Mjue Edward Lowassa: Hii ni CV yake

Mjue Edward Lowassa: Hii ni CV yake

Ussr acha kushawishi watu wakubali huo uozo ea ccm.kwani hao ndugu zako waliobaki ccm ni wema?nataka niwaambie kuwa waliobaki ccm ni wale wenye maslahi binafsi tu au ndugu zao.sisi wengine acha tuungane na cdm kwa raha zetu.cdm ni nyundo ya kuinaliza chichiem.
 
Hili jamaa linajidhihirisha wazi kwamba ni jizi lilokubuhu kwa mbinu zake za kuwaonga mafuta na pesa madereva wa bodaboda ili lionekane linakubalika mbele ya jamii wakati limechangia kwa kiasi kikubwa kuifikisha nchi hapa ilipo,halifai kabisa
Jaribu kuwahonga wewe kama utaweza, bodaboda ungejua wanapiga mpunga wa maana kukuzidi wewe na mkeo kwa pamoja usingekuja kuhara damu kwenye hii thread, ndani ya lisaa wanaingiza mshiko mwendo wa kilomita moja wanaingiza karibu buku mbili, endekeza majungu na ka mshahara Kako ka laki nne
 
Eti anawakandia wakati naye alikuwemo ..sijuhi anajitofautishaje na akina Kagasheku na akina Tibaijuka
 
nani kasema lowasa siyo fisadi? Lowasa is a bid fisadi hilo kila mtu anatambua, na ccm wamemlea muda mrefu na yeye katumia mwanya huo kwaani alikuwa anaona mbele. Swala la kuwa waziri mkuu au waziri katika serikali ya ccm haimaanishi alikuwa msafi. Lowasa aliingia mkataba na kikwete wa kwenda ikulu kwa zamu, bahati mbaya kikwete amemgeuka, na ndivyo atakavyofanya akisha apishwa kama atanshinda urais mwaka huu, mbowe hatakuwa na uwezo wa kuwa nyapala wa rais kwa kuwa tu ni mwenyekiti wa cdm.

Ukawa wamemchukua lowasa kuwa mgombea kwa kuwa hawakuwa na presidential materials. Ni hii ni udhaifu mkubwa wa vyama vyetu vya upinzani.

fisadi anakuwa waziri mkuu?
Mbona akina yona na mramba wako jela?
 
fisadi anakuwa waziri mkuu?
Mbona akina yona na mramba wako jela?


Huo ni udhaifu wa serikali ya CCM lkn ukweli unabaki pale pale, hata akina Yona si peke yao wapo wengi, tunataka mabadriko ya kweli na LOWASA afikishwe mahakani siyo kukimbia kujificha.
 
Ni kweli kabisa hata chadema wanalijua hilo ila kinachowasukuma kumtumia lowassa ni tamaa ya madaraka iliyopitiliza ya kina mbowe na wenzake kwahivyo wapo tayari kutumia njia yoyote iliyo ndani ya uwezo wao kwa ufupi ni kundi la wapiga dili tu sioni mtu mwenye dhamira ya kuwakomboa wananchi wote ni mafisi tu

Hebu toa mfano wa nchi yoyote duniani, ambayo chama tawala kiling'oka madarakani bila vigogo wa chama hicho hicho kujiunga na upinzani na hatimae kukiangusha chama tawala!
 
huo ni udhaifu wa serikali ya ccm lkn ukweli unabaki pale pale, hata akina yona si peke yao wapo wengi, tunataka mabadriko ya kweli na lowasa afikishwe mahakani siyo kukimbia kujificha.

tena mnasema lowasa ana tuhuma tangia 1995 kwa nini hakuwahi kupelekwa mahakamani tangia enzi hizo na mmekuwa mnamkumbatia kama mungu wenu?

Na wewe kwa nini unaone kwamba ni sahihi kumpeleka mahakamani leo baada ya kuhama ccm?
 
tena mnasema lowasa ana tuhuma tangia 1995 kwa nini hakuwahi kupelekwa mahakamani tangia enzi hizo na mmekuwa mnamkumbatia kama mungu wenu?

Na wewe kwa nini unaone kwamba ni sahihi kumpeleka mahakamani leo baada ya kuhama ccm?


Ndug sijasema apelekwe mahakani leo, no alipatakiwa kuwa jera tangu muda mrefu lkn kwa kuwa CCM wanalindana hawakufanya hivyo, na siwezi kubadiri kauli yangu ya miaka yote kuwa LOWASA anatakiwa kuwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya ofisi au kwa wizi. LOWASA ni mwizi na CCM wenzake, UKAWA wamemrithi ili kujificha.
 
Ndug sijasema apelekwe mahakani leo, no alipatakiwa kuwa jera tangu muda mrefu lkn kwa kuwa CCM wanalindana hawakufanya hivyo, na siwezi kubadiri kauli yangu ya miaka yote kuwa LOWASA anatakiwa kuwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya ofisi au kwa wizi. LOWASA ni mwizi na CCM wenzake, UKAWA wamemrithi ili kujificha.

vizuri sana, sasa tuambie lowasa ameiba nini na nini au kiasi gani cha fedha maana inaonekana una taaifa za kutosha kuhusu wizi wake.

hivi unakumbuka ile list of shame ya mwembeyanga? kama unakumbuka unitajie viongozi ambao wana tuhuma na tena wamepewa vyeo vikubwa sana kuongoza nchi. halafu useme wamechukuliwa hatua gani?

Halafu mbona wale wa escrow huwazungumzii na mmewapitisha kwenye kura za maoni za ubunge, epa,kagoda, melemeta, hamuwazungumzii mmekomaa na lowasa
 
vizuri sana, sasa tuambie lowasa ameiba nini na nini au kiasi gani cha fedha maana inaonekana una taaifa za kutosha kuhusu wizi wake.

hivi unakumbuka ile list of shame ya mwembeyanga? kama unakumbuka unitajie viongozi ambao wana tuhuma na tena wamepewa vyeo vikubwa sana kuongoza nchi. halafu useme wamechukuliwa hatua gani?

Halafu mbona wale wa escrow huwazungumzii na mmewapitisha kwenye kura za maoni za ubunge, epa,kagoda, melemeta, hamuwazungumzii mmekomaa na lowasa

Nimekwambia CCM wote ni wezi akiwamo LOWASA, lowasa aliiba pesa akiwa mkugurugenzi pale AICC, ametwaa ranchi za taifa kujibinafsisha, amepiga hela richmond km siyo matumizi mabaya ya pesa, ana mahekalu london, singapole na nk. list of shame wote wapelekwe mahakamani siwezi kutetea wezi. hatuwezi kutawaliwa na Rais mwizi. anasadikika kufanya mipango ya tindi... k. Mwakyembe, mwakyusa na nk. siyo president materials.
 
Eti anawakandia wakati naye alikuwemo ..sijuhi anajitofautishaje na akina Kagasheku na akina Tibaijuka

huyu mzee ni wa ajabu sana ametoka huko hata mwezi haujaisha anajifanya kuwakandia wenzake wakati yeye pia ni sehemu ya chanzo cha huo uchafu.
 
tena mnasema lowasa ana tuhuma tangia 1995 kwa nini hakuwahi kupelekwa mahakamani tangia enzi hizo na mmekuwa mnamkumbatia kama mungu wenu?

Na wewe kwa nini unaone kwamba ni sahihi kumpeleka mahakamani leo baada ya kuhama ccm?

Tatizo mnatumia nguvu nyingi kumsafisha lowasa ila ukweli lowasa ni FISADI na chadema imeamua kuwa sehemu ya ufisadi.

Ni ngumu sana kumtenganisha lowasa na UFISADI.
 
Waliokuwa wanaimba wana imani na Lowasa Dodoma baada ya jina lake kuenguliwa kwa hujuma za mwenyechair sio wanaCCM?Leo imani yenu kwa Lowasa baada ya kuwatosa imeenda wapi?kweli wanasisiem ni manyumbu,mwenyekiti wenu kawanyima haki ya kumchagua mliyempenda bado mpo tu. Ama kwel nyumbu hana akil
 
EL lazima awe rais wa Tanzania.Watashindana nae sana,watampaka matope sana lakini mwisho wake watashindwa na atachaguliwa kuwa rais wa nchi yetu Tanzanaia.Mungu mpe ulinzi wa hali ya juu maana wenye roho mbaya ni wengi saaana.

wezi kujikweza lahaula
 
Nani kasema LOWASA siyo fisadi? LOWASA IS A BID FISADI hilo kila mtu anatambua, na CCM wamemlea muda mrefu na yeye katumia mwanya huo kwaani alikuwa anaona mbele. Swala la kuwa waziri mkuu au waziri katika serikali ya CCM haimaanishi alikuwa msafi. LOWASA aliingia mkataba na Kikwete wa kwenda ikulu kwa zamu, bahati mbaya Kikwete amemgeuka, na Ndivyo atakavyofanya akisha apishwa kama atanshinda Urais mwaka huu, MBOWE hatakuwa na uwezo wa kuwa nyapala wa Rais kwa kuwa tu ni mwenyekiti wa CDM.

UKAWA wamemchukua LOWASA kuwa mgombea kwa kuwa hawakuwa na presidential materials. ni hii ni udhaifu mkubwa wa vyama vyetu vya upinzani.

kama unaamini Ukawa hawakuwa na Presidential material, kwa nini hukujitokeza wewe? Lakini pia, wewe una uwezo gani wa kujua fulani ni presidential material na fulani siyo? Mtu unakuta si lolote si chochote ktk nchi lakini unajishebedua ili uonekane nawe upo ktk jamii. Waacheni hao wagombea wapambane kwa amani, na mmoja atakuwa rais, hakuna Mtanzania msafi hapa.
 
Back
Top Bottom