Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
huyu analewa na sifa za kijinga anazopewa mtandaoni kwa story zake za kuunga unga.Hope humjui vzr jux aiseee,mamaake balozi wa nchi Gani?bmkubwa wake yupo bandarii.mnakuza mambo sana nyie watu.jux namjua kabla hajawa msanii nimekuwa nae nimesoma shule nae mojaa happy skilful nowdayz inaitwa ambassador ipo segerea.naweza kumtetea jux hata kwa haya unayoandika nahisi nayo umesimuliwa tu.
Kwa hiyo na wewe umebadilika nyakati hizi na kuwa gay kwa sababu watu hubadilika ?Hiyo happy skillfull ni mwaka gani, watu wanabadilka..
Kabisa mkuu watu wanaunga unga sana.mitandaoni ni tofauti kabisa na reality..tukisema tuige ya mitandaoni tutapotea kabisa kule ni fake fake Kila kituhuyu analewa na sifa za kijinga anazopewa mtandaoni kwa story zake za kuunga unga.
Ni kama vile inavyoonekana mitandaoni leo kwamba Ccm imekufa. Wakati huko vijijini kuna watu ambao hata mitandao hawaijuhi ( hii nimechomekea tu)Kabisa mkuu watu wanaunga unga sana.mitandaoni ni tofauti kabisa na reality..tukisema tuige ya mitandaoni tutapotea kabisa kule ni fake fake Kila kitu
Ni kama vile inavyoonekana mitandaoni leo kwamba Ccm imekufa. Wakati huko vijijini kuna watu ambao hata mitandao hawaijuhi ( hii nimechomekea tu)
Mimi ananichekesha anavyotishia watu wakimchallenge kwenye hekaya zake. Anakuwa mkali na matusi juuhuyu analewa na sifa za kijinga anazopewa mtandaoni kwa story zake za kuunga unga.
Kitendo cha kuwa mkali na matusi juu ni ishara tosha kwamba anapoishi hakuna amani ya moyo hivyo akutanapo na response iliyo kinyume na ujinga wake stress zinaongezeka mara dufu.Mimi ananichekesha anavyotishia watu wakimchallenge kwenye hekaya zake. Anakuwa mkali na matusi juu
Uwe unakubali kuambiwa ukwelii shoga sio kuropoka ropoka kwa vile hisia zako zinakutuma hivo.unawalisha wenzako matango porii.acheni kuchafua watu kujifanya mnajua sana maisha ya wenzenu.naomba umuheshimu mama yangu please nitukane mimi na sio mzazi wangu namweshimu sana
Pia inaashiria kukosa uthibitisho wa story zake, anatumia matusi na ukali kutisha watu wasihoji ukweli wa story zake.Kitendo cha kuwa mkali na matusi juu ni ishara tosha kwamba anapoishi hakuna amani ya moyo hivyo akutanapo na response iliyo kinyume na ujinga wake stress zinaongezeka mara dufu.
Wengine matusi huwa hayatusumbui. Ila akikua ataacha(kukua kiakili sio kimwili)Pia inaashiria kukosa uthibitisho wa story zake, anatumia matusi na ukali kutisha watu wasihoji ukweli wa story zake.
Itakuwa ashakupakua sio buree sio kwa kumuandama huku kama kakupakua then hajakulipa!!.wewe unalala naye ndio maana unajua,ukisikia Neno 'NASIKIA' huwa linamaanisha nini?? Usilete story za kusikia zitakuponza.Babuu wee hat Kama Jirani yako usijifanye ndo unamjua Sana, wewe unajua familia yake, Mimi najua wanaofanya nao huo uchafu so usibishe mkuu, Kukaa nae Karib haimaanishi Et ndo unajua mambo yake yote sawa dada ? Tulia tukupashe habar za jiran yako
Yani watu kama hawa, akitaka kwenda kihuni na wewe unaenda nae hivyo hivyo.Wengine matusi huwa hayatusumbui. Ila akikua ataacha(kukua kiakili sio kimwili)
Mimi ananichekesha anavyotishia watu wakimchallenge kwenye hekaya zake. Anakuwa mkali na matusi juu
Hana hoja yoyote huyo warumi zaidi ya vihoja jukwaani.Hahaha hizo ni mechanisms za kushindwa kwa hoja zake za kufikirika.
Hana hoja yoyote huyo warumi zaidi ya vihoja jukwaani.
Kimara baruti umebugi mzee baba tumekua wote mtaani hako kajamaaJux kwao njaa tu dada ake anaitwa mwajuma kwao keko sasa uo ushua kautoa wapi?
People who like to talk about others have nothing to present about themselves
Kwa hiyo hukutegemea kuwa mimi ninapinga ushoga au unamaanisha nini? Nilimwambia warumi afukue wote wanaopakuliwa na sisi tuko nyuma yake tukimpa support. I told him to go go go forward. That is my stand and it will not force someone to respect or not respecting me.,Wewe huwa nakuona mtu wa heshima sana sikutegemea komenti kama hii kutoka kwako
Una ushahidi uhakika gani kuwa haya si majungu tu? Mna ushahidi kuwa wanapakuliwa? After all kila mtu ana m****u wake akiutumia anavyopenda watu wengine inawakera nini? Huko si kuingilia faragha ya mtu?Kwa hiyo hukutegemea kuwa mimi ninapinga ushoga au unamaanisha nini? Nilimwambia warumi afukue wote wanaopakuliwa na sisi tuko nyuma yake tukimpa support. I told him to go go go forward. That is my stand and it will not force someone to respect or not respecting me.,