Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 14,586
- 20,819
Nimekutana Leo na Rafiki yake mama, nimecheka sana!
Kanikumbusha mbali sana!
Nikiwa nimeandikishwa darasa la kwanza,Nilienda kuanzia shule, Sasa wakati wa kwenda,tulianza ofisini,Mimi na mjomba wangu.Ofisi ya walimu ilikuwa nzuri,Kuna ramani ya ulimwengu,ya Afrika nk. Nikaipenda.
Sasa Mwalimu, akasema twende nikupeleke darasani,kwenda darasani,nikagoma nikamwambia Mwalimu hili darasa sio zuri kama lile la kwenu!
Hapo shule ikawa ndio basi Tena!
Kanikumbusha mbali sana!
Nikiwa nimeandikishwa darasa la kwanza,Nilienda kuanzia shule, Sasa wakati wa kwenda,tulianza ofisini,Mimi na mjomba wangu.Ofisi ya walimu ilikuwa nzuri,Kuna ramani ya ulimwengu,ya Afrika nk. Nikaipenda.
Sasa Mwalimu, akasema twende nikupeleke darasani,kwenda darasani,nikagoma nikamwambia Mwalimu hili darasa sio zuri kama lile la kwenu!
Hapo shule ikawa ndio basi Tena!