A view to a kill
JF-Expert Member
- Jun 9, 2015
- 2,213
- 1,272
Rubish
Parmanent head damage a k a Phd!Hivi Dr huyu ni Phd holder?
Dr. Rutengwe ni GURU la kimataifa ana machapisho katika majarida ya kimataifa, hiv hapo alipo anaweza kupata kazi UN mkabaki kutoa macho. Ile ilikuwa kauli ya kisiasa ili kumpaisha mkulu.
kwa kuongezea ikumbukwe kwamba Rajab alianzia kwenye U - DC na ni mkoa huohuo wa Morogoro , alihusika ama alinyamazia mapambano kati ya wakulima na wafugaji , kiasi ambacho hali ilikuwa mbaya sana ! badala ya kukamatwa au kufukuzwa alipewa promotion ya kuwa RC wa mkoa mpya , nadhani Simiyu kama nakumbuka vizuri , huyu mtu hakujua majukumu yake , aibu sana .Kumbe na wewe mwenyewe ni manyaunyau; mtu "Guru", kama unavyotaka tuamini anawezaje kulialia kwa kuachwa ukuu wa mkoa; kwani alisomea ukuu wa mkoa? Kama ni hivyo basi alipata Parmanent head Damage; Phd.!!?
Rajab wengi tunamfahamu na mahusiano yake na JK; cheo cha uswaiba ndio kimemponza akapoteza mwelekeo, mbona watu wanaojiamini kama Abas Kandoro aliachia ofisi kibingwa bila lalamo na manung'uniko yoyote na kumshukuru JPM! Ombeni Sefue aliondoka kibingwa pia with a smile on his face! Maisha lazima yaendelee; Rajabu katuaibisha wanataaluma wote.
Kwa nini asiende chuo kikuu kufundusha ili ajivune 'kutengeneza' watu kufaulu katiia maisha?Dr. Rutengwe ni GURU la kimataifa ana machapisho katika majarida ya kimataifa, hiv hapo alipo anaweza kupata kazi UN mkabaki kutoa macho. Ile ilikuwa kauli ya kisiasa ili kumpaisha mkulu.
Hata wewe una parmanent head damage kama Rutengwe mwenyewe; hatujaamia huko kwa Rutengwe bali tunalazimika kuliadress hilo pia na kuendelea na mambo mengine kadri yanavyojitokeza, hatuwezi kung'ang'ana mijizi ya uchaguzi Zanzibar na ktukaacha umang'aa wa Rajab upite hivi hivi!ilibidi kutoa kauli kama ile ili ku-divert attention ya watanzania toka uchaguzi/kuapishwa Zanzibar sasa ona wooote mmehamia Dr. Rutengwe Dr. Rutengwe! huku Zanzibar watu wanajipigia tu kama vile hakuna kilichotokea. ni rahisi sana kucheza na akili za watanzania
Halafu nasikia jana alikuwa anaomba pilau ya pasaka kwani maisha ni magumu.Ss machapisho yake ya UN sisi yanatuhusu nn.. umetumwa??
tuwekee mkuu .'KICHWA' with only one publication 🙄
Sio kauli za kisiasa DR . hawezi kujidhalili dunia nzima, analia njaa mm clip yake nimeiona wakati nipo KAMPALA. Na ww akili zako finyu unashabikia upumbavu na uvivu alionao watu tunapinga kauli zke za kujidhalili wakati uwezo wa kiakili anao ,Dr. Rutengwe ni GURU la kimataifa ana machapisho katika majarida ya kimataifa, hiv hapo alipo anaweza kupata kazi UN mkabaki kutoa macho. Ile ilikuwa kauli ya kisiasa ili kumpaisha mkulu.
Kumbe upo ki-ukabila zaidi. Hongereni saana, lakini hao wote uliowataja kama nakumbuka vizuri mmoja ndo yule alifahamika wakati wake wa utumishi ulipokuwa unafikia tamati kama "bangusilo", mwingine alisemekana kama "mzigo" na huyu wa sasa analalamika kama anatoka katika familia "duni".Kwa wale wasiomtambua Guru huyu kitaaluma ni bora wapitie mka-GOOGLE kuona anavyoheshimika duniani ukilinganisha na baadhi ya Ma-Dr. (doctorates) wengine wa kibongo.
Oldewage-Theron, W. H., Dicks, E. G., Napier, C. E., & Rutengwe, R. (2005). Situation analysis of an informal settlement in the Vaal Triangle. Development Southern Africa, 22(1)
Huyu si kama Dr. Manyaunyau au Prof. Maji Mafupi. Lazima mtambue hilo. Ni wa kimataifa zaidi, Mkoa wa Pwani tunasifika kwa kutoa VICHWA katika taaluma kuanzia Dr. Msabaha, Dr. Kawambwa na sasa Dr. Rutengwe.
***Punguzeni WIVU & JAZBA watu wa-bara (wakuja)
Kwa wale wasiomtambua Guru huyu kitaaluma ni bora wapitie mka-GOOGLE kuona anavyoheshimika duniani ukilinganisha na baadhi ya Ma-Dr. (doctorates) wengine wa kibongo.
Oldewage-Theron, W. H., Dicks, E. G., Napier, C. E., & Rutengwe, R. (2005). Situation analysis of an informal settlement in the Vaal Triangle. Development Southern Africa, 22(1)
Huyu si kama Dr. Manyaunyau au Prof. Maji Mafupi. Lazima mtambue hilo. Ni wa kimataifa zaidi, Mkoa wa Pwani tunasifika kwa kutoa VICHWA katika taaluma kuanzia Dr. Msabaha, Dr. Kawambwa na sasa Dr. Rutengwe.
***Punguzeni WIVU & JAZBA watu wa-bara (wakuja)