo mwisho si mvivu hata kidogo.kutwa anaizunguka Tanzania hii vijijini hadi mijini nyote ni mashahidi wa hili.
KUTOKA Burudan Mwanzo - Mwisho: SIFA TANO ZA LOWASSA KUWA NIA URAIS 2015 ZATAJWA

Hata mkimpamba hauziki kama mnadhani kujazana mitandaoni na kuanza kumsifia ndo itamsaidia nawashauri mkamsafishe huko kwa wananchi kwani alivyomchafu ni zaidi ya kutumbua kolichodondoka kwenye mchanga
 
Baada ya kuangalia CV ya mzee laigwanan Lowasa sasa tuangalie tena maamuzi aliyowahi kuyafanya alipokua waziri wa kawaida kwa ajili ya taifa hili. na ndio maana tunasema anafaa kuwa Rais na si vinginevyo.


Lowassa.jpg

WAKATI tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015, tayari yanasemwa mambo mengi kuhusu ni nani atakayekuwa mrithi wa nafasi ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Wananchi wanasema yao, na ni halali yao kikatiba na kiutaratibu, kwa sababu wanayemsema ni kiongozi wao mkuu wanayemchagua wao. Sidhani kama ni kosa la jinai kusema kwamba fulani ndiye anayepaswa kuwa au atakayekuwa rais wao.

Kwahiyo hata mimi nimetumia njia hiyo kuonyesha kilicho moyoni mwangu. Nataka nitaje ni mtu gani ambaye naona anafaa kupewa nafasi ya kuongoza nchi yetu baada ya muda wa rais aliyepo kwasasa kuisha. Nalisema hili kwa nia njema nikisukumwa na mapenzi niliyo nayo kwa nchi yangu.

Mtu mwenye mapenzi mema na nchi yake ni lazima atizame ni namna gani nchi yake itaongozwa vyema, kwa ufanisi, ikiwa inapiga hatua kwenda mbele huku kila jambo la ustawi wa nchi likiwa limezingatiwa, usalama wa nchi na wananchi, maendeleo, na mahitaji mengine ya kiutu nakadhalika.

Hayo yote yanahitaji mtu aliye makini katika kuhakikisha yanapatikana bila aina yoyote ya visingizio. Sababu kama tunavyoona, matatizo mengine katika nchi yetu yanatokana na uzembe katika uongozi na usimamizi. Na hilo linatokana na ukosefu wa umakini.

Kwahiyo kwa upande wangu mimi mtu ninayemuona kuwa anatufaa kuwa kiongozi wetu mkuu, rais, ni Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa. Ni mtu makini, mbunifu na mwenye kujisimamia kimaamuzi.

Nilianza kuuona uwezo wa Lowassa zamani kidogo, tangu alipokuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha, AICC. Namna alivyokiongoza kituo hicho bila matatizo yoyote ya kukifanya kishindwe kujiendesha, ndilo jambo lililonifanya nianze kumuona kuwa anafaa. Nilitamani sana mtu huyo aingie kwenye siasa za nchi yetu ili aweze kutumia uwezo wake aliokuwa akiuonyesha pale AICC kuusaidia uongozi wa nchi yetu.

Mungu si Athumani, taratibu Lowassa akaingia kwenye siasa za nchi yetu. Akaingia Bungeni kwanza, na baadaye akaupata uwaziri. Aliyoyafanya akiwa waziri ndiyo yaliyozidi kunidhihirishia uwezo wake.

Kinachonisukuma nimuone Lowassa ana uwezo tofauti na watu wengine ni moyo wake wa uchapakazi. Pamoja na hiyo yeye ana uwezo wa kuthubutu, ni mtu asiyebabaika katika kufanya maamuzi. Hiyo ni tabia ambayo kiongozi yeyote anatakiwa kuwa nayo.

Viongozi wengi wana tatizo la kushindwa kuchukua maamuzi. Tatizo hilo halijionyeshi kwa Lowassa. Tunaweza kujikumbusha maamuzi aliyoyachukua Lowassa kipindi akiwa waziri wa kawaida.

Wakati fulani akiwa Waziri wa Ardhi aliwahi kuchukua uamuzi ambao mara nyingi wengi unawashinda na hivyo kuyafanya mambo yaende kombo. Mfano kuna mtu alikuwa ametumia njia za kughushi na kujifanya eti anawekeza kwenye viwanja vya wazi vya Mnazimmoja, akavizungushia uzio wa mabati eti kwa lengo la kujenga mabanda kuzunguka viwanja hivyo.

Baada ya watu kulalamika, Lowassa alisema mara moja kwamba alichokifanya mhusika ni ukiukaji wa sheria za Mipango Miji, kwahiyo akataka mabati hayo yaondolewe mara moja. Wananchi waliokuwa wanafuatilia kauli ya serikali, baada ya kusikia kauli hiyo, walimsaidia mwekezaji feki huyo kwa kuuondoa uzio wa mabati katika viwanja vya Mnazimmoja kwa muda mfupi sana, walichojilipa kwa kazi hiyo ni kujibinafsishia mabati yenyewe.

Kwahiyo naweza kusema kwamba maamuzi ya Lowassa ndiyo yaliyovinusuru viwanja hivyo. Si ajabu bila yeye eneo hilo kwa sasa lingekuwa vingine kabisa, pengine viwanja vya wazi vya Mnazimmoja visingekuwepo na badala yake kungekuwepo na maduka, mahoteli nakadhalika.

Vilevile Lowassa aliweza kuunusuru ufukwe wa bahari uliotazamana na hoteli ya Kilimanjaro, kuna mtu aliyekuwa amejitokeza eti naye ni mwekezaji akitaka kulichukua eneo hilo!

Kitu kingine alichokifanya Lowassa akiwa waziri wa kawaida ni kuifuta kazi kampuni iliyokuwa imepewa zabuni ya kuendesha masuala ya maji Jijini Da es salaam, kampuni ya City Water, wakati huo akiwa Waziri wa Maji.

Kwahiyo tunaona kwamba mambo mengi yanazorota na kufikia kuwa matatizo katika utendaji wa serikali yetu kutokana na ukosefu wa maamuzi kutoka kwa wanaokuwa wamepewa majukumu ya kuyasimamia.

Baada ya hapo Lowassa alikuwa Waziri Mkuu baada ya Kikwete kuingia Ikulu. Kwa kipindi kifupi aliweza kufanya mambo kama mtu aliyekalia cheo hicho kwa muda mrefu. Sababu ya kuonekana hivyo ilikuwa ni uwezo wake wa kuchukua maamuzi bila kusita.

Tuliona jinsi alivyolishughulikia suala la ukosefu wa umeme nchini kiasi cha kuingia mkataba na kampuni “feki” ya Richmond. Lakini si yeye aliyefanya hivyo bali watu wasiokuwa waaminifu waliokuwa chini yake. Lengo la Lowassa lilikuwa zuru, kuiona nchi inaendeshwa bila matatizo ya umeme.

Ikumbukwe kwamba sio maamuzi yote yenye malengo mazuri yanayokuwa na matokeo mazuri. Kuna matokeo mengine yanayoweza kuwa kama ajali, kilicholengwa ni kizuri ila matokeo yanakuwa mabaya. Ni sawa na mtu anayepanga safari bila kuelewa kuwa gari litapata ajali. Ajali ikishatokea huwezi kumlaumu aliyepanga safari.

Kutokana na upungufu wa mashule na ongezeko la watoto wanaoingia sekondari, Lowassa akabuni ujengaji wa shule za kata. Lengo lake lilikuwa kila kata iwe na shule yake ya sekondari. Huo ni ubunifu mzuri ambao wengi waliomtangulia hawakuwahi kuufikiria.

Kwahiyo kukosekana kwa vifaa vya kufundishia pamoja na upungufu wa walimu kamwe hakufanani wala kulingana na kutokuwepo kabisa kwa shule za sekonfari, yaani kuwaacha watoto wakilandalanda mitaani baada ya darasa la saba bila mahali pa kuwapeleka.

Nina imani Lowassa angeendelea kuikalia nafasi yake ya uwaziri mkuu ni lazima angebuni pia namna ya kuwapata walimu pamoja na vifaa vya kufundishia, kwa vile ubunifu unaonekana kuwa kipaji chake.

Mfano wakati fulani alikuwa amebuni njia ya kupunguza msongamano wa magari katika barabara za Jiji. Alisema barabara zenye njia nne ziwe na njia tatu kila siku kutegemea na muda ambao magari yanakuwa mengi.

Huo wote ni ubunifu anaopaswa kuwa nao kiongozi wa wananchi. Ubunifu unaoongozwa na maamuzi yaliyo katika mamlaka anayopewa kiongozi na wananchi. Sababu kushindwa kubuni pamoja na maamuzi hafifu ndio mwanzo wa matatizo yanayotupata kwa sasa. Jambo dogo linageuka kuwa kubwa na wananchi kuishia kwenye matatizo yasiyo ya lazima.

Kwahiyo, kwa mtazamo wangu, tukimpata mtu kama Edward Lowassa akawa mtu wa maamuzi ya mwisho yasiyotaka kuhojiwa na yeyote kabla ya kutekelezwa, tutakuwa tumepata kura ya turufu. Mtu huyu, kwa uwezo wake huo, ni lazima atatuvusha salama kwenye haya matatizo tuliyomo kwa sasa ambayo si kila yote yatafutiwe suluhisho nje ya nchi.

Kwa maana hiyo ni sababu hizo zinazonifanya nimuone Lowassa kama mtu anayefaa kuwa kinara wetu ifikapo 2015. Kwahiyo wananchi wanaoifikiria nchi yao kwa mapenzi mema wanapaswa kulitilia maanani jambo hilo. Si kwa kumpenda mtu kwa sura yake tu bali kwa uwezo wake.

Tukiondoa mambo ya mizengwe, ambayo nahisi hayamsaidii lolote mwananchi wa kawaida, Lowassa ndiye anayefaa kuwa rais wetu ajaye. Sisemi haya kwa vile tunafahamiana na Lowassa, la hasha, hanifahamu hata kidogo, ila nayasema kwa mapenzi mema niliyo nayo kwa nchi yangu.

Hivyo ninapomsema Lowassa, pamoja kuona kuwa ndiye mtu anayefaa kuwa rais wetu mtarajiwa, siyasemi haya kutokana na uwezo huo alio nao, bali nayasema kwa mapenzi niliyo kwa nchi yangu. Nchi yangu naitakia mema na mazuri, ndiyo maana namtaja mtu ninayeamini anafaa kuiongoza.

Watanzania tujiangalie, tusifanye makosa kama ambayo tumekuwa tukiyafanya muda wote. Tukumbuke kwamba kosa ni kurudia kosa na wala si kufanya kosa.


Denis B. Mwanukuzi

 
endelea kufahamu zaidi kazi alizowahi kulifanyia taifa hili kiongozi huyu mahiri na shupavu Mh lowasa
Lowassa.jpg


WAKATI tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015, tayari yanasemwa mambo mengi kuhusu ni nani atakayekuwa mrithi wa nafasi ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Wananchi wanasema yao, na ni halali yao kikatiba na kiutaratibu, kwa sababu wanayemsema ni kiongozi wao mkuu wanayemchagua wao. Sidhani kama ni kosa la jinai kusema kwamba fulani ndiye anayepaswa kuwa au atakayekuwa rais wao.

Kwahiyo hata mimi nimetumia njia hiyo kuonyesha kilicho moyoni mwangu. Nataka nitaje ni mtu gani ambaye naona anafaa kupewa nafasi ya kuongoza nchi yetu baada ya muda wa rais aliyepo kwasasa kuisha. Nalisema hili kwa nia njema nikisukumwa na mapenzi niliyo nayo kwa nchi yangu.

Mtu mwenye mapenzi mema na nchi yake ni lazima atizame ni namna gani nchi yake itaongozwa vyema, kwa ufanisi, ikiwa inapiga hatua kwenda mbele huku kila jambo la ustawi wa nchi likiwa limezingatiwa, usalama wa nchi na wananchi, maendeleo, na mahitaji mengine ya kiutu nakadhalika.

Hayo yote yanahitaji mtu aliye makini katika kuhakikisha yanapatikana bila aina yoyote ya visingizio. Sababu kama tunavyoona, matatizo mengine katika nchi yetu yanatokana na uzembe katika uongozi na usimamizi. Na hilo linatokana na ukosefu wa umakini.

Kwahiyo kwa upande wangu mimi mtu ninayemuona kuwa anatufaa kuwa kiongozi wetu mkuu, rais, ni Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa. Ni mtu makini, mbunifu na mwenye kujisimamia kimaamuzi.

Nilianza kuuona uwezo wa Lowassa zamani kidogo, tangu alipokuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha, AICC. Namna alivyokiongoza kituo hicho bila matatizo yoyote ya kukifanya kishindwe kujiendesha, ndilo jambo lililonifanya nianze kumuona kuwa anafaa. Nilitamani sana mtu huyo aingie kwenye siasa za nchi yetu ili aweze kutumia uwezo wake aliokuwa akiuonyesha pale AICC kuusaidia uongozi wa nchi yetu.

Mungu si Athumani, taratibu Lowassa akaingia kwenye siasa za nchi yetu. Akaingia Bungeni kwanza, na baadaye akaupata uwaziri. Aliyoyafanya akiwa waziri ndiyo yaliyozidi kunidhihirishia uwezo wake.

Kinachonisukuma nimuone Lowassa ana uwezo tofauti na watu wengine ni moyo wake wa uchapakazi. Pamoja na hiyo yeye ana uwezo wa kuthubutu, ni mtu asiyebabaika katika kufanya maamuzi. Hiyo ni tabia ambayo kiongozi yeyote anatakiwa kuwa nayo.

Viongozi wengi wana tatizo la kushindwa kuchukua maamuzi. Tatizo hilo halijionyeshi kwa Lowassa. Tunaweza kujikumbusha maamuzi aliyoyachukua Lowassa kipindi akiwa waziri wa kawaida.

Wakati fulani akiwa Waziri wa Ardhi aliwahi kuchukua uamuzi ambao mara nyingi wengi unawashinda na hivyo kuyafanya mambo yaende kombo. Mfano kuna mtu alikuwa ametumia njia za kughushi na kujifanya eti anawekeza kwenye viwanja vya wazi vya Mnazimmoja, akavizungushia uzio wa mabati eti kwa lengo la kujenga mabanda kuzunguka viwanja hivyo.

Baada ya watu kulalamika, Lowassa alisema mara moja kwamba alichokifanya mhusika ni ukiukaji wa sheria za Mipango Miji, kwahiyo akataka mabati hayo yaondolewe mara moja. Wananchi waliokuwa wanafuatilia kauli ya serikali, baada ya kusikia kauli hiyo, walimsaidia mwekezaji feki huyo kwa kuuondoa uzio wa mabati katika viwanja vya Mnazimmoja kwa muda mfupi sana, walichojilipa kwa kazi hiyo ni kujibinafsishia mabati yenyewe.

Kwahiyo naweza kusema kwamba maamuzi ya Lowassa ndiyo yaliyovinusuru viwanja hivyo. Si ajabu bila yeye eneo hilo kwa sasa lingekuwa vingine kabisa, pengine viwanja vya wazi vya Mnazimmoja visingekuwepo na badala yake kungekuwepo na maduka, mahoteli nakadhalika.

Vilevile Lowassa aliweza kuunusuru ufukwe wa bahari uliotazamana na hoteli ya Kilimanjaro, kuna mtu aliyekuwa amejitokeza eti naye ni mwekezaji akitaka kulichukua eneo hilo!

Kitu kingine alichokifanya Lowassa akiwa waziri wa kawaida ni kuifuta kazi kampuni iliyokuwa imepewa zabuni ya kuendesha masuala ya maji Jijini Da es salaam, kampuni ya City Water, wakati huo akiwa Waziri wa Maji.

Kwahiyo tunaona kwamba mambo mengi yanazorota na kufikia kuwa matatizo katika utendaji wa serikali yetu kutokana na ukosefu wa maamuzi kutoka kwa wanaokuwa wamepewa majukumu ya kuyasimamia.

Baada ya hapo Lowassa alikuwa Waziri Mkuu baada ya Kikwete kuingia Ikulu. Kwa kipindi kifupi aliweza kufanya mambo kama mtu aliyekalia cheo hicho kwa muda mrefu. Sababu ya kuonekana hivyo ilikuwa ni uwezo wake wa kuchukua maamuzi bila kusita.

Tuliona jinsi alivyolishughulikia suala la ukosefu wa umeme nchini kiasi cha kuingia mkataba na kampuni “feki” ya Richmond. Lakini si yeye aliyefanya hivyo bali watu wasiokuwa waaminifu waliokuwa chini yake. Lengo la Lowassa lilikuwa zuru, kuiona nchi inaendeshwa bila matatizo ya umeme.

Ikumbukwe kwamba sio maamuzi yote yenye malengo mazuri yanayokuwa na matokeo mazuri. Kuna matokeo mengine yanayoweza kuwa kama ajali, kilicholengwa ni kizuri ila matokeo yanakuwa mabaya. Ni sawa na mtu anayepanga safari bila kuelewa kuwa gari litapata ajali. Ajali ikishatokea huwezi kumlaumu aliyepanga safari.

Kutokana na upungufu wa mashule na ongezeko la watoto wanaoingia sekondari, Lowassa akabuni ujengaji wa shule za kata. Lengo lake lilikuwa kila kata iwe na shule yake ya sekondari. Huo ni ubunifu mzuri ambao wengi waliomtangulia hawakuwahi kuufikiria.

Kwahiyo kukosekana kwa vifaa vya kufundishia pamoja na upungufu wa walimu kamwe hakufanani wala kulingana na kutokuwepo kabisa kwa shule za sekonfari, yaani kuwaacha watoto wakilandalanda mitaani baada ya darasa la saba bila mahali pa kuwapeleka.

Nina imani Lowassa angeendelea kuikalia nafasi yake ya uwaziri mkuu ni lazima angebuni pia namna ya kuwapata walimu pamoja na vifaa vya kufundishia, kwa vile ubunifu unaonekana kuwa kipaji chake.

Mfano wakati fulani alikuwa amebuni njia ya kupunguza msongamano wa magari katika barabara za Jiji. Alisema barabara zenye njia nne ziwe na njia tatu kila siku kutegemea na muda ambao magari yanakuwa mengi.

Huo wote ni ubunifu anaopaswa kuwa nao kiongozi wa wananchi. Ubunifu unaoongozwa na maamuzi yaliyo katika mamlaka anayopewa kiongozi na wananchi. Sababu kushindwa kubuni pamoja na maamuzi hafifu ndio mwanzo wa matatizo yanayotupata kwa sasa. Jambo dogo linageuka kuwa kubwa na wananchi kuishia kwenye matatizo yasiyo ya lazima.

Kwahiyo, kwa mtazamo wangu, tukimpata mtu kama Edward Lowassa akawa mtu wa maamuzi ya mwisho yasiyotaka kuhojiwa na yeyote kabla ya kutekelezwa, tutakuwa tumepata kura ya turufu. Mtu huyu, kwa uwezo wake huo, ni lazima atatuvusha salama kwenye haya matatizo tuliyomo kwa sasa ambayo si kila yote yatafutiwe suluhisho nje ya nchi.

Kwa maana hiyo ni sababu hizo zinazonifanya nimuone Lowassa kama mtu anayefaa kuwa kinara wetu ifikapo 2015. Kwahiyo wananchi wanaoifikiria nchi yao kwa mapenzi mema wanapaswa kulitilia maanani jambo hilo. Si kwa kumpenda mtu kwa sura yake tu bali kwa uwezo wake.

Tukiondoa mambo ya mizengwe, ambayo nahisi hayamsaidii lolote mwananchi wa kawaida, Lowassa ndiye anayefaa kuwa rais wetu ajaye. Sisemi haya kwa vile tunafahamiana na Lowassa, la hasha, hanifahamu hata kidogo, ila nayasema kwa mapenzi mema niliyo nayo kwa nchi yangu.

Hivyo ninapomsema Lowassa, pamoja kuona kuwa ndiye mtu anayefaa kuwa rais wetu mtarajiwa, siyasemi haya kutokana na uwezo huo alio nao, bali nayasema kwa mapenzi niliyo kwa nchi yangu. Nchi yangu naitakia mema na mazuri, ndiyo maana namtaja mtu ninayeamini anafaa kuiongoza.

Watanzania tujiangalie, tusifanye makosa kama ambayo tumekuwa tukiyafanya muda wote. Tukumbuke kwamba kosa ni kurudia kosa na wala si kufanya kosa.

na Denis B. Mwanukuzi
 

[TD="align: center"][/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 5%, align: center"][/TD]
[TD="width: 14%"][/TD]


SalutationHonourable
First Name: Edward
Middle Name:Ngoyai
Last Name:Lowassa
Constituent:Monduli
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 139, Monduli
Office Phone: +255 754 800000
Ext.:
Office Fax: +255 22 2452037
Office E-mail: elowassa@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 26 August 1953

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="align: center"] Member picture
1021.jpg
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
School Name/Location Course/Degree/Award
University of Bath, UK
University of Bath, UK
University of Dar Es Salaam
Milambo Secondary School
Arusha Secondary School
Monduli Primary School

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]MSc. (Development Studies)[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]

[TD="align: center"]MSc.[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]

[TD="align: center"]BA (Edu) Hons.[/TD]
[TD="align: center"]1974[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1972[/TD]
[TD="align: center"]1973[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1968[/TD]
[TD="align: center"]1971[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1961[/TD]
[TD="align: center"]1967[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
Company Name
Tanzania GovernmentPrime Minister
Ministry of Water and Livestock DevelopmentMinister
State, Vice President's OfficeMinister for Environment & Poverty
The Parliament of TanzaniaMember - Monduli Constituency
Ministry of Lands, Human Settlement DevelopmentMinister
State, Prime Minister's Office and First Vice PresidentMinister (Judiciary &Parliamentary Affairs)
Arusha International Conference CentreManaging Director

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2/8/2008[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]

[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]

[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]

[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]

[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember
Chama Cha Mapinduzi, CCMParty Executive-District, Regional &Head Office

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]


Kutokana na CV hii kwa nini huyu kiongozi asiwe Rais wetu ajae wa taifa hili ukizingatia kwamba ana uwezo wa hali ya juu kwenye masuala ya kiutawala na uongozi. Nawasilisha

Ningependa uelezee ni kwa nini hakumaliza kipindi cha uawaziri mkuu
Mtu anapoiba anakuwa amevaa Sura halisi ya shetani
 
Mh. Lowasa ni jembe kama watoto wa mjini wanavyosema
h9f8AVyRmdoaRwWMAAAAASUVORK5CYII=


WAKATI tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015, tayari yanasemwa mambo mengi kuhusu ni nani atakayekuwa mrithi wa nafasi ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Wananchi wanasema yao, na ni halali yao kikatiba na kiutaratibu, kwa sababu wanayemsema ni kiongozi wao mkuu wanayemchagua wao. Sidhani kama ni kosa la jinai kusema kwamba fulani ndiye anayepaswa kuwa au atakayekuwa rais wao.

Kwahiyo hata mimi nimetumia njia hiyo kuonyesha kilicho moyoni mwangu. Nataka nitaje ni mtu gani ambaye naona anafaa kupewa nafasi ya kuongoza nchi yetu baada ya muda wa rais aliyepo kwasasa kuisha. Nalisema hili kwa nia njema nikisukumwa na mapenzi niliyo nayo kwa nchi yangu.

Mtu mwenye mapenzi mema na nchi yake ni lazima atizame ni namna gani nchi yake itaongozwa vyema, kwa ufanisi, ikiwa inapiga hatua kwenda mbele huku kila jambo la ustawi wa nchi likiwa limezingatiwa, usalama wa nchi na wananchi, maendeleo, na mahitaji mengine ya kiutu nakadhalika.

Hayo yote yanahitaji mtu aliye makini katika kuhakikisha yanapatikana bila aina yoyote ya visingizio. Sababu kama tunavyoona, matatizo mengine katika nchi yetu yanatokana na uzembe katika uongozi na usimamizi. Na hilo linatokana na ukosefu wa umakini.

Kwahiyo kwa upande wangu mimi mtu ninayemuona kuwa anatufaa kuwa kiongozi wetu mkuu, rais, ni Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa. Ni mtu makini, mbunifu na mwenye kujisimamia kimaamuzi.

Nilianza kuuona uwezo wa Lowassa zamani kidogo, tangu alipokuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha, AICC. Namna alivyokiongoza kituo hicho bila matatizo yoyote ya kukifanya kishindwe kujiendesha, ndilo jambo lililonifanya nianze kumuona kuwa anafaa. Nilitamani sana mtu huyo aingie kwenye siasa za nchi yetu ili aweze kutumia uwezo wake aliokuwa akiuonyesha pale AICC kuusaidia uongozi wa nchi yetu.

Mungu si Athumani, taratibu Lowassa akaingia kwenye siasa za nchi yetu. Akaingia Bungeni kwanza, na baadaye akaupata uwaziri. Aliyoyafanya akiwa waziri ndiyo yaliyozidi kunidhihirishia uwezo wake.

Kinachonisukuma nimuone Lowassa ana uwezo tofauti na watu wengine ni moyo wake wa uchapakazi. Pamoja na hiyo yeye ana uwezo wa kuthubutu, ni mtu asiyebabaika katika kufanya maamuzi. Hiyo ni tabia ambayo kiongozi yeyote anatakiwa kuwa nayo.

Viongozi wengi wana tatizo la kushindwa kuchukua maamuzi. Tatizo hilo halijionyeshi kwa Lowassa. Tunaweza kujikumbusha maamuzi aliyoyachukua Lowassa kipindi akiwa waziri wa kawaida.

Wakati fulani akiwa Waziri wa Ardhi aliwahi kuchukua uamuzi ambao mara nyingi wengi unawashinda na hivyo kuyafanya mambo yaende kombo. Mfano kuna mtu alikuwa ametumia njia za kughushi na kujifanya eti anawekeza kwenye viwanja vya wazi vya Mnazimmoja, akavizungushia uzio wa mabati eti kwa lengo la kujenga mabanda kuzunguka viwanja hivyo.

Baada ya watu kulalamika, Lowassa alisema mara moja kwamba alichokifanya mhusika ni ukiukaji wa sheria za Mipango Miji, kwahiyo akataka mabati hayo yaondolewe mara moja. Wananchi waliokuwa wanafuatilia kauli ya serikali, baada ya kusikia kauli hiyo, walimsaidia mwekezaji feki huyo kwa kuuondoa uzio wa mabati katika viwanja vya Mnazimmoja kwa muda mfupi sana, walichojilipa kwa kazi hiyo ni kujibinafsishia mabati yenyewe.

Kwahiyo naweza kusema kwamba maamuzi ya Lowassa ndiyo yaliyovinusuru viwanja hivyo. Si ajabu bila yeye eneo hilo kwa sasa lingekuwa vingine kabisa, pengine viwanja vya wazi vya Mnazimmoja visingekuwepo na badala yake kungekuwepo na maduka, mahoteli nakadhalika.

Vilevile Lowassa aliweza kuunusuru ufukwe wa bahari uliotazamana na hoteli ya Kilimanjaro, kuna mtu aliyekuwa amejitokeza eti naye ni mwekezaji akitaka kulichukua eneo hilo!

Kitu kingine alichokifanya Lowassa akiwa waziri wa kawaida ni kuifuta kazi kampuni iliyokuwa imepewa zabuni ya kuendesha masuala ya maji Jijini Da es salaam, kampuni ya City Water, wakati huo akiwa Waziri wa Maji.

Kwahiyo tunaona kwamba mambo mengi yanazorota na kufikia kuwa matatizo katika utendaji wa serikali yetu kutokana na ukosefu wa maamuzi kutoka kwa wanaokuwa wamepewa majukumu ya kuyasimamia.

Baada ya hapo Lowassa alikuwa Waziri Mkuu baada ya Kikwete kuingia Ikulu. Kwa kipindi kifupi aliweza kufanya mambo kama mtu aliyekalia cheo hicho kwa muda mrefu. Sababu ya kuonekana hivyo ilikuwa ni uwezo wake wa kuchukua maamuzi bila kusita.

Tuliona jinsi alivyolishughulikia suala la ukosefu wa umeme nchini kiasi cha kuingia mkataba na kampuni “feki” ya Richmond. Lakini si yeye aliyefanya hivyo bali watu wasiokuwa waaminifu waliokuwa chini yake. Lengo la Lowassa lilikuwa zuru, kuiona nchi inaendeshwa bila matatizo ya umeme.

Ikumbukwe kwamba sio maamuzi yote yenye malengo mazuri yanayokuwa na matokeo mazuri. Kuna matokeo mengine yanayoweza kuwa kama ajali, kilicholengwa ni kizuri ila matokeo yanakuwa mabaya. Ni sawa na mtu anayepanga safari bila kuelewa kuwa gari litapata ajali. Ajali ikishatokea huwezi kumlaumu aliyepanga safari.

Kutokana na upungufu wa mashule na ongezeko la watoto wanaoingia sekondari, Lowassa akabuni ujengaji wa shule za kata. Lengo lake lilikuwa kila kata iwe na shule yake ya sekondari. Huo ni ubunifu mzuri ambao wengi waliomtangulia hawakuwahi kuufikiria.

Kwahiyo kukosekana kwa vifaa vya kufundishia pamoja na upungufu wa walimu kamwe hakufanani wala kulingana na kutokuwepo kabisa kwa shule za sekonfari, yaani kuwaacha watoto wakilandalanda mitaani baada ya darasa la saba bila mahali pa kuwapeleka.

Nina imani Lowassa angeendelea kuikalia nafasi yake ya uwaziri mkuu ni lazima angebuni pia namna ya kuwapata walimu pamoja na vifaa vya kufundishia, kwa vile ubunifu unaonekana kuwa kipaji chake.

Mfano wakati fulani alikuwa amebuni njia ya kupunguza msongamano wa magari katika barabara za Jiji. Alisema barabara zenye njia nne ziwe na njia tatu kila siku kutegemea na muda ambao magari yanakuwa mengi.

Huo wote ni ubunifu anaopaswa kuwa nao kiongozi wa wananchi. Ubunifu unaoongozwa na maamuzi yaliyo katika mamlaka anayopewa kiongozi na wananchi. Sababu kushindwa kubuni pamoja na maamuzi hafifu ndio mwanzo wa matatizo yanayotupata kwa sasa. Jambo dogo linageuka kuwa kubwa na wananchi kuishia kwenye matatizo yasiyo ya lazima.

Kwahiyo, kwa mtazamo wangu, tukimpata mtu kama Edward Lowassa akawa mtu wa maamuzi ya mwisho yasiyotaka kuhojiwa na yeyote kabla ya kutekelezwa, tutakuwa tumepata kura ya turufu. Mtu huyu, kwa uwezo wake huo, ni lazima atatuvusha salama kwenye haya matatizo tuliyomo kwa sasa ambayo si kila yote yatafutiwe suluhisho nje ya nchi.

Kwa maana hiyo ni sababu hizo zinazonifanya nimuone Lowassa kama mtu anayefaa kuwa kinara wetu ifikapo 2015. Kwahiyo wananchi wanaoifikiria nchi yao kwa mapenzi mema wanapaswa kulitilia maanani jambo hilo. Si kwa kumpenda mtu kwa sura yake tu bali kwa uwezo wake.

Tukiondoa mambo ya mizengwe, ambayo nahisi hayamsaidii lolote mwananchi wa kawaida, Lowassa ndiye anayefaa kuwa rais wetu ajaye. Sisemi haya kwa vile tunafahamiana na Lowassa, la hasha, hanifahamu hata kidogo, ila nayasema kwa mapenzi mema niliyo nayo kwa nchi yangu.

Hivyo ninapomsema Lowassa, pamoja kuona kuwa ndiye mtu anayefaa kuwa rais wetu mtarajiwa, siyasemi haya kutokana na uwezo huo alio nao, bali nayasema kwa mapenzi niliyo kwa nchi yangu. Nchi yangu naitakia mema na mazuri, ndiyo maana namtaja mtu ninayeamini anafaa kuiongoza.

Watanzania tujiangalie, tusifanye makosa kama ambayo tumekuwa tukiyafanya muda wote. Tukumbuke kwamba kosa ni kurudia kosa na wala si kufanya kosa.misemo ya wahenga hiyo .

 
Mh. Lowasa ni jembe kama watoto wa mjini wanavyosema
h9f8AVyRmdoaRwWMAAAAASUVORK5CYII=


WAKATI tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015, tayari yanasemwa mambo mengi kuhusu ni nani atakayekuwa mrithi wa nafasi ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Wananchi wanasema yao, na ni halali yao kikatiba na kiutaratibu, kwa sababu wanayemsema ni kiongozi wao mkuu wanayemchagua wao. Sidhani kama ni kosa la jinai kusema kwamba fulani ndiye anayepaswa kuwa au atakayekuwa rais wao.

Kwahiyo hata mimi nimetumia njia hiyo kuonyesha kilicho moyoni mwangu. Nataka nitaje ni mtu gani ambaye naona anafaa kupewa nafasi ya kuongoza nchi yetu baada ya muda wa rais aliyepo kwasasa kuisha. Nalisema hili kwa nia njema nikisukumwa na mapenzi niliyo nayo kwa nchi yangu.

Mtu mwenye mapenzi mema na nchi yake ni lazima atizame ni namna gani nchi yake itaongozwa vyema, kwa ufanisi, ikiwa inapiga hatua kwenda mbele huku kila jambo la ustawi wa nchi likiwa limezingatiwa, usalama wa nchi na wananchi, maendeleo, na mahitaji mengine ya kiutu nakadhalika.

Hayo yote yanahitaji mtu aliye makini katika kuhakikisha yanapatikana bila aina yoyote ya visingizio. Sababu kama tunavyoona, matatizo mengine katika nchi yetu yanatokana na uzembe katika uongozi na usimamizi. Na hilo linatokana na ukosefu wa umakini.

Kwahiyo kwa upande wangu mimi mtu ninayemuona kuwa anatufaa kuwa kiongozi wetu mkuu, rais, ni Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa. Ni mtu makini, mbunifu na mwenye kujisimamia kimaamuzi.

Nilianza kuuona uwezo wa Lowassa zamani kidogo, tangu alipokuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha, AICC. Namna alivyokiongoza kituo hicho bila matatizo yoyote ya kukifanya kishindwe kujiendesha, ndilo jambo lililonifanya nianze kumuona kuwa anafaa. Nilitamani sana mtu huyo aingie kwenye siasa za nchi yetu ili aweze kutumia uwezo wake aliokuwa akiuonyesha pale AICC kuusaidia uongozi wa nchi yetu.

Mungu si Athumani, taratibu Lowassa akaingia kwenye siasa za nchi yetu. Akaingia Bungeni kwanza, na baadaye akaupata uwaziri. Aliyoyafanya akiwa waziri ndiyo yaliyozidi kunidhihirishia uwezo wake.

Kinachonisukuma nimuone Lowassa ana uwezo tofauti na watu wengine ni moyo wake wa uchapakazi. Pamoja na hiyo yeye ana uwezo wa kuthubutu, ni mtu asiyebabaika katika kufanya maamuzi. Hiyo ni tabia ambayo kiongozi yeyote anatakiwa kuwa nayo.

Viongozi wengi wana tatizo la kushindwa kuchukua maamuzi. Tatizo hilo halijionyeshi kwa Lowassa. Tunaweza kujikumbusha maamuzi aliyoyachukua Lowassa kipindi akiwa waziri wa kawaida.

Wakati fulani akiwa Waziri wa Ardhi aliwahi kuchukua uamuzi ambao mara nyingi wengi unawashinda na hivyo kuyafanya mambo yaende kombo. Mfano kuna mtu alikuwa ametumia njia za kughushi na kujifanya eti anawekeza kwenye viwanja vya wazi vya Mnazimmoja, akavizungushia uzio wa mabati eti kwa lengo la kujenga mabanda kuzunguka viwanja hivyo.

Baada ya watu kulalamika, Lowassa alisema mara moja kwamba alichokifanya mhusika ni ukiukaji wa sheria za Mipango Miji, kwahiyo akataka mabati hayo yaondolewe mara moja. Wananchi waliokuwa wanafuatilia kauli ya serikali, baada ya kusikia kauli hiyo, walimsaidia mwekezaji feki huyo kwa kuuondoa uzio wa mabati katika viwanja vya Mnazimmoja kwa muda mfupi sana, walichojilipa kwa kazi hiyo ni kujibinafsishia mabati yenyewe.

Kwahiyo naweza kusema kwamba maamuzi ya Lowassa ndiyo yaliyovinusuru viwanja hivyo. Si ajabu bila yeye eneo hilo kwa sasa lingekuwa vingine kabisa, pengine viwanja vya wazi vya Mnazimmoja visingekuwepo na badala yake kungekuwepo na maduka, mahoteli nakadhalika.

Vilevile Lowassa aliweza kuunusuru ufukwe wa bahari uliotazamana na hoteli ya Kilimanjaro, kuna mtu aliyekuwa amejitokeza eti naye ni mwekezaji akitaka kulichukua eneo hilo!

Kitu kingine alichokifanya Lowassa akiwa waziri wa kawaida ni kuifuta kazi kampuni iliyokuwa imepewa zabuni ya kuendesha masuala ya maji Jijini Da es salaam, kampuni ya City Water, wakati huo akiwa Waziri wa Maji.

Kwahiyo tunaona kwamba mambo mengi yanazorota na kufikia kuwa matatizo katika utendaji wa serikali yetu kutokana na ukosefu wa maamuzi kutoka kwa wanaokuwa wamepewa majukumu ya kuyasimamia.

Baada ya hapo Lowassa alikuwa Waziri Mkuu baada ya Kikwete kuingia Ikulu. Kwa kipindi kifupi aliweza kufanya mambo kama mtu aliyekalia cheo hicho kwa muda mrefu. Sababu ya kuonekana hivyo ilikuwa ni uwezo wake wa kuchukua maamuzi bila kusita.

Tuliona jinsi alivyolishughulikia suala la ukosefu wa umeme nchini kiasi cha kuingia mkataba na kampuni “feki” ya Richmond. Lakini si yeye aliyefanya hivyo bali watu wasiokuwa waaminifu waliokuwa chini yake. Lengo la Lowassa lilikuwa zuru, kuiona nchi inaendeshwa bila matatizo ya umeme.

Ikumbukwe kwamba sio maamuzi yote yenye malengo mazuri yanayokuwa na matokeo mazuri. Kuna matokeo mengine yanayoweza kuwa kama ajali, kilicholengwa ni kizuri ila matokeo yanakuwa mabaya. Ni sawa na mtu anayepanga safari bila kuelewa kuwa gari litapata ajali. Ajali ikishatokea huwezi kumlaumu aliyepanga safari.

Kutokana na upungufu wa mashule na ongezeko la watoto wanaoingia sekondari, Lowassa akabuni ujengaji wa shule za kata. Lengo lake lilikuwa kila kata iwe na shule yake ya sekondari. Huo ni ubunifu mzuri ambao wengi waliomtangulia hawakuwahi kuufikiria.

Kwahiyo kukosekana kwa vifaa vya kufundishia pamoja na upungufu wa walimu kamwe hakufanani wala kulingana na kutokuwepo kabisa kwa shule za sekonfari, yaani kuwaacha watoto wakilandalanda mitaani baada ya darasa la saba bila mahali pa kuwapeleka.

Nina imani Lowassa angeendelea kuikalia nafasi yake ya uwaziri mkuu ni lazima angebuni pia namna ya kuwapata walimu pamoja na vifaa vya kufundishia, kwa vile ubunifu unaonekana kuwa kipaji chake.

Mfano wakati fulani alikuwa amebuni njia ya kupunguza msongamano wa magari katika barabara za Jiji. Alisema barabara zenye njia nne ziwe na njia tatu kila siku kutegemea na muda ambao magari yanakuwa mengi.

Huo wote ni ubunifu anaopaswa kuwa nao kiongozi wa wananchi. Ubunifu unaoongozwa na maamuzi yaliyo katika mamlaka anayopewa kiongozi na wananchi. Sababu kushindwa kubuni pamoja na maamuzi hafifu ndio mwanzo wa matatizo yanayotupata kwa sasa. Jambo dogo linageuka kuwa kubwa na wananchi kuishia kwenye matatizo yasiyo ya lazima.

Kwahiyo, kwa mtazamo wangu, tukimpata mtu kama Edward Lowassa akawa mtu wa maamuzi ya mwisho yasiyotaka kuhojiwa na yeyote kabla ya kutekelezwa, tutakuwa tumepata kura ya turufu. Mtu huyu, kwa uwezo wake huo, ni lazima atatuvusha salama kwenye haya matatizo tuliyomo kwa sasa ambayo si kila yote yatafutiwe suluhisho nje ya nchi.

Kwa maana hiyo ni sababu hizo zinazonifanya nimuone Lowassa kama mtu anayefaa kuwa kinara wetu ifikapo 2015. Kwahiyo wananchi wanaoifikiria nchi yao kwa mapenzi mema wanapaswa kulitilia maanani jambo hilo. Si kwa kumpenda mtu kwa sura yake tu bali kwa uwezo wake.

Tukiondoa mambo ya mizengwe, ambayo nahisi hayamsaidii lolote mwananchi wa kawaida, Lowassa ndiye anayefaa kuwa rais wetu ajaye. Sisemi haya kwa vile tunafahamiana na Lowassa, la hasha, hanifahamu hata kidogo, ila nayasema kwa mapenzi mema niliyo nayo kwa nchi yangu.

Hivyo ninapomsema Lowassa, pamoja kuona kuwa ndiye mtu anayefaa kuwa rais wetu mtarajiwa, siyasemi haya kutokana na uwezo huo alio nao, bali nayasema kwa mapenzi niliyo kwa nchi yangu. Nchi yangu naitakia mema na mazuri, ndiyo maana namtaja mtu ninayeamini anafaa kuiongoza.

Watanzania tujiangalie, tusifanye makosa kama ambayo tumekuwa tukiyafanya muda wote. Tukumbuke kwamba kosa ni kurudia kosa na wala si kufanya kosa.misemo ya wahenga hiyo .

 
Imewezekanaje akasoma bila kuelimika? It's a miracle! Maana mtu aliyeelimika hawezi kuagiza serikali iingie mkataba na kampuni ya nje ije itengeneze mvua kwa ndege hadi kujaza Bwawa la Mtera.

Mtu uliyeelimika ukiona jengo limeporomoka utamsakama contractor badala ya kumfukuza kazi Injinia wa Manispaa papo kwa hapo.

Tukishajikwamua kutoka mikono ya ccm, itabidi tuchunguze upya kashfa ya Richmond.
 
Hapo kuna uongo Digree yake Mlimani ilikuwa Bachelor of Fine art (Bachelor inayousiana na ngoma, maigizo na uchoraji) not Bachelor of Art Aducation

Mkuu mliman hakunaga degree inayoitwa Bachelor of fine art na Bachelor of art education kuna bachelor of fine and performing arts na Bachelor of arts with Education ambayo lowasa kasoma,Arts inamaana kubwa ata economics nayo ni arts,political science nayo ni arts hzo corse zote zpo kwenye faculty moja ya social science sku hz wanaita CASS.
 
Back
Top Bottom