Mjomba wangu sitakusahau

Mjomba wangu sitakusahau

Huyu jamaa ni comedian
Ana post nyingene, anahitaji kukodi mbwa wa3 kwa sababu mbwa wake aina Germany Shepard walimezwa na chatu, na hiyo chatu alimeza mifugo yake Kama mbuzi kuku na ngombe, Ila hao mbwa watatu wakimezwa itabidi mkodishaji wakae Tena mezani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu sio darasa la saba. Bahati mbaya tumezoea tafsiri rahisi. Tutafakari. Why Dakitari na Mtanesco yaani umeme. Alirushwa na umeme, akarudi mjini. Alizoea kuchimbia nguzo.....
 
Yaani nilipofika hapo anaomba kazi ya udaktari nilitaka niachie kurndelea kusoma Ila nilishawahi ngoja niendelee ili kuifurahisha nafsi tu.
-DARASA LA SABA NA UDAKTARI NA TANESCO
-MJOMBA HAKUMBIA KAMA UMEME NI HATARI
Huyu bro nina uwalakini na upstairs kwake Kama kupo vizuri, siioni lawama anazostahili mjomba hapa
Mbona kama ulikuwa na kiherehere sana Mkuu... Ulitaka kazi ya udaktari wakati hukuwa na taalumu mara utanesco ... Nadhani hata rafiki wa mjomba wako alikuzingua tu baada ya kukusoma!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nilipofika hapo anaomba kazi ya udaktari nilitaka niachie kurndelea kusoma Ila nilishawahi ngoja niendelee ili kuifurahisha nafsi tu.
-DARASA LA SABA NA UDAKTARI NA TANESCO
-MJOMBA HAKUMBIA KAMA UMEME NI HATARI
Huyu bro nina uwalakini na upstairs kwake Kama kupo vizuri, siioni lawama anazostahili mjomba hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaha! Mkuu hapa hamna kitu, dishi limeyumba afu ujue jamaa anakaribia kuoa 😂😂😂😂
 
Hapana sikuwa najua taaluma ya udaktari.

Sent using Jamii Forums mobile app
yaani hata taaluma ya udaktari ulikuwa hujui ila ukahtaj kaz ya udaktari,,,,,, nimesoma pia umesema ulimwomba mjomba wako akusaidie hata kaz ya utanesco,hii ni kaz gan na inahtaji watu wenye taaluma gani??? kama unamlaum mjomba wako kwa sababu hizi basi ww ni mpumbavu haswaa
 
Mkuu huyu jamaa hayupo serious, ni comedian angalia nyuzi zake zote
Mnamcheka bure tu maskini, huyu alitakiwa apewe mwongozo na mjomba ili ajiweke sawa,
mjomba angemwelimisha tu si kumkomoa mpk kumpigisha shoti ili apate sababu kurudisha kwao.
Yes hawezi kuwa doctor wa meno but ilikua dream yake maybe, kuwa mtanesco that doesnt need too much power pale pale ana kibarua angesoma eve class veta kujiendeleza.
Kumrudisha kijijini mjomba kaonyesha pure miafrica tulivyo itasaidia nini?
Huyu dogo kakatishwa ndoto zake tukumbuke mamaake alikua anamtegemea na aliweka matumaini kwamba kijana kaenda mjini matunda yataonekana.
Then unarudishiwa mtu hospitali na tena najua alitoa diss kibao kabla jamaa hajazinduka.
I put down to 0.0000 kwa mjomba.
Dogo usiwe mnyonge tia nguvu hapo ulipo we bado kijana mjomba utakutana nae tu huko mbele kajichokea mpe ukweli, mmwagie hata pombe, mpigishe magoti akiri hila alizofanya, mnyanyapae nawewe mpaka ajute
Yes hamna kucheka na nyani.
Imeniuma sana,
halafu wapuuzi hapa mnaleta utani kwenye issue km hizi daah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nikawawahi na kuwaomba samahani na kumwambia mjomba tumehangaika sana kutafuta kazi naomba ongea hata na rafiki yako anisaidie kazi hata udaktari tu kama atapata nafasi anipe ajira. Mjomba akasema sawa nitaongea naye na yule daktari akasema akipata nafasi ataniambia.
Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu!! Huyu jamaa sio mzma asee embu kapitien nyuz zake alafu mje kuniambia
Screenshot_20200325-011134_1585087917130.jpeg


@YoungJigger
 
Back
Top Bottom