Mjeshi ammiminia mkewe risasi

Alright, unadai Jaji Ramadhani "ni dimwit."

Lakini, ndugu Pundit, umetuambia kwamba unaweza kutumia illustration za kwenye novel za ng'ambo kum lambast Kamanda wa Polisi Tanzania kwa sababu hata Jaji Ramadhani nae alitumia illustration za mashairi ya ng'ambo kwenye kesi ya Uhaini Zanzibar. Illustration ambazo unakubali haziku make sense.

Sasa kama Jaji "ni dimwit," na wewe una justify ulichofanya kwa vile "dimwit" amekifanya, na wewe tukuiteje ?

twisting,

Mimi nilikuwa naongelea kitu ambacho kinakubalika kufanyika katika process ya ku dispense justice Tanzania, nikaonyesha kwamba kucite mifano ya nchi nyingine si kosa kwa sababu hata Jaji Ramadhani ambaye ndiye Jaji Mkuu anafanya hivyo.Hiyo haimaanishi nilikuwa nasema Jaji Ramadhani ana akili sana au ana quote vizuri sana, nilikuwa naongelea kukubalikwa kwa concept niliyoitumia sikuwa naongelea intellectual integrity ya that dim bulb that goes by the name of Augustino Ramadhani.

If you fail to see the distinction between the process and the incident, the formula and the occurrence, the pattern and the passage, you will give people reason to lump you with the good judge, and not in the favorable sense either.
 
twisting,

Mimi nilikuwa naongelea kitu ambacho kinakubalika kufanyika katika process ya ku dispense justice Tanzania, nikaonyesha kwamba kucite mifano ya nchi nyingine si kosa kwa sababu hata Jaji Ramadhani ambaye ndiye Jaji Mkuu anafanya hivyo.Hiyo haimaanishi nilikuwa nasema Jaji Ramadhani ana akili sana au ana quote vizuri sana, nilikuwa naongelea kukubalikwa kwa concept niliyoitumia sikuwa naongelea intellectual integrity ya that dim bulb that goes by the name of Augustino Ramadhani.

If you fail to see the distinction between the process and the incident, the formula and the occurrence, the pattern and the passage, you will give people reason to lump you with the good judge, and not in the favorable sense either.

...best line of the day.....bwahahahahahahahaaaaaa
 
pundit ni mgumu sana kuelewa, halafu, ana tabia ya kutaka watu waamini chochote kila ambacho yeye anafikiri ni sawa, kumbe yuke nje ya point kabisa. nitakachokushauri pundit ni kwamba, unatakiwa kung'ang'ania tu zile point zinazotokana na masomo uliyosoma, hapo ndo utajua unachoongea. it is of no advantage kwangu mimi kujulikana kwako kama mwanasheria au sio,kwasababu huwezi kuwa mteja wangu so na siwezi kuweka jina langu la kikweli kwa usalama wangu humu JF. Ila, unatakiwa ujue kuwa, kila mtu anaeua anaua kwa makusudi, na sheria ilishatungwa ili ku accomodate case kama hizo.

Kwa kifupi, kwa kiswahili watu husema tu kuwa ameua, lakini kwa kiingereza, kuna makundi makubwa mawili, lakwanza ni murder na la pili ni manslaughter.murder ni kubwa na manslaughter ni ndogo. murder mtu ananyongwa, and in order to establish the offence of murder, unatakiwa ulete evidence of "intentio to kill", mtu lazima awe alizamilia kuua, yaani awe alikuwa na malice kichwani mwake ya kuua, wanaita "malice afoa thought". kama mtu alipoua hakutegemea haiwezi kuwa murder, kosa lake huwa ni manslaughter, mfano ni provocation na sababu nyingine nyingi zinazosababusha kifo.

Pili, usitoe mfano wa Jani Ramadhan. kwa kifupi, sheria zetu za tz, zina mlengo wa Uingereza, yaani nje ya nchi yetu. pia tunatumia kama authority kesi nyingi sana na za miaka mingi zilizofanyika nje ya nchi, lakini ili kuleta mfano kama wa kwako wa huyu jaji, unatakiwa ujue kuwa, kila kesi ya kurely on inatakiwa iwe na connection na the matter in issue. ni kweli sio dhambi ndo maana mpaka leo ndo tunazotumia, lakini zinatakiwa ziwe zimefanana, not the mere fact kwamba ilitoka nje ndo unarely on every case unayoikuta njiani...hahaha, inatakiwa iwe inafanana na kesi unayoiongelea kwenye point mbalimbali mkuu. kesi ya sovereignity ya tz sio authority nzuri ya hii kesi tunayozungumzia ya kuua, ungeleta kesi za murder au provocation kama mfano ndo ungekuwa umefanya sahihi.

kama haujui sheria, usiwe unaongelea, ongelea kile kitu unachokijua ulichosomea ndo utaweza kueleza vizuri. kama hauna uhakika kama unachoongea ni sahihi, ni bora uwaachie wale wanaokijua ili wajadili na wewe utafaidi tu kwa kusikiliza. na siku mada itakapokuwa ya kwako, na wenzio watakuacha uongee wao wafaidi, kwa njia hii ndo tutakuwa tunaeleweshana. upo hapo? au kama haujui, unatakiwa usiwe unaongea kama unajua, ongea kama haujui, sio vibaya kujiweka kama haujui, tutakuelewesha. OK....pole sana Pundit.
 
Duh!! unajua kuna katabia humu kwenye hii foramu kakuwaona wengine kuwa ni wagumu kuelewa au upeo wao wa kuelewa kuwa ni mdogo. Sijui kwa nini watu tunapenda kudhania hivyo? Mara nyingi huwa hatujiulizi labda mimi/ wewe mwenye kuandika ujumbe hukujieleza au hukuelezea vizuri ulichokuwa unataka kueleza au kusema na ukaeleweka bila utata wowote na badala yake tunabaki kusimangana kuhusu upeo na uwezo wa kuelewa. Tuna mambo kweli sisi.
 
Duh!! unajua kuna katabia humu kwenye hii foramu kakuwaona wengine kuwa ni wagumu kuelewa au upeo wao wa kuelewa kuwa ni mdogo. Sijui kwa nini watu tunapenda kudhania hivyo? Mara nyingi huwa hatujiulizi labda mimi/ wewe mwenye kuandika ujumbe hukujieleza au hukuelezea vizuri ulichokuwa unataka kueleza au kusema na ukaeleweka bila utata wowote na badala yake tunabaki kusimangana kuhusu upeo na uwezo wa kuelewa. Tuna mambo kweli sisi.

Nyani,

Unajua characteristic moja ya kichaa ni kuwa hajijui kuwa yeye ni kichaa, na zaidi anaona watu wanaomzunguka yeye kuwa ndio vichaa.Mtu anayepiga kelele watu wengine ni wagumu wa kuelewa bila kutoa substantial reasons mara nyingi yeye ndiye anakuwa mgumu wa kuelewa,

Freud angesema kuwa mtu wa aina hii subconsciously ana project weakness yake kwa watu wengine.Kama Senator Larry Craig alivyokuwa anawashikia bango wasenge wakati yeye mwenyewe ndiyo michezo yake.
 
Mbeba Maono,

Let the murder macheting begin

pundit ni mgumu sana kuelewa, halafu, ana tabia ya kutaka watu waamini chochote kila ambacho yeye anafikiri ni sawa,

Hapana, nafikiri hiyo ni paranoid decadence na inferiority complex yako tu.When someone is arguing with resolute conviction haina maana analazimisha watu wamuamini.My approach is a scientific one, judging facts on the merits, siyo pushy rhetoric.This has been documented here. Wewe na incoherent and inconsistent train of thought yako, ambayo kwanza inaomba kupewa sheria specific halafu ina backtrack na kusema "mimi situngi sheria, wala sipo kwenye mtihani, wewe mwanasheria usiyejua uhusiano wa rule of law na fair trial, halafu unataka watu tukuchukulie seriously kama mwanasheria ndiye unayetaka watu wafikirie kila unachofikir wewe ni sawa, bila hata justification ya kuwa logical.

kumbe yuke nje ya point kabisa

Of course unaniona nje ya point, mimi nakwenda na four dimensions, dabbling into the hidden dimensions of string theory na wewe uko na one track mind ya classical world, of course hunielewi.Hujielewi wewe mwenyewe sasa unafikiri nitakuwa surprised kama hutanielewa mimi?


nitakachokushauri pundit ni kwamba, unatakiwa kung'ang'ania tu zile point zinazotokana na masomo uliyosoma, hapo ndo utajua unachoongea.

Just because you are a dimwit do not suppose everybody is, kwa hiyo mwanauchumi hawezi kuongelea siasa katika public forum? Mbona tuna rais mchumi, mabalozi wanasheria, wabunge madaktari etc? Hii ni public forum ambayo mwananchi yeyote ana uhuru wa kuongelea kitu chochote kama alivyokuwa guaranteed kikatiba.Kukimbilia "u nshomile" kwamba uongelee kitu ulichokisomea tu kunakuonyesha ulivyo limbukeni.Kwa hiyo mtu ambaye hajasomea kitu hawezi kutoa mchango wa maana? Such a mechanical one track mind!

Sasa wewe unayesema umesoma sheria umeshindwa kuelewa such basic concepts za sheria kama rule of law na fair trial, na mimi ambaye sijasomea sheria nimeweka hivyo wazi, with "lawyers" like you kwa nini watu wasitake kuweka record sawa, just because I am not a trained lawyer? You are soo in the guild centred serfdoms of 1600 Europe!

it is of no advantage kwangu mimi kujulikana kwako kama mwanasheria au sio,kwasababu huwezi kuwa mteja wangu so na siwezi kuweka jina langu la kikweli kwa usalama wangu humu JF.

Forget about the lawyer part, your basic comprehension is obviously very low, wapi nimekutaka utaje jina lako? Moreover nimeshakuambia nikihitaji mwanasheria siwezi kuja kwa kibweka kama wewe, there ought to be laws against having lawyers like you.



Ila, unatakiwa ujue kuwa, kila mtu anaeua anaua kwa makusudi, na sheria ilishatungwa ili ku accomodate case kama hizo.

Jamani msaidieni huyu asizidi kujivua nguo zaid, kila mtu anayeua anaua kwa makusudi! Sasa kama tushajua hivyo kwa nini anapelekwa mahakamani na kupoteza muda na resources za umma? You need help, and not even a school can straighten you out for there seems to be a deeper keener demon of ignorance seated amidst your faculties.

Kwa kifupi, kwa kiswahili watu husema tu kuwa ameua, lakini kwa kiingereza, kuna makundi makubwa mawili, lakwanza ni murder na la pili ni manslaughter.murder ni kubwa na manslaughter ni ndogo. murder mtu ananyongwa, and in order to establish the offence of murder, unatakiwa ulete evidence of "intentio to kill", mtu lazima awe alizamilia kuua,

Spare me the lesson and go get some swahili classes before embarassing yourself.Yaani kiingereza naweza kukusamehe si lugha yako, lawyer mzima mwenye mbwembwe za kujitapa hujui tofauti ya "zamilia" na "dhamiria" ? Sasa wewe Maimuna wa kiswahili usiyejua misingi ya rule of law ndiyo unataka kunifundisha mimi sheria?

yaani awe alikuwa na malice kichwani mwake ya kuua, wanaita "malice afoa thought". kama mtu alipoua hakutegemea haiwezi kuwa murder, kosa lake huwa ni manslaughter, mfano ni provocation na sababu nyingine nyingi zinazosababusha kifo.

So what is your point in all this unnecessary rambling? If anything you are just solidifying my concerns kwamba kamanda wa polisi anatoa controversial comments zinazoweza kumsaidia wakili wa utetezi kuwa mteja wake amepewa trial by the police and the press, halafu akiingiza hayo mambo ya malice mtu anawalk scot free au anapewa a slap on the wrist. Sasa point yako nini hapa? Au ndiyo unapenda kusikika tu ili mradi watu wajue na wewe unajua? Hivyo unavyoandika ni vitu basic sana and you are stating the obvious, you are standing still, not moving anywhere.I can't stand people who can't move.

[/QUOTE]Pili, usitoe mfano wa Jani Ramadhan. kwa kifupi, sheria zetu za tz, zina mlengo wa Uingereza, yaani nje ya nchi yetu. pia tunatumia kama authority kesi nyingi sana na za miaka mingi zilizofanyika nje ya nchi, lakini ili kuleta mfano kama wa kwako wa huyu jaji, unatakiwa ujue kuwa, kila kesi ya kurely on inatakiwa iwe na connection na the matter in issue. ni kweli sio dhambi ndo maana mpaka leo ndo tunazotumia, lakini zinatakiwa ziwe zimefanana, not the mere fact kwamba ilitoka nje ndo unarely on every case unayoikuta njiani...[/QUOTE]

Comprehension ndogo, halafu wewe unaonekana kabisa ndiyo wale waliokuwa wanasoma kukariri ili kushinda mtihani, tena na beseni la maji baridi kwenye miguu ili usilale.Mimi siko kortini nina argue kesi hapa, mimi niko JF naonyesha kwamba kutumia mfano wa nchi nyingine katika kuelezea legal ramifications zilizo katika common thread between the two countries ni perfect, hakuna kodsa, as long as the ilustration is valid and makes sense, wewe una flip flop, ten siyo flip-flop tu, bali flip-flop-flip.Kwanza unasema unataka ni cite sheria, halafu unasema hauhitaji all the specifics kwa sababu huandiki sheria wala haufanyi mtihani, halafu unarudi tena kuji pigeon hole kwamba mfano lazima uwe wa kesi inayofanana kama vile mimi niko kortini wakili wa utetezi.Pathetic.Ningependa kuku corner mahakamani hata bila legal training.


The laugh is on you Jack!

inatakiwa iwe inafanana na kesi unayoiongelea kwenye point mbalimbali mkuu. kesi ya sovereignity ya tz sio authority nzuri ya hii kesi tunayozungumzia ya kuua, ungeleta kesi za murder au provocation kama mfano ndo ungekuwa umefanya sahihi.

Yadi yada, huelewi kwamba ninachoongelea hapa siyo kesi hii at all, bali ni validity yangu mimi kuleta mfano wa kutoka nchi ya nje, mfano ambao una commonality na kwetu kwa sababu hautokani na matawi ya juu ya sheria, bali unatokana na msingi na mzizi wa chini kabisa wa sheria, meaning the right to a fair trial, mfano huu unaweza kutumika katika kesi yoyote inayotajwa katika korti inayoendeshwa kwa mujibu wa rule of law na fair trial, katika kesi yoyote

kama haujui sheria, usiwe unaongelea, ongelea kile kitu unachokijua ulichosomea ndo utaweza kueleza vizuri.

Nani hajui sheria? Wewe usiyejua foundations za sheria kama fair trial au mimi ninayeku school?

kama hauna uhakika kama unachoongea ni sahihi, ni bora uwaachie wale wanaokijua ili wajadili na wewe utafaidi tu kwa kusikiliza.

Nani hana uhakika? Wewe unaye flip-flop-flip au mimi niliye resolute katika conviction zangu all along?

na siku mada itakapokuwa ya kwako, na wenzio watakuacha uongee wao wafaidi, kwa njia hii ndo tutakuwa tunaeleweshana. upo hapo? au kama haujui, unatakiwa usiwe unaongea kama unajua, ongea kama haujui, sio vibaya kujiweka kama haujui, tutakuelewesha. OK....pole sana Pundit.

Hakuna mada ya mtu hapa, mada zote ni za wote, clearly inaonekana utamaduni wa JF huujui!

You talk like a b$@ch here, Im not even gonna comment further on how whupped this sounds...
 
Nyani,

Unajua characteristic moja ya kichaa ni kuwa hajijui kuwa yeye ni kichaa, na zaidi anaona watu wanaomzunguka yeye kuwa ndio vichaa.Mtu anayepiga kelele watu wengine ni wagumu wa kuelewa bila kutoa substantial reasons mara nyingi yeye ndiye anakuwa mgumu wa kuelewa,

Freud angesema kuwa mtu wa aina hii subconsciously ana project weakness yake kwa watu wengine.Kama Senator Larry Craig alivyokuwa anawashikia bango wasenge wakati yeye mwenyewe ndiyo michezo yake.

Hahahahaha...ile ya Larry Craig ilikuwa kiboko aisee!! Nakumbuka alimwita Clinton "naughty, nasty boy" kwenye height ya Lewinsky scandal kumbe alikuwa anajizungumzia yeye mwenyewe. Oh well, such is life, I guess.
 
Pundit,

Kuna lawyer mwingine hapa alisema siwezi kumuuelewa kwa sababu eti mimi nina ki certificate wakati yeye ana digrii ya miaka minne. Lakini huyu huyo "nshomile" akaja na bizarre theory kwamba mahakama ya Tanzania ina "nguvu za asili" za kutangua sheria za Bunge. Kitu ambacho sio kweli, kwa sababu Katiba lazima iwe na clause ya, au itafsiriwe kutoa Judicial Review power, yani nguvu ya mahakama kupitia na kutangua sheria batili. Badala ya kueleza waeleweka wanakimbilia kusema we hujasoma ila mimi ndio "nshomile."
 
Pundit,

Kuna lawyer mwingine hapa alisema siwezi kumuuelewa kwa sababu eti mimi nina ki certificate wakati yeye ana digrii ya miaka minne. Lakini huyu huyo "nshomile" akaja na bizarre theory kwamba mahakama ya Tanzania ina "nguvu za asili" za kutangua sheria za Bunge. Kitu ambacho sio kweli, kwa sababu Katiba lazima iwe na clause ya, au itafsiriwe kutoa Judicial Review power, yani nguvu ya mahakama kupitia na kutangua sheria batili. Badala ya kueleza waeleweka wanakimbilia kusema we hujasoma ila mimi ndio "nshomile."

Wasomi wa kweli hawajitaji kwamba wao ni wasomi, utawajua kwa maneno na matendo yao, tena wenyewe huwa wanajishusha kabisa

Ona hapa Newton anavyosema

I do not know what I may appear to the world; but to myself I seem to have been only like a boy playing on the seashore, and diverting myself in now and then finding a smoother pebble or a prettier shell than ordinary, whilst the great ocean of truth lay all undiscovered before me.

Huyu ni mtu aliye revolutionalize physics.

Ukisikia mtu anakazania "mimi msomi, mimi msomi" ujue zumbukuku ulimwengu uko huku, ashakum, maskini akipata matako hulia mbwata.

I doubt kwamba huyu hata kupata amepata, more like hot air and the noise of an empty tin .
 
Back
Top Bottom