Nafsi huru
Senior Member
- Sep 25, 2015
- 132
- 133
kumbe sisi wa bara tuna wivu
Matendo yake ndio yanayofanya watu wamdhalau. Hata kama una vyeti vimejaa briefcase kama unashindwa kuishi nje ya payroll ya serikali wewe ni hopeless. Kawadhalilisha wazazi wake masikini
Hamna kitu hapo,Kwa wale wasiomtambua Guru huyu kitaaluma ni bora wapitie mka-GOOGLE kuona anavyoheshimika duniani ukilinganisha na baadhi ya Ma-Dr. (doctorates) wengine wa kibongo.
Oldewage-Theron, W. H., Dicks, E. G., Napier, C. E., & Rutengwe, R. (2005). Situation analysis of an informal settlement in the Vaal Triangle. Development Southern Africa, 22(1)
Huyu si kama Dr. Manyaunyau au Prof. Maji Mafupi. Lazima mtambue hilo. Ni wa kimataifa zaidi, Mkoa wa Pwani tunasifika kwa kutoa VICHWA katika taaluma kuanzia Dr. Msabaha, Dr. Kawambwa na sasa Dr. Rutengwe.
***Punguzeni WIVU & JAZBA watu wa-bara (wakuja)
kama baba chodoMa dr wa kichina hawa!! Bongo wapo wengi sana.
Lecture au Lecturer?Dr. kawambwa ni lecture udsm acheni chuki
Sidhani kama una haja ya kuandika chochote kumzungumzia mtu aliyejishusha mwenyewe! He is not PhD material, speech yake ni sawa na mfagiaji wa ofisi aliyeachishwa kazi! PhD holder hata kama angekuwa akihitaji kuwepo serikalini sio kwa tungo zake zile za speech ya kuaga Moro!Kwa wale wasiomtambua Guru huyu kitaaluma ni bora wapitie mka-GOOGLE kuona anavyoheshimika duniani ukilinganisha na baadhi ya Ma-Dr. (doctorates) wengine wa kibongo.
Oldewage-Theron, W. H., Dicks, E. G., Napier, C. E., & Rutengwe, R. (2005). Situation analysis of an informal settlement in the Vaal Triangle. Development Southern Africa, 22(1)
Huyu si kama Dr. Manyaunyau au Prof. Maji Mafupi. Lazima mtambue hilo. Ni wa kimataifa zaidi, Mkoa wa Pwani tunasifika kwa kutoa VICHWA katika taaluma kuanzia Dr. Msabaha, Dr. Kawambwa na sasa Dr. Rutengwe.
***Punguzeni WIVU & JAZBA watu wa-bara (wakuja)
Wewe bibi kizee achana na mimi, wewe hangaika huko na wazee wenzio tuache sisi tule ujana. Inakuhusu nini mimi nikikosea spelling au umepandwa na mshawasha kibabu chenzio sukari imepanda kinashindwa kuendesha baskeli= wamdharau