Mjomba wangu sitakusahau

Mjomba wangu sitakusahau

Unamlaumu mjomba ako bure tu, huna elimu lkn unataka kazi zinazohitaji elimu,
Hata kupigwa shoti ni haki yako tu, ulikiri mwenyewe unaweza wakati huwezi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtanesco, ulikuwa na uchu wa maisha, ila kuwa mkulima ni poa
Mjomba wako alikiwa sahihi kutokupeleka dukani kwake, kwani ungekuwa mzigo, na angekuwa anapata short kila siku. Ndio maana akashindwa kukupeleka dukani kwake.

Kuhusu udaktari, hata kama ni Dr. Wa meno, wenzio wanasomea miaka kadhaa. Sasa wewe unataka kujua utabibu wa meno kwa kuambatana na Dr.? Ndio walewale unakuja kukuta mgonjwa badalaa ang'olewe Jino, utajashangaa anakatwa ulimi. Kama yale yaliyotokea Muhimbili kwenye wagonjwa wawili waliotakiwa kufanyiwa upasuaki wa kichwa na mwingine Mguu, kisha ikatokea vaisi vesa.

Ndio nyie madokta makanjanja

Sent using [Iphone XS Max]
 
Kuna kitu unatwambia ila ukweli nimetoka kapa, hebu funguka mafumbo haya na akili zetu tumeziegemezea kwenye kutokomeza Corona basi tunafail vibaya.
 
Back
Top Bottom