Uliyetuletea hizi Pointi Tano kuhusu Lowassa, mbona umezipatia sana, uliwahi kufanyakazi naye? Sifa ulizozitaja ni kweli tupu, kwa sisi ambaye tuliwahi kufanyakazi naye! Sifa nyingine anazo nyingi, lakini nyingine ni Mtu wa Huruma na wa Msaada sana! Ukimuomba Msaada na akiona Hoja yako kuwa kweli lazima usaidiwe, atakupigania mpaka utapata Msaada, bila ya kujali ni Kabila lake, Dini ake au nini! Baadhi ya Viongozi wengine wengi ni Waongo, Wachoyo na hawana Msaada na Mtu! Ndiyo hawa wanaomuonea Gere Lowassa, wana Chuki naye na wanamtengenezea Fitina, mara kwa mara!
Bwassa.