Mjomba wangu sitakusahau

Mjomba wangu sitakusahau

Sema mwanangu, hii ni thread bora ya ukilaza hapa JF...

Inabidi JF wakupe tuzo...
Naomba leo nielezee kidogo kuhusu huyu mjomba wangu ambaye alikuwa tegemeo langu kipindi fulani ila alishindwa kunisaidia na nikajikuta nakuwa na maisha magumu sana huko jijini Dar es Salaam.

Mwaka 2004 niliondoka nyumbani kwenda Dar es Salaam kwa mjomba wangu nikiwa na miaka 22, nilikuwa kijana mwenye nguvu na nidhamu kwa watu wote. Ila sikuweza kuendelea na masomo kwa sababu nyumbani hali ilikuwa mbaya sana hivyo baada ya kuhitimu darasa la saba nikawa ni mtu wa kupambana kusaka riziki huku na kule ila sikuweza kufanikiwa kikubwa nilivyotegemea.

Mama yangu akampigia Mjomba simu na kuomba anichukue nikakae Dar es Salaam ili anisaidie kupata kazi. Kwa kweli mjomba alikuwa na uwezo na alifahamiana na watu wengi serikalini na katika sekta binafsi hivyo nilijua ataweza kunisaidia kupata kazi.

Mjomba yeye alikuwa ana duka kubwa la kuuza vifaa vya umeme pale Kariakoo na hakutaka kufanya kazi na mimi kwa kigezo kuwa ni mtu mzima sana hawezi kugombezana na mimi tena mbele za watu (mjomba ni mkali) basi tukazunguka huku na kule hakuna ajira na alipopata zaidi ni viwandani ila akataka nijitegemee nauli hivyo nikashindwa kuendelea.

Ila kinachouma ni kuwa Mjomba alikuwa na marafiki kila kona siku moja alikuja rafiki yake akajitambulisha alikuwa ni daktari hospitali moja maeneo ya Temeke basi wakaongea hapo muda mrefu wakati anaondoka nikawawahi na kuwaomba samahani na kumwambia mjomba tumehangaika sana kutafuta kazi naomba ongea hata na rafiki yako anisaidie kazi hata udaktari tu kama atapata nafasi anipe ajira. Mjomba akasema sawa nitaongea naye na yule daktari akasema akipata nafasi ataniambia.

Zikapita siku nyingi kimya hakuna jibu nikakutana na yule rafiki siku moja na kumkumbushia akadai alipata nafasi ila mjomba akakataa kuwa siwezi kuwa daktari atanitafutia kazi sehemu nyingine. Niliumia sana siku ile niliumia na kuona kama nimebeba dunia na mhimili wake mgongoni kwangu bila msaada wa mtu yeyote. Kweli kazi ya udaktari ilipatikana ila mjomba akakataa kweli? Nikamwambia mama na mama akalaani sana kile kitendo alichofanya mjomba ila tukasamehe.

Zikapita siku nikapata rafiki mmoja akaniambia kazi kwenye Shirika la Umeme na nikamwambia mjomba basi anisaidie nipate kata kazi ya utanesco akasema sawa nikajua ni zake zile ila kweli mjomba akanitafutia kazi na nikawa nafanya kazi ya utanesco. Siku moja isiyo na jina nilikutana na kisa kibaya zaidi niliporudi nyumbani usiku. Mjomba alikuwa anataka tufanye marekebisho ya umeme ndani na akasema wewe Mtanesco si utaweza au?

Nikasema nitaweza ila sikuwa najua chochote kuhusu umeme nilikuwa nachimba tu mashimo kazini na kubeba nguzo ila kufunga umeme walikuwa wanafunga wenzangu mimi nilikuwa sijawahi. Basi mjomba akasema chukua sijui huu waya ukate na uunge kwenye soketi ya nje. Nikasema sawa na nikaanza kazi ya kukata waya kumbe mjomba hakusema kuwa umeme ni hatari nakumbuka nilirushwa ukutani nikaanguka na kupoteza fahamu na siku napata fahamu niko hospitali na mama yupo kitandani sijui kuna nini wananishangaa na mimi nawashangaa tu. Nikatibiwa siku kadhaa nikapona.

Baada ya kupona mjomba akaninunulia nguo na viatu na kuniambia kesho utaondoka na mama kurudi kijijini. Nikamuuliza kuna nini na kwanini niondoke wakati niko kazini? Akasema tumeshauriana na mama yako urudi nyumbani kwa muda.

Sawa kwa shingo upande bila kujua sababu ya kurudi nyumbani nikarudi na mama. Nikafika kijijini watu wananiita fundi wengine daktari wengi Mtanesco mimi sielewi nani kawaambia kazi zangu hizo. Nikaanza kilimo taratibu na kuanza kupata tenda ya kupeleka ulezi Mwanza na hatimaye nikajenga na maisha yakawa yanategemea kilimo hadi sasa.

Mjomba nikawa nawasiliana naye na muda mwingine namtumia ulezi huku nikisema moyoni "Tenda wema nenda zako"

Siwezi kusahau kwa kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry hivi ni Udakrari huu huu ambao watu wanaosotea chuo for 5 years tena after A level, ndyo ulitaka upate wewe std 7?, acheni masikharaaa na afya za watu, ndyo nyie badala ya kufanya operation ya mguu, mnafanya ya kichwa.

Mungu alikupangia utatoka kwa njia ya kulimo Huko kwa mjomba ulikua unajichelewesha tu. hongera kwa kufanikiwa kwenye kilimo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa,tena ni miaka 6 ,5 years chuo 1 year for internship
Sorry hivi ni Udakrari huu huu ambao watu wanaosotea chuo for 5 years tena after A level, ndyo ulitaka upate wewe std 7?, acheni masikharaaa na afya za watu, ndyo nyie badala ya kufanya operation ya mguu, mnafanya ya kichwa.

Mungu alikupangia utatoka kwa njia ya kulimo Huko kwa mjomba ulikua unajichelesha tu. hongera kwa kufanikiwa kwenye kilimo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa bana yaan nimeona heading na mtiririko wako umeanza vizur sasa mbele mbele nashangaa udakitari mara utanesco, sema nimecheka sana eti we mtanesco si utaweza kuunga nyaya, daah nimeishia kucheka kinoma
🤣🤣🤣
 
Naomba leo nielezee kidogo kuhusu huyu mjomba wangu ambaye alikuwa tegemeo langu kipindi fulani ila alishindwa kunisaidia na nikajikuta nakuwa na maisha magumu sana huko jijini Dar es Salaam.

Mwaka 2004 niliondoka nyumbani kwenda Dar es Salaam kwa mjomba wangu nikiwa na miaka 22, nilikuwa kijana mwenye nguvu na nidhamu kwa watu wote. Ila sikuweza kuendelea na masomo kwa sababu nyumbani hali ilikuwa mbaya sana hivyo baada ya kuhitimu darasa la saba nikawa ni mtu wa kupambana kusaka riziki huku na kule ila sikuweza kufanikiwa kikubwa nilivyotegemea.

Mama yangu akampigia Mjomba simu na kuomba anichukue nikakae Dar es Salaam ili anisaidie kupata kazi. Kwa kweli mjomba alikuwa na uwezo na alifahamiana na watu wengi serikalini na katika sekta binafsi hivyo nilijua ataweza kunisaidia kupata kazi.

Mjomba yeye alikuwa ana duka kubwa la kuuza vifaa vya umeme pale Kariakoo na hakutaka kufanya kazi na mimi kwa kigezo kuwa ni mtu mzima sana hawezi kugombezana na mimi tena mbele za watu (mjomba ni mkali) basi tukazunguka huku na kule hakuna ajira na alipopata zaidi ni viwandani ila akataka nijitegemee nauli hivyo nikashindwa kuendelea.

Ila kinachouma ni kuwa Mjomba alikuwa na marafiki kila kona siku moja alikuja rafiki yake akajitambulisha alikuwa ni daktari hospitali moja maeneo ya Temeke basi wakaongea hapo muda mrefu wakati anaondoka nikawawahi na kuwaomba samahani na kumwambia mjomba tumehangaika sana kutafuta kazi naomba ongea hata na rafiki yako anisaidie kazi hata udaktari tu kama atapata nafasi anipe ajira. Mjomba akasema sawa nitaongea naye na yule daktari akasema akipata nafasi ataniambia.

Zikapita siku nyingi kimya hakuna jibu nikakutana na yule rafiki siku moja na kumkumbushia akadai alipata nafasi ila mjomba akakataa kuwa siwezi kuwa daktari atanitafutia kazi sehemu nyingine. Niliumia sana siku ile niliumia na kuona kama nimebeba dunia na mhimili wake mgongoni kwangu bila msaada wa mtu yeyote. Kweli kazi ya udaktari ilipatikana ila mjomba akakataa kweli? Nikamwambia mama na mama akalaani sana kile kitendo alichofanya mjomba ila tukasamehe.

Zikapita siku nikapata rafiki mmoja akaniambia kazi kwenye Shirika la Umeme na nikamwambia mjomba basi anisaidie nipate kata kazi ya utanesco akasema sawa nikajua ni zake zile ila kweli mjomba akanitafutia kazi na nikawa nafanya kazi ya utanesco. Siku moja isiyo na jina nilikutana na kisa kibaya zaidi niliporudi nyumbani usiku. Mjomba alikuwa anataka tufanye marekebisho ya umeme ndani na akasema wewe Mtanesco si utaweza au?

Nikasema nitaweza ila sikuwa najua chochote kuhusu umeme nilikuwa nachimba tu mashimo kazini na kubeba nguzo ila kufunga umeme walikuwa wanafunga wenzangu mimi nilikuwa sijawahi. Basi mjomba akasema chukua sijui huu waya ukate na uunge kwenye soketi ya nje. Nikasema sawa na nikaanza kazi ya kukata waya kumbe mjomba hakusema kuwa umeme ni hatari nakumbuka nilirushwa ukutani nikaanguka na kupoteza fahamu na siku napata fahamu niko hospitali na mama yupo kitandani sijui kuna nini wananishangaa na mimi nawashangaa tu. Nikatibiwa siku kadhaa nikapona.

Baada ya kupona mjomba akaninunulia nguo na viatu na kuniambia kesho utaondoka na mama kurudi kijijini. Nikamuuliza kuna nini na kwanini niondoke wakati niko kazini? Akasema tumeshauriana na mama yako urudi nyumbani kwa muda.

Sawa kwa shingo upande bila kujua sababu ya kurudi nyumbani nikarudi na mama. Nikafika kijijini watu wananiita fundi wengine daktari wengi Mtanesco mimi sielewi nani kawaambia kazi zangu hizo. Nikaanza kilimo taratibu na kuanza kupata tenda ya kupeleka ulezi Mwanza na hatimaye nikajenga na maisha yakawa yanategemea kilimo hadi sasa.

Mjomba nikawa nawasiliana naye na muda mwingine namtumia ulezi huku nikisema moyoni "Tenda wema nenda zako"

Siwezi kusahau kwa kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza darasa la saba, unategemea ukawe daktari, ukawe mhandisi wa umeme?
Unajua kwa nini ulirushwa na umeme?
Ndugu usijibebeshe dhambi za kumlaumu mjomba wako. Huna elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba leo nielezee kidogo kuhusu huyu mjomba wangu ambaye alikuwa tegemeo langu kipindi fulani ila alishindwa kunisaidia na nikajikuta nakuwa na maisha magumu sana huko jijini Dar es Salaam.

Mwaka 2004 niliondoka nyumbani kwenda Dar es Salaam kwa mjomba wangu nikiwa na miaka 22, nilikuwa kijana mwenye nguvu na nidhamu kwa watu wote. Ila sikuweza kuendelea na masomo kwa sababu nyumbani hali ilikuwa mbaya sana hivyo baada ya kuhitimu darasa la saba nikawa ni mtu wa kupambana kusaka riziki huku na kule ila sikuweza kufanikiwa kikubwa nilivyotegemea.

Mama yangu akampigia Mjomba simu na kuomba anichukue nikakae Dar es Salaam ili anisaidie kupata kazi. Kwa kweli mjomba alikuwa na uwezo na alifahamiana na watu wengi serikalini na katika sekta binafsi hivyo nilijua ataweza kunisaidia kupata kazi.

Mjomba yeye alikuwa ana duka kubwa la kuuza vifaa vya umeme pale Kariakoo na hakutaka kufanya kazi na mimi kwa kigezo kuwa ni mtu mzima sana hawezi kugombezana na mimi tena mbele za watu (mjomba ni mkali) basi tukazunguka huku na kule hakuna ajira na alipopata zaidi ni viwandani ila akataka nijitegemee nauli hivyo nikashindwa kuendelea.

Ila kinachouma ni kuwa Mjomba alikuwa na marafiki kila kona siku moja alikuja rafiki yake akajitambulisha alikuwa ni daktari hospitali moja maeneo ya Temeke basi wakaongea hapo muda mrefu wakati anaondoka nikawawahi na kuwaomba samahani na kumwambia mjomba tumehangaika sana kutafuta kazi naomba ongea hata na rafiki yako anisaidie kazi hata udaktari tu kama atapata nafasi anipe ajira. Mjomba akasema sawa nitaongea naye na yule daktari akasema akipata nafasi ataniambia.

Zikapita siku nyingi kimya hakuna jibu nikakutana na yule rafiki siku moja na kumkumbushia akadai alipata nafasi ila mjomba akakataa kuwa siwezi kuwa daktari atanitafutia kazi sehemu nyingine. Niliumia sana siku ile niliumia na kuona kama nimebeba dunia na mhimili wake mgongoni kwangu bila msaada wa mtu yeyote. Kweli kazi ya udaktari ilipatikana ila mjomba akakataa kweli? Nikamwambia mama na mama akalaani sana kile kitendo alichofanya mjomba ila tukasamehe.

Zikapita siku nikapata rafiki mmoja akaniambia kazi kwenye Shirika la Umeme na nikamwambia mjomba basi anisaidie nipate kata kazi ya utanesco akasema sawa nikajua ni zake zile ila kweli mjomba akanitafutia kazi na nikawa nafanya kazi ya utanesco. Siku moja isiyo na jina nilikutana na kisa kibaya zaidi niliporudi nyumbani usiku. Mjomba alikuwa anataka tufanye marekebisho ya umeme ndani na akasema wewe Mtanesco si utaweza au?

Nikasema nitaweza ila sikuwa najua chochote kuhusu umeme nilikuwa nachimba tu mashimo kazini na kubeba nguzo ila kufunga umeme walikuwa wanafunga wenzangu mimi nilikuwa sijawahi. Basi mjomba akasema chukua sijui huu waya ukate na uunge kwenye soketi ya nje. Nikasema sawa na nikaanza kazi ya kukata waya kumbe mjomba hakusema kuwa umeme ni hatari nakumbuka nilirushwa ukutani nikaanguka na kupoteza fahamu na siku napata fahamu niko hospitali na mama yupo kitandani sijui kuna nini wananishangaa na mimi nawashangaa tu. Nikatibiwa siku kadhaa nikapona.

Baada ya kupona mjomba akaninunulia nguo na viatu na kuniambia kesho utaondoka na mama kurudi kijijini. Nikamuuliza kuna nini na kwanini niondoke wakati niko kazini? Akasema tumeshauriana na mama yako urudi nyumbani kwa muda.

Sawa kwa shingo upande bila kujua sababu ya kurudi nyumbani nikarudi na mama. Nikafika kijijini watu wananiita fundi wengine daktari wengi Mtanesco mimi sielewi nani kawaambia kazi zangu hizo. Nikaanza kilimo taratibu na kuanza kupata tenda ya kupeleka ulezi Mwanza na hatimaye nikajenga na maisha yakawa yanategemea kilimo hadi sasa.

Mjomba nikawa nawasiliana naye na muda mwingine namtumia ulezi huku nikisema moyoni "Tenda wema nenda zako"

Siwezi kusahau kwa kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa unamuonea mjomba.
Kwanza wewe ni kituko na kichekesho:

Yani unaomba kuwa Daktari?

Unaomba kuwa mtanesco?
Pamoja na kubeba nguzo huko tanesco ila hamkufundishwa safety?
Yani wewe jamaa ni mburula na kiazi sana.
Labda kama hii thread ni ya kutunga
 
Naomba leo nielezee kidogo kuhusu huyu mjomba wangu ambaye alikuwa tegemeo langu kipindi fulani ila alishindwa kunisaidia na nikajikuta nakuwa na maisha magumu sana huko jijini Dar es Salaam.

Mwaka 2004 niliondoka nyumbani kwenda Dar es Salaam kwa mjomba wangu nikiwa na miaka 22, nilikuwa kijana mwenye nguvu na nidhamu kwa watu wote. Ila sikuweza kuendelea na masomo kwa sababu nyumbani hali ilikuwa mbaya sana hivyo baada ya kuhitimu darasa la saba nikawa ni mtu wa kupambana kusaka riziki huku na kule ila sikuweza kufanikiwa kikubwa nilivyotegemea.

Mama yangu akampigia Mjomba simu na kuomba anichukue nikakae Dar es Salaam ili anisaidie kupata kazi. Kwa kweli mjomba alikuwa na uwezo na alifahamiana na watu wengi serikalini na katika sekta binafsi hivyo nilijua ataweza kunisaidia kupata kazi.

Mjomba yeye alikuwa ana duka kubwa la kuuza vifaa vya umeme pale Kariakoo na hakutaka kufanya kazi na mimi kwa kigezo kuwa ni mtu mzima sana hawezi kugombezana na mimi tena mbele za watu (mjomba ni mkali) basi tukazunguka huku na kule hakuna ajira na alipopata zaidi ni viwandani ila akataka nijitegemee nauli hivyo nikashindwa kuendelea.

Ila kinachouma ni kuwa Mjomba alikuwa na marafiki kila kona siku moja alikuja rafiki yake akajitambulisha alikuwa ni daktari hospitali moja maeneo ya Temeke basi wakaongea hapo muda mrefu wakati anaondoka nikawawahi na kuwaomba samahani na kumwambia mjomba tumehangaika sana kutafuta kazi naomba ongea hata na rafiki yako anisaidie kazi hata udaktari tu kama atapata nafasi anipe ajira. Mjomba akasema sawa nitaongea naye na yule daktari akasema akipata nafasi ataniambia.

Zikapita siku nyingi kimya hakuna jibu nikakutana na yule rafiki siku moja na kumkumbushia akadai alipata nafasi ila mjomba akakataa kuwa siwezi kuwa daktari atanitafutia kazi sehemu nyingine. Niliumia sana siku ile niliumia na kuona kama nimebeba dunia na mhimili wake mgongoni kwangu bila msaada wa mtu yeyote. Kweli kazi ya udaktari ilipatikana ila mjomba akakataa kweli? Nikamwambia mama na mama akalaani sana kile kitendo alichofanya mjomba ila tukasamehe.

Zikapita siku nikapata rafiki mmoja akaniambia kazi kwenye Shirika la Umeme na nikamwambia mjomba basi anisaidie nipate kata kazi ya utanesco akasema sawa nikajua ni zake zile ila kweli mjomba akanitafutia kazi na nikawa nafanya kazi ya utanesco. Siku moja isiyo na jina nilikutana na kisa kibaya zaidi niliporudi nyumbani usiku. Mjomba alikuwa anataka tufanye marekebisho ya umeme ndani na akasema wewe Mtanesco si utaweza au?

Nikasema nitaweza ila sikuwa najua chochote kuhusu umeme nilikuwa nachimba tu mashimo kazini na kubeba nguzo ila kufunga umeme walikuwa wanafunga wenzangu mimi nilikuwa sijawahi. Basi mjomba akasema chukua sijui huu waya ukate na uunge kwenye soketi ya nje. Nikasema sawa na nikaanza kazi ya kukata waya kumbe mjomba hakusema kuwa umeme ni hatari nakumbuka nilirushwa ukutani nikaanguka na kupoteza fahamu na siku napata fahamu niko hospitali na mama yupo kitandani sijui kuna nini wananishangaa na mimi nawashangaa tu. Nikatibiwa siku kadhaa nikapona.

Baada ya kupona mjomba akaninunulia nguo na viatu na kuniambia kesho utaondoka na mama kurudi kijijini. Nikamuuliza kuna nini na kwanini niondoke wakati niko kazini? Akasema tumeshauriana na mama yako urudi nyumbani kwa muda.

Sawa kwa shingo upande bila kujua sababu ya kurudi nyumbani nikarudi na mama. Nikafika kijijini watu wananiita fundi wengine daktari wengi Mtanesco mimi sielewi nani kawaambia kazi zangu hizo. Nikaanza kilimo taratibu na kuanza kupata tenda ya kupeleka ulezi Mwanza na hatimaye nikajenga na maisha yakawa yanategemea kilimo hadi sasa.

Mjomba nikawa nawasiliana naye na muda mwingine namtumia ulezi huku nikisema moyoni "Tenda wema nenda zako"

Siwezi kusahau kwa kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba leo nielezee kidogo kuhusu huyu mjomba wangu ambaye alikuwa tegemeo langu kipindi fulani ila alishindwa kunisaidia na nikajikuta nakuwa na maisha magumu sana huko jijini Dar es Salaam.

Mwaka 2004 niliondoka nyumbani kwenda Dar es Salaam kwa mjomba wangu nikiwa na miaka 22, nilikuwa kijana mwenye nguvu na nidhamu kwa watu wote. Ila sikuweza kuendelea na masomo kwa sababu nyumbani hali ilikuwa mbaya sana hivyo baada ya kuhitimu darasa la saba nikawa ni mtu wa kupambana kusaka riziki huku na kule ila sikuweza kufanikiwa kikubwa nilivyotegemea.

Mama yangu akampigia Mjomba simu na kuomba anichukue nikakae Dar es Salaam ili anisaidie kupata kazi. Kwa kweli mjomba alikuwa na uwezo na alifahamiana na watu wengi serikalini na katika sekta binafsi hivyo nilijua ataweza kunisaidia kupata kazi.

Mjomba yeye alikuwa ana duka kubwa la kuuza vifaa vya umeme pale Kariakoo na hakutaka kufanya kazi na mimi kwa kigezo kuwa ni mtu mzima sana hawezi kugombezana na mimi tena mbele za watu (mjomba ni mkali) basi tukazunguka huku na kule hakuna ajira na alipopata zaidi ni viwandani ila akataka nijitegemee nauli hivyo nikashindwa kuendelea.

Ila kinachouma ni kuwa Mjomba alikuwa na marafiki kila kona siku moja alikuja rafiki yake akajitambulisha alikuwa ni daktari hospitali moja maeneo ya Temeke basi wakaongea hapo muda mrefu wakati anaondoka nikawawahi na kuwaomba samahani na kumwambia mjomba tumehangaika sana kutafuta kazi naomba ongea hata na rafiki yako anisaidie kazi hata udaktari tu kama atapata nafasi anipe ajira. Mjomba akasema sawa nitaongea naye na yule daktari akasema akipata nafasi ataniambia.

Zikapita siku nyingi kimya hakuna jibu nikakutana na yule rafiki siku moja na kumkumbushia akadai alipata nafasi ila mjomba akakataa kuwa siwezi kuwa daktari atanitafutia kazi sehemu nyingine. Niliumia sana siku ile niliumia na kuona kama nimebeba dunia na mhimili wake mgongoni kwangu bila msaada wa mtu yeyote. Kweli kazi ya udaktari ilipatikana ila mjomba akakataa kweli? Nikamwambia mama na mama akalaani sana kile kitendo alichofanya mjomba ila tukasamehe.

Zikapita siku nikapata rafiki mmoja akaniambia kazi kwenye Shirika la Umeme na nikamwambia mjomba basi anisaidie nipate kata kazi ya utanesco akasema sawa nikajua ni zake zile ila kweli mjomba akanitafutia kazi na nikawa nafanya kazi ya utanesco. Siku moja isiyo na jina nilikutana na kisa kibaya zaidi niliporudi nyumbani usiku. Mjomba alikuwa anataka tufanye marekebisho ya umeme ndani na akasema wewe Mtanesco si utaweza au?

Nikasema nitaweza ila sikuwa najua chochote kuhusu umeme nilikuwa nachimba tu mashimo kazini na kubeba nguzo ila kufunga umeme walikuwa wanafunga wenzangu mimi nilikuwa sijawahi. Basi mjomba akasema chukua sijui huu waya ukate na uunge kwenye soketi ya nje. Nikasema sawa na nikaanza kazi ya kukata waya kumbe mjomba hakusema kuwa umeme ni hatari nakumbuka nilirushwa ukutani nikaanguka na kupoteza fahamu na siku napata fahamu niko hospitali na mama yupo kitandani sijui kuna nini wananishangaa na mimi nawashangaa tu. Nikatibiwa siku kadhaa nikapona.

Baada ya kupona mjomba akaninunulia nguo na viatu na kuniambia kesho utaondoka na mama kurudi kijijini. Nikamuuliza kuna nini na kwanini niondoke wakati niko kazini? Akasema tumeshauriana na mama yako urudi nyumbani kwa muda.

Sawa kwa shingo upande bila kujua sababu ya kurudi nyumbani nikarudi na mama. Nikafika kijijini watu wananiita fundi wengine daktari wengi Mtanesco mimi sielewi nani kawaambia kazi zangu hizo. Nikaanza kilimo taratibu na kuanza kupata tenda ya kupeleka ulezi Mwanza na hatimaye nikajenga na maisha yakawa yanategemea kilimo hadi sasa.

Mjomba nikawa nawasiliana naye na muda mwingine namtumia ulezi huku nikisema moyoni "Tenda wema nenda zako"

Siwezi kusahau kwa kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba leo nielezee kidogo kuhusu huyu mjomba wangu ambaye alikuwa tegemeo langu kipindi fulani ila alishindwa kunisaidia na nikajikuta nakuwa na maisha magumu sana huko jijini Dar es Salaam.

Mwaka 2004 niliondoka nyumbani kwenda Dar es Salaam kwa mjomba wangu nikiwa na miaka 22, nilikuwa kijana mwenye nguvu na nidhamu kwa watu wote. Ila sikuweza kuendelea na masomo kwa sababu nyumbani hali ilikuwa mbaya sana hivyo baada ya kuhitimu darasa la saba nikawa ni mtu wa kupambana kusaka riziki huku na kule ila sikuweza kufanikiwa kikubwa nilivyotegemea.

Mama yangu akampigia Mjomba simu na kuomba anichukue nikakae Dar es Salaam ili anisaidie kupata kazi. Kwa kweli mjomba alikuwa na uwezo na alifahamiana na watu wengi serikalini na katika sekta binafsi hivyo nilijua ataweza kunisaidia kupata kazi.

Mjomba yeye alikuwa ana duka kubwa la kuuza vifaa vya umeme pale Kariakoo na hakutaka kufanya kazi na mimi kwa kigezo kuwa ni mtu mzima sana hawezi kugombezana na mimi tena mbele za watu (mjomba ni mkali) basi tukazunguka huku na kule hakuna ajira na alipopata zaidi ni viwandani ila akataka nijitegemee nauli hivyo nikashindwa kuendelea.

Ila kinachouma ni kuwa Mjomba alikuwa na marafiki kila kona siku moja alikuja rafiki yake akajitambulisha alikuwa ni daktari hospitali moja maeneo ya Temeke basi wakaongea hapo muda mrefu wakati anaondoka nikawawahi na kuwaomba samahani na kumwambia mjomba tumehangaika sana kutafuta kazi naomba ongea hata na rafiki yako anisaidie kazi hata udaktari tu kama atapata nafasi anipe ajira. Mjomba akasema sawa nitaongea naye na yule daktari akasema akipata nafasi ataniambia.

Zikapita siku nyingi kimya hakuna jibu nikakutana na yule rafiki siku moja na kumkumbushia akadai alipata nafasi ila mjomba akakataa kuwa siwezi kuwa daktari atanitafutia kazi sehemu nyingine. Niliumia sana siku ile niliumia na kuona kama nimebeba dunia na mhimili wake mgongoni kwangu bila msaada wa mtu yeyote. Kweli kazi ya udaktari ilipatikana ila mjomba akakataa kweli? Nikamwambia mama na mama akalaani sana kile kitendo alichofanya mjomba ila tukasamehe.

Zikapita siku nikapata rafiki mmoja akaniambia kazi kwenye Shirika la Umeme na nikamwambia mjomba basi anisaidie nipate kata kazi ya utanesco akasema sawa nikajua ni zake zile ila kweli mjomba akanitafutia kazi na nikawa nafanya kazi ya utanesco. Siku moja isiyo na jina nilikutana na kisa kibaya zaidi niliporudi nyumbani usiku. Mjomba alikuwa anataka tufanye marekebisho ya umeme ndani na akasema wewe Mtanesco si utaweza au?

Nikasema nitaweza ila sikuwa najua chochote kuhusu umeme nilikuwa nachimba tu mashimo kazini na kubeba nguzo ila kufunga umeme walikuwa wanafunga wenzangu mimi nilikuwa sijawahi. Basi mjomba akasema chukua sijui huu waya ukate na uunge kwenye soketi ya nje. Nikasema sawa na nikaanza kazi ya kukata waya kumbe mjomba hakusema kuwa umeme ni hatari nakumbuka nilirushwa ukutani nikaanguka na kupoteza fahamu na siku napata fahamu niko hospitali na mama yupo kitandani sijui kuna nini wananishangaa na mimi nawashangaa tu. Nikatibiwa siku kadhaa nikapona.

Baada ya kupona mjomba akaninunulia nguo na viatu na kuniambia kesho utaondoka na mama kurudi kijijini. Nikamuuliza kuna nini na kwanini niondoke wakati niko kazini? Akasema tumeshauriana na mama yako urudi nyumbani kwa muda.

Sawa kwa shingo upande bila kujua sababu ya kurudi nyumbani nikarudi na mama. Nikafika kijijini watu wananiita fundi wengine daktari wengi Mtanesco mimi sielewi nani kawaambia kazi zangu hizo. Nikaanza kilimo taratibu na kuanza kupata tenda ya kupeleka ulezi Mwanza na hatimaye nikajenga na maisha yakawa yanategemea kilimo hadi sasa.

Mjomba nikawa nawasiliana naye na muda mwingine namtumia ulezi huku nikisema moyoni "Tenda wema nenda zako"

Siwezi kusahau kwa kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app

Daaah nmecheka sana mtanesco 😂😂😂 ..mjambo wako atakua alikuona huna akili vzr ikabid awe anakuitikia tu....na hata huyo rafik yake alikuambia nafasi ilipatikana ili hakufariji.....broo unatakuwa daktar umeisha la saba
 
Back
Top Bottom