Hahaaa sina maana hiyo, namtania tu binamuKwamba huyu mzee ni mdokozi/kibaka
Hahaaa sina maana hiyo, namtania tu binamuKwamba huyu mzee ni mdokozi/kibaka
They say, "you aint real man until you get some haters."Pole yake Jux Mimi nikajua Rijali,vipi kuhusu kusoma Kule China? Na kuna kipindi Jux alikuja juu kimziki mpaka ikaja steji anapambanishwa na diamond katika song zake na video zake.
Sawa mama kHahaaa sina maana hiyo, namtania tu binamu
alaaa kumbeeCyrill niliwahi kusoma na wadogo zake mapacha Peter na Paul ukweli pesa ya kubadilisha mboga tu hakuna maajabu tena alipokufa mama yao ndo walizidi kuvurugwa
basi sawaCyrill kweli kwao wapo vizuri. Nilisoma na dada yake.
nasikia kuna mashoga baridi ambao wanaweza vizuri tu hizi kazi...labda yeye ni mmoja wapo 🤣 🤣 🤣Duuuuu sasa kama jux angekua punga Vanessa si angemkimbia kwa kushindwa kumridhisha????
Ndo nini huyu nae kuacha vipaja nje
Hata jux sidhan kama kwao wana shida wale , mama ake si nasikia ni balozi sijui , in short crew ya jux hawanaga shida za hivyo , Sasa sijui wamekumbwa Na nini
Ww muuza asshole kaa kimyaKwan mnanilipa humu mxiee kupenda umbea tu mijanaume mizima, nipishen uko
😂😂😂😂😂😂Sikuhizi me wanaongoza kwa kudanga ni shida
Wewe huwa nakuona mtu wa heshima sana sikutegemea komenti kama hii kutoka kwakoGo go go go warumi. Yatangaze hiyo mianaume shitholes. Fukua na wengine. Serikali yetu inapiga vita hii haramu. Tuko nyuma yako tunakuunga mkono.
warumi huwa haandiki habari za uzushi. Kwa kuwa wenyewe wametajwa kabisa basi waje hapa wabishe au waende mahakamani halafu Warumi waombe mawasiliano yao yapekuliwe. Chali wote hao. Goooooo warumi tuko nawe kupambana na hawa wanaomdhihaki Mungu kwa maumbile yao.
😂😂😂😂😂Afu majina yakina juma sijui kwanini
Nsachoka ma code mie mxieew raha ya umbea uweke mambo hadharani, maana kuna kitu kimenikaba kooniView attachment 1093918
Wapenda vitonga nakumbuka zamani kulikua na yule bosi wa air tanzania kawala sana kiboga hawa wasanii saizi naona wanashindana kudanga na dada zao
Malizia wa Tigo.Hapo ndio unakuta una mume au mpenzi unaona anapats hela unaona fahari kwamba mwanaume wako anatafuta pesa kumbe pesa anazipata kwa kutoa mtandao pendwa...aisee
Malizia wa Tigo.