Mjue Dr. Rutengwe Kitaaluma (Google Scholar)

Mjue Dr. Rutengwe Kitaaluma (Google Scholar)

Akilini nilikuwa nafikiri ni mtu wa Kigoma kutokana na Jina lake. Ila kama ni wa Pwani basi avumilie miaka 9 iliyobaki, mwana mteule akishika hatamu atamrudisha tongeni.
 
Mimi ni mgeni kwenye jamvi, 'but with all due respect', ktk muda mfupi jamvini nime-note kuwa Uzi za kukejeli na kukebehi wasomi huwa zinashabikiwa sana.

Maandishi ya MTU ni njia bora zaidi ya kuelewa 'mindset' ya MTU.


Ni kweli wasomi wengi wanatuangusha sana na wametufikisha hapa. Lkn nahisi kunakuwa na 'personal attacks' dhidi wasomi ( i.e PhD holders and Profs) kuwa ni vilaza tu na ni fake!! Naamini wengi wao wamefanya juhudi kubwa na kujitoa kupata hizo elimu.

Inapendeza sana tena sana kama wewe ni phd holder/ prof hlf ukawa umekuwa mfano bora ndio ukafanya 'personal attacks'. Vinginevyo utaonekana una wivu au 'frustrations' za kutofikia hapo. Na ndio maana huu Uzi umeletwa hapa.


Ni vizuri kujenga hoja ya nini kifanyike ili huo ujuzi uwe na manufaa ili jamii isiendelee kuwa 'frustrated' na wasomi ksb naamini wao ni wahanga Wa mfumo na malezi.
Kama utaanza pia kupiga kelele na watoto wako kama inavyokuwa humu jamvini, basi inaweza kusaidia Taifa letu kwa kizazi kijacho.
Lkn pia wasomi kama watakuwa 'humble enough' kuelewa hizi criticisms bila kujalisha hizi criticisms ni kwa lengo gani, pia itasaidia sana kujielewa na kujua role yao.
 
Huyo Dr. ni miongoni mwa wasomi wanaopambana kuikomboa elimu badala ya elimu kuwakomboa wao,Atakumbukwa pia kwa jitihada zake kuwarudisha shuleni wanafunzi waliofukuzwa shule kwa makosa mbalimbali ya utovu wa nidhamu. Hiyo ni fedheha kwa mtaaluma kulia lia eti hana pa kwenda baada ya kukosa ukuu wa mkoa,afungue begi lake aangalie tena vyeti vyake kasomea nini!? Huo ukuu wa mkoa unasomewa chuo gani????
 
SIZONJE hii ndio nyumba yetu..milango ipo watu wanapita madirishanii
 
Kumbe anatoka pwani? Sina comments. Maana waswahili ndo kazi zao kujipendekeza
 
huna lolote mkuu ! huyu Rajabu Rutengwe aliokotwa na Jk katika ule mpango wa kuhakikisha vijana wa mkoa wa Pwani wale wenye elimu za makaratasi wanapewa madaraka hata kama hawakuwa na uwezo wowote , ilikuwa ni mpango wa kufaidi matunda ya rais wa nyumbani , hapa wamo pia akina Shukuru kawambwa na Dr Seif Rashid wa REDCROSS ambaye alikuwa waziri wa afya , unamkumbuka Ramadhan Maneno aliyebwagwa kwenye ubunge anayesemekana kuwa na elimu ya msingi aliyeteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ? huu ulikuwa ni mpango wa kizamani unaoitwa " SASA NI ZAMU YETU " vinginevyo Dr Rajab ambaye baba yake Mzee Rutengwe alikuwa ofisa wa bandari miaka iliyopita hana uwezo wa kubuni chochote , na kile kilio ndio uhalisi wa mambo .

Inawezekana kweli Dr Rutengwe ni kilaza lakini tujiulize wasio vilaza na huyu kilaza wanatofautiana vipi kwenye harakati za kuongoza Mkoa wa Morogoro.
 
Kwa wale wasiomtambua Guru huyu kitaaluma ni bora wapitie mka-GOOGLE kuona anavyoheshimika duniani ukilinganisha na baadhi ya Ma-Dr. (doctorates) wengine wa kibongo.
Oldewage-Theron, W. H., Dicks, E. G., Napier, C. E., & Rutengwe, R. (2005). Situation analysis of an informal settlement in the Vaal Triangle. Development Southern Africa, 22(1)

Huyu si kama Dr. Manyaunyau au Prof. Maji Mafupi. Lazima mtambue hilo. Ni wa kimataifa zaidi, Mkoa wa Pwani tunasifika kwa kutoa VICHWA katika taaluma kuanzia Dr. Msabaha, Dr. Kawambwa na sasa Dr. Rutengwe.
***Punguzeni WIVU & JAZBA watu wa-bara (wakuja)
Vilaza bhana...sasa analilia nini akauze mananas kiwangwa
 
Dr. Rutengwe ni GURU la kimataifa ana machapisho katika majarida ya kimataifa, hiv hapo alipo anaweza kupata kazi UN mkabaki kutoa macho. Ile ilikuwa kauli ya kisiasa ili kumpaisha mkulu.

Kauli ya kisiasa Dr mzima hajidhlilishe kisa anampaisha mkulu??basi Dr huyo atakuwa sio Dr kweli labda na yy ni Dr wa mihogo..naishia hapo..
 
huna lolote mkuu ! huyu Rajabu Rutengwe aliokotwa na Jk katika ule mpango wa kuhakikisha vijana wa mkoa wa Pwani wale wenye elimu za makaratasi wanapewa madaraka hata kama hawakuwa na uwezo wowote , ilikuwa ni mpango wa kufaidi matunda ya rais wa nyumbani , hapa wamo pia akina Shukuru kawambwa na Dr Seif Rashid wa REDCROSS ambaye alikuwa waziri wa afya , unamkumbuka Ramadhan Maneno aliyebwagwa kwenye ubunge anayesemekana kuwa na elimu ya msingi aliyeteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ? huu ulikuwa ni mpango wa kizamani unaoitwa " SASA NI ZAMU YETU " vinginevyo Dr Rajab ambaye baba yake Mzee Rutengwe alikuwa ofisa wa bandari miaka iliyopita hana uwezo wa kubuni chochote , na kile kilio ndio uhalisi wa mambo .
Mkuu Ramadhan Maneno ana Masters. Ila ukweli ile Masters ni ya Maruhani. Alisoma CBE wakati anafanya kazi TRA, alikuwa anafanyiwa mitihani, hakuna alichojua. Akasoma hapo CBE hadi akapata bachelor. Ndio maana Mimi nikisikia jitu lina degree ya CBE nalidharau Mara mia nane.
Maneno ni kielelezo cha waliosoma CBE kihuni, hajui kitu. Sidhani kama anaweza kutengeneza hata dibaji ya maisha yake mwenyewe. Mweupe pee! CBE ni jipu!
 
Kwa wale wasiomtambua Guru huyu kitaaluma ni bora wapitie mka-GOOGLE kuona anavyoheshimika duniani ukilinganisha na baadhi ya Ma-Dr. (doctorates) wengine wa kibongo.
Oldewage-Theron, W. H., Dicks, E. G., Napier, C. E., & Rutengwe, R. (2005). Situation analysis of an informal settlement in the Vaal Triangle. Development Southern Africa, 22(1)

Huyu si kama Dr. Manyaunyau au Prof. Maji Mafupi. Lazima mtambue hilo. Ni wa kimataifa zaidi, Mkoa wa Pwani tunasifika kwa kutoa VICHWA katika taaluma kuanzia Dr. Msabaha, Dr. Kawambwa na sasa Dr. Rutengwe.
***Punguzeni WIVU & JAZBA watu wa-bara (wakuja)
Hivi wewe ziko timamu kweli?sasa huyo dakitari wako kwa yale al8yoyafanya bado tu huamini kama kahudhuria shule na kufaulu mitihanibyake ya darasani tu 8la kiukweli hajaelimika na wala hana faida kiasi kwamba sisi wa vidato vya nne na sita tumempiku na tuna impact kubwa katika jamii inayo tuzunguka?
Yule ni miongoni ya wanataaluma khasara kwa taifa letu shekhe bora unyamaze tu ,huwezi kusifia utumbo wake ule hapa na hao wazyngu kumkubali kwetu si kigezo!kakataliwa na raisi wake !
 
Phd_Pengine Hana Degree! Anyway ni maisha tu,alishazoea ubwerere na kulindwa ni KJ hata baada ya kufail kwenye UDC akampa URC.Walio kwy nafasi wajifunze kutoka kwa huyu Dr,kwamba kuna maisha baada kuajiriwa nahata walio kwy ajira inabidi tuwe na plan B!
 
Huyu atakuwa kilaza wetu mwingine anayetaka kujifanya ana akili kwa kujilundikia mavyeti yasiyotusaidia kwa chochote,wenzio kwa elimu ndogo waliyoipata wanajikusanyia mamilioni wanafanya uwekezaji watu wanapata ajira inasaidia jamii mtu anasikia fahari kuwa na mi vyeti! Elimu kama haibadilishi maish ya watu wanaokuzunguka hata uwe na machapisho ..........ni takataka.
 
Back
Top Bottom